Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,086
- 5,143
Serikali na vyama vya siasa huundwa na watu ambao hawana tofauti na mimi na wewe. Wana tamaa zao, Wana njaa zao, familia zao zina njaa. Wakipata fursa ya kupiga pesa zisizo na mlinzi watapiga. Hata ubadilishe kila bendera inapopandishwa na kushushwa, bado watapiga tu.