Kwani shepu ni makalio na hips tuu...!?

Kwani shepu ni makalio na hips tuu...!?

1397274645243.jpg
 
Nimeshuhudia mara nyingi wanaume wakigeuka na kuwaangalia wanawake wenye hips na makalio makubwa huku wakitoa udenda wa matamanio
Nimeshuhudia pia wanawake wakiwasifia wanawake wenzao wenye hips na makalio makubwa kuwa wana shepu bomba
Sura kifua mikono na miguu huwa havipewi umuhimu mkubwa kwenye kusifia shepu ya mtu
Najiuliza tuu kwani shepu ni hips na makalio tuu ?

mm najikubali the way nilivo,
 
Weee hips na kalio ndo kila kitu hata ukiva
Gunia unapendeza na watu lazma wavunje shingo
 
Back
Top Bottom