chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,289
- 25,680
me kifua tu. sio unamakalio makubwa na hips. matiti makubwa kama waimba taarabu. hapo hamna shape.
Pamoja na kwamba Maulana ni fundi wa mafundi, lakini walah tena kuna wadada huwa wanachambia hamira...
Hivi kwa hili toto la Kinyarwanda si naweza nikauza nyumba ya urithi mimi nirudi kwetu Usukumani kwa miguu...
Pamoja na kwamba Maulana ni fundi wa mafundi, lakini walah tena kuna wadada huwa wanachambia hamira...
Hivi kwa hili toto la Kinyarwanda si naweza nikauza nyumba ya urithi mimi nirudi kwetu Usukumani kwa miguu...
Hewaaaa namna hii hela ya vocha tu unatoa laki hiyooo 1 sa kifidodido hata buku ntajiuliza sana
Sio kweli. Kuna wachaga wa vijijini wana spoku ila wana ---- mbona?,
me kifua tu. sio unamakalio makubwa na hips. matiti makubwa kama waimba taarabu. hapo hamna shape.
Nimeshuhudia mara nyingi wanaume wakigeuka na kuwaangalia wanawake wenye hips na makalio makubwa huku wakitoa udenda wa matamanio
Nimeshuhudia pia wanawake wakiwasifia wanawake wenzao wenye hips na makalio makubwa kuwa wana shepu bomba
Sura kifua mikono na miguu huwa havipewi umuhimu mkubwa kwenye kusifia shepu ya mtu
Najiuliza tuu kwani shepu ni hips na makalio tuu ?
me kifua tu. sio unamakalio makubwa na hips. matiti makubwa kama waimba taarabu. hapo hamna shape.
Nimeshuhudia mara nyingi wanaume wakigeuka na kuwaangalia wanawake wenye hips na makalio makubwa huku wakitoa udenda wa matamanio
Nimeshuhudia pia wanawake wakiwasifia wanawake wenzao wenye hips na makalio makubwa kuwa wana shepu bomba
Sura kifua mikono na miguu huwa havipewi umuhimu mkubwa kwenye kusifia shepu ya mtu
Najiuliza tuu kwani shepu ni hips na makalio tuu ?