Kwanini Albert Einstein Alikuwa Genius?

Kwanini Albert Einstein Alikuwa Genius?

Mkuu unakaza ubongo, kama umesoma physics there is no logic behind your question.
Nimesoma Physics na nina ishi humo, maswali haya sio muhimu kwa mtu ambae anapenda story za Sayansi na si mchunguzi.

Pili, usiwe unaongea mambo ya logic ukiwa una jadili jambo na mimi, sababu nakuoa bado uko nyuma sana katika kuutafuta ukweli. Logic ni dhaifu sana na haiwezi kukufikisha katika kuujua ukweli.

Leo hii kunq modern Physics wao wanaiita "Quantum Physics/Quantum Mechanics" vipi kuna jaribio la kweli lililo fanyika kujua ukweli wa jambo hili ? Zaidi ya Theory na kila uchwao Wanapingana,na hii ya Einstein ni katika Modern Physics. Wenye wanasayansi wanakiri kwamba watu wanaishi kimtazamo na modern physics imekuwa maarufu sana wakati huu lakini, haikai katika uhalisia.

Sasa kwa kulijua hilo, lazima tuhoji mzee.
 
Nimesoma Physics na nina ishi humo, maswali haya sio muhimu kwa mtu ambae anapenda story za Sayansi na si mchunguzi.

Pili, usiwe unaongea mambo ya logic ukiwa una jadili jambo na mimi, sababu nakuoa bado uko nyuma sana katika kuutafuta ukweli. Logic ni dhaifu sana na haiwezi kukufikisha katika kuujua ukweli.

Leo hii kunq modern Physics wao wanaiita "Quantum Physics/Quantum Mechanics" vipi kuna jaribio la kweli lililo fanyika kujua ukweli wa jambo hili ? Zaidi ya Theory na kila uchwao Wanapingana,na hii ya Einstein ni katika Modern Physics. Wenye wanasayansi wanakiri kwamba watu wanaishi kimtazamo na modern physics imekuwa maarufu sana wakati huu lakini, haikai katika uhalisia.

Sasa kwa kulijua hilo, lazima tuhoji mzee.
Zurri katika ubora wako, teh nakuja unipe elimu zaidi kuhusiana na science.
 
Nimesoma Physics na nina ishi humo, maswali haya sio muhimu kwa mtu ambae anapenda story za Sayansi na si mchunguzi.

Pili, usiwe unaongea mambo ya logic ukiwa una jadili jambo na mimi, sababu nakuoa bado uko nyuma sana katika kuutafuta ukweli. Logic ni dhaifu sana na haiwezi kukufikisha katika kuujua ukweli.

Leo hii kunq modern Physics wao wanaiita "Quantum Physics/Quantum Mechanics" vipi kuna jaribio la kweli lililo fanyika kujua ukweli wa jambo hili ? Zaidi ya Theory na kila uchwao Wanapingana,na hii ya Einstein ni katika Modern Physics. Wenye wanasayansi wanakiri kwamba watu wanaishi kimtazamo na modern physics imekuwa maarufu sana wakati huu lakini, haikai katika uhalisia.

Sasa kwa kulijua hilo, lazima tuhoji mzee.
Nizungumze nini na mtu anayemini niko nyuma sana? Natumai hiyo Quantum physics, theory of relativity and the like.. hujui chochote kwenye hayo.
 
Mkuu unakaza ubongo, kama umesoma physics there is no logic behind your question.
Unaweza kutuonyesha uhalisia wa hiyo kanuni katika maisha yetu ya kila siku ?

Watu wanasema bora physics ya zamani kidogo iikuwa inakaribia uhalisia kuliko hii modern physics, wakashindwa kuleta ithibati wakaamua kusema au kuleta uhusiano kati ya Quantum Physics na Consciousness. Akili inakataa kabisa.

Ahsante.
 
Zurri katika ubora wako, teh nakuja unipe elimu zaidi kuhusiana na science.

Sijui kama utaelewa, ila najua unapajua pakunipata njoo, tubadilishane mawazo, mimi nimekariri tu wala sio mjuzi wa haya mambo. Nitakupa "link" nacheka sana.
 
Nizungumze nini na mtu anayemini niko nyuma sana? Natumai hiyo Quantum physics, theory of relativity and the like.. hujui chochote kwenye hayo.

Hivi ndivyo nilivyo mimi. Uzuri huwa najitahidi sana kuelewa na si kukariri. Naweza kukufundisha pia somo hili.

Ahsante.
 
Maybe Einstein angeweza.. mimi sio developer wa hio nadharia.. je wewe unaweza kuipinga? Upinge kwa nadharia yako.
Unaweza kutuonyesha uhalisia wa hiyo kanuni katika maisha yetu ya kila siku ?

Watu wanasema bora physics ya zamani kidogo iikuwa inakaribia uhalisia kuliko hii modern physics, wakashindwa kuleta ithibati wakaamua kusema au kuleta uhusiano kati ya Quantum Physics na Consciousness. Akili inakataa kabisa.

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maybe Einstein angeweza.. mimi sio developer wa hio nadharia.. je wewe unaweza kuipinga? Upinge kwa nadharia yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikasemq hivi naweza kukufundisha somo hili la Quantum Physics na nikakufundisha somo la Logic pia.

Lakini, nilishangaa sana uliposema ya kuwa sijui chochote juu ya somo hili, halafu ukauliza swali la kitoto mno, kwamba nitoe nadharia yangu dhidi ya hiyo, nakufundisha sasa, hakuna theory yoyote inayoweza kukosea theory nyingine wala hakuna theory yoyote ile inayoweza kuifanya theory nyingine iwe ya kweli, sababu katika kila theory kuna "Contingent Fact" ukienda mbele utakuta "Contingent Fact" nyingine mpaka to infinity, na hakuna series ya to Infinity, sababu hili huoyesha uvivu wa kufikiri.
 
Sijui kama utaelewa, ila najua unapajua pakunipata njoo, tubadilishane mawazo, mimi nimekariri tu wala sio mjuzi wa haya mambo. Nitakupa "link" nacheka sana.
Oohh sawa, kesho ndiyo nitakutafuta saa hii nalala.
 
Okay umesema nimeuliza swali la kitoto, je ni kweli ni swali la kitoto au perception yako? Pia Mkuu maswali ya kitoto ni yapi na ya kikubwa ni yapi?
Hio knowledge ya Quantum Physics umeitoa wapi?
Ndio maana nikasemq hivi naweza kukufundisha somo hili la Quantum Physics na nikakufundisha somo la Logic pia.

Lakini, nilishangaa sana uliposema ya kuwa sijui chochote juu ya somo hili, halafu ukauliza swali la kitoto mno, kwamba nitoe nadharia yangu dhidi ya hiyo, nakufundisha sasa, hakuna theory yoyote inayoweza kukosea theory nyingine wala hakuna theory yoyote ile inayoweza kuifanya theory nyingine iwe ya kweli, sababu katika kila theory kuna "Contingent Fact" ukienda mbele utakuta "Contingent Fact" nyingine mpaka to infinity, na hakuna series ya to Infinity, sababu hili huoyesha uvivu wa kufikiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kwenye hilo somo unataka kunifundisha part ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Fallacy of Quantum Mechanics, yaani naikosoa Madern Physics kwa ujumls, nakuanzia katika historia yake karneya 20 nakuonyesha misingi yake kisha naivunja misingi hiyo.

Katika ulimwengu wa kielimu, ukinyimwa misingi ya elimu husika, ujue ndio umenyimwa elimu husika. Ajabu leo hii humu utawaona
Oohh sawa, kesho ndiyo nitakutafuta saa hii nalala.

Karibu sana mrembo.
 
Mkuu unajichanganya sana, hakuna theory inaweza kupinga ingine? Wala hakuna theory inaweza kusapoti ingine?.. aisee
Ndio maana nikasemq hivi naweza kukufundisha somo hili la Quantum Physics na nikakufundisha somo la Logic pia.

Lakini, nilishangaa sana uliposema ya kuwa sijui chochote juu ya somo hili, halafu ukauliza swali la kitoto mno, kwamba nitoe nadharia yangu dhidi ya hiyo, nakufundisha sasa, hakuna theory yoyote inayoweza kukosea theory nyingine wala hakuna theory yoyote ile inayoweza kuifanya theory nyingine iwe ya kweli, sababu katika kila theory kuna "Contingent Fact" ukienda mbele utakuta "Contingent Fact" nyingine mpaka to infinity, na hakuna series ya to Infinity, sababu hili huoyesha uvivu wa kufikiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay umesema nimeuliza swali la kitoto, je ni kweli ni swali la kitoto au perception yako? Pia Mkuu maswali ya kitoto ni yapi na ya kikubwa ni yapi?
Hio knowledge ya Quantum Physics umeitoa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Maswali ya kitoto ni maswali yote ambayo hayaja jengeka katika kuutafuta Ukweli. Maswali ya kikubwa ni kinyume chake.

Elimu ya Quantum Physics nilianza kuisoma kama Intro nikiwa "A 'Level" ,kisha sikuisoma tena katika Elimu za kimataala, sababu mimi naishi humo nikawa nasoma makala na vitabu vinavyokosoa elimu hiyo. Na hii pia ni njia ya kuutafuta ukweli.

Ahsante.
 
Mkuu Nina Elimu kiasi ya kutosha kwa Fizikia, wewe umeikosoaje quantum physics? Wataalamu wenye IQ ya juu kama Terence Tao hawakuona loop ya kukosoa wewe umeipateje? Anyways tuseme umeipata.. je credibility ya ukosoaji wako ikoje?
Fallacy of Quantum Mechanics, yaani naikosoa Madern Physics kwa ujumls, nakuanzia katika historia yake karneya 20 nakuonyesha misingi yake kisha naivunja misingi hiyo.

Katika ulimwengu wa kielimu, ukinyimwa misingi ya elimu husika, ujue ndio umenyimwa elimu husika. Ajabu leo hii humu utawaona


Karibu sana mrembo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom