Anayeomba radhi ni aliyekosea.Ndugu zangu Watanzania hakuna binadamu asiyekosea, iwe ni kwa makusudi au bahati mbaya. Kimsingi hilo ndilo hudhihirisha ubinadamu wenyewe. lngawa mara nyingi tunapogundua makosa yetu tunajaribu kutoyakubali kama ni makosa!
Au tukikubali tunaona shida sana kuomba msamaha, tukidhani kuonekana ni dhaifu, kitu ambacho siyo kweli. Kimsingi mtu anayekubali kuwa amemkosea Mungu, au wanadamu wenzake ni nguzo ya shaba katikati ya kizazi cha waoga.
Hivyo basi naisihi serikali katika hili la mkataba wa bandari; ikubali kuomba radhi. Mkifanya hivyo hamtaonekana wadhaifu, bali wakomavu sana.
Msituangushe hata wale tunaowanga mkono tangu Mungu awaweke madarakani. Kwani ukitazama kwa makini sana ni kama hili limekuja kufuta mema yote yaliyofanywa na awamu hii.
Sasa kwa nini iwe hivyo, na kwa faida ya nani?
Ndiyo uhalisia, wakiomba radhi kwa hii sintofahamu kinachofata tutawashinikiza waachie ofisi za umma. Nilikuwa nawaza, hivi wananchi hatuwezi kuweka azimio la kuwawajibisha wabunge wote waliopotisha huu mswada? Hata kama ni kuhakikisha 2025 wote wasirudi!Wakishaomba radhi mtaanza hoo waachie ngazi ,wanajua wamebugi ila wanapambana kuficha hii aibu ya millennia.
Mkuu Mchokoo , kwanza nakubaliana na wewe, unapokosea, kuomba radhi sio udhaifu, lakini kwa hili la Bandari, serikali iombe radhi kwa lipi wakati mkataba bado?.
Watanzania wanapaswa kuelimishwa elimu ya mikataba, kilichopitishwa na Bunge ni IGA sio mkataba ni MoU ya makubaliano ya kuingia mkataba, mkataba ni HGA, bado haujaingiwa!.
P
sisi waafrica hatuna utamaduni kwa kukubali makosa na kuomba msamaha, kama unabisha jaribu kukiambia kitoto hata cha miaka 4 kikuombe msamaha baada ya kukukosea, kitasita kwanza ndipo kitasema "samahani" kwa sauti ya chini huku kikiangalia chini afu kinasepa fasta.Ndugu zangu Watanzania hakuna binadamu asiyekosea, iwe ni kwa makusudi au bahati mbaya. Kimsingi hilo ndilo hudhihirisha ubinadamu wenyewe. lngawa mara nyingi tunapogundua makosa yetu tunajaribu kutoyakubali kama ni makosa!
Au tukikubali tunaona shida sana kuomba msamaha, tukidhani kuonekana ni dhaifu, kitu ambacho siyo kweli. Kimsingi mtu anayekubali kuwa amemkosea Mungu, au wanadamu wenzake ni nguzo ya shaba katikati ya kizazi cha waoga.
Hivyo basi naisihi serikali katika hili la mkataba wa bandari; ikubali kuomba radhi. Mkifanya hivyo hamtaonekana wadhaifu, bali wakomavu sana.
Msituangushe hata wale tunaowanga mkono tangu Mungu awaweke madarakani. Kwani ukitazama kwa makini sana ni kama hili limekuja kufuta mema yote yaliyofanywa na awamu hii.
Sasa kwa nini iwe hivyo, na kwa faida ya nani?
hawa wabunge walio wengi walipita kwa kuiba kura na ndiyo maana hawana uchungu na maliasili za nchi.Ndiyo uhalisia, wakiomba radhi kwa hii sintofahamu kinachofata tutawashinikiza waachie ofisi za umma. Nilikuwa nawaza, hivi wananchi hatuwezi kuweka azimio la kuwawajibisha wabunge wote waliopotisha huu mswada? Hata kama ni kuhakikisha 2025 wote wasirudi!
Serikali imesema mkataba haujasainiwa ..utakaposainiwa utazingatia maoni...Mkuu The Boss,
Duniani hapa hakuna mtu asiye mjinga wa jambo fulani.
Isipokuwa tunatofautiana tu idara za ujinga!
Kama HGA bado, sasa hawa akina mshindia mihogo, DJ alieenda UK juzi, Jenerali wa Rwanda, Kadinali wa milele etc etc wanatoka povu la nini? Au ni vita kati ya hivi vitabu tulivyoletewa?Mkuu Mchokoo , kwanza nakubaliana na wewe, unapokosea, kuomba radhi sio udhaifu, lakini kwa hili la Bandari, serikali iombe radhi kwa lipi wakati mkataba bado?.
Watanzania wanapaswa kuelimishwa elimu ya mikataba, kilichopitishwa na Bunge ni IGA sio mkataba ni MoU ya makubaliano ya kuingia mkataba, mkataba ni HGA, bado haujaingiwa!.
P
Kwa kweli wabunge wengi ni tatizo.Ndiyo uhalisia, wakiomba radhi kwa hii sintofahamu kinachofata tutawashinikiza waachie ofisi za umma. Nilikuwa nawaza, hivi wananchi hatuwezi kuweka azimio la kuwawajibisha wabunge wote waliopotisha huu mswada? Hata kama ni kuhakikisha 2025 wote wasirudi!
Tawala gan ya kidunia inaamin katika kuomba msamaha? Wao hujua wao ndio kila kitu na hakuna wa kuwababaisha wala kuwaondoa hapo walipo!!! Labda kwa Nchi zilizoendelea zinazoongozwa na katiba ya Nchi tu!!Ndugu zangu Watanzania hakuna binadamu asiyekosea, iwe ni kwa makusudi au bahati mbaya. Kimsingi hilo ndilo hudhihirisha ubinadamu wenyewe. lngawa mara nyingi tunapogundua makosa yetu tunajaribu kutoyakubali kama ni makosa!
Au tukikubali tunaona shida sana kuomba msamaha, tukidhani kuonekana ni dhaifu, kitu ambacho siyo kweli. Kimsingi mtu anayekubali kuwa amemkosea Mungu, au wanadamu wenzake ni nguzo ya shaba katikati ya kizazi cha waoga.
Hivyo basi naisihi serikali katika hili la mkataba wa bandari; ikubali kuomba radhi. Mkifanya hivyo hamtaonekana wadhaifu, bali wakomavu sana.
Msituangushe hata wale tunaowanga mkono tangu Mungu awaweke madarakani. Kwani ukitazama kwa makini sana ni kama hili limekuja kufuta mema yote yaliyofanywa na awamu hii.
Sasa kwa nini iwe hivyo, na kwa faida ya nani?
Usisahau pale Dubai ilisainiwa mikataba 30 huu ni mmoja tu kati ya hiYoNdugu zangu Watanzania hakuna binadamu asiyekosea, iwe ni kwa makusudi au bahati mbaya. Kimsingi hilo ndilo hudhihirisha ubinadamu wenyewe. lngawa mara nyingi tunapogundua makosa yetu tunajaribu kutoyakubali kama ni makosa!
Au tukikubali tunaona shida sana kuomba msamaha, tukidhani kuonekana ni dhaifu, kitu ambacho siyo kweli. Kimsingi mtu anayekubali kuwa amemkosea Mungu, au wanadamu wenzake ni nguzo ya shaba katikati ya kizazi cha waoga.
Hivyo basi naisihi serikali katika hili la mkataba wa bandari; ikubali kuomba radhi. Mkifanya hivyo hamtaonekana wadhaifu, bali wakomavu sana.
Msituangushe hata wale tunaowanga mkono tangu Mungu awaweke madarakani. Kwani ukitazama kwa makini sana ni kama hili limekuja kufuta mema yote yaliyofanywa na awamu hii.
Sasa kwa nini iwe hivyo, na kwa faida ya nani?
Ndugu zangu Watanzania hakuna binadamu asiyekosea, iwe ni kwa makusudi au bahati mbaya. Kimsingi hilo ndilo hudhihirisha ubinadamu wenyewe. lngawa mara nyingi tunapogundua makosa yetu tunajaribu kutoyakubali kama ni makosa!
Au tukikubali tunaona shida sana kuomba msamaha, tukidhani kuonekana ni dhaifu, kitu ambacho siyo kweli. Kimsingi mtu anayekubali kuwa amemkosea Mungu, au wanadamu wenzake ni nguzo ya shaba katikati ya kizazi cha waoga.
Hivyo basi naisihi serikali katika hili la mkataba wa bandari; ikubali kuomba radhi. Mkifanya hivyo hamtaonekana wadhaifu, bali wakomavu sana.
Msituangushe hata wale tunaowanga mkono tangu Mungu awaweke madarakani. Kwani ukitazama kwa makini sana ni kama hili limekuja kufuta mema yote yaliyofanywa na awamu hii.
Sasa kwa nini iwe hivyo, na kwa faida ya nani?