Kwani shepu ni makalio na hips tuu...!?

Kwani shepu ni makalio na hips tuu...!?

Nimeshuhudia mara nyingi wanaume wakigeuka na kuwaangalia wanawake wenye hips na makalio makubwa huku wakitoa udenda wa matamanio
Nimeshuhudia pia wanawake wakiwasifia wanawake wenzao wenye hips na makalio makubwa kuwa wana shepu bomba
Sura kifua mikono na miguu huwa havipewi umuhimu mkubwa kwenye kusifia shepu ya mtu
Najiuliza tuu kwani shepu ni hips na makalio tuu ?
we call it morphological point of view
 
1397221041896.jpg
Hapo mkuu unaweza kuhonga kiwanja.

Na huyu dogo je ?mpaka kakosea jawabu
 
Back
Top Bottom