Kwani Jack Pemba anafanya kazi gani?

Bill Gate Katunzi Muzamil nakutakia maisha mema na mwenyezi Mungu akusaidie umekua msaada wa kusaidia wenzio endelea na moyo huo mzuri muzamil ,uwe mfano wa kuigwa iyeeeee! Binadamu akiona una mafanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mi najua umetoka mbali ni siri yako sio wote watakupendaaaa ihiiiiiiii! Tenda Mema usingoje shukurani cheka na watu wote MUZAMIL KATUNZI.

Kuna mtu na mjua alitoka na katunzi hakupewa hata Mia
 
Cha ajabu sasa nyumba anayoishi mama yake ni kituko, mwanae wa kwanza yupo tu mtaani hana mishe yoyote hana kitu anagongea bia kwa watu kitaa ..pesa za uyo jamaa zina siri kubwa sana namjua vizuri from the begining mpaka apo alipofikia ..
Bro wake anahangaika na kuua panya mende na wadudu watanbaao nyumbani. Eti fumigation. Hata Mimi nishamuona akiomba Bia pale Fair Way Tegeta

Yale mahela nahisi anaazima tu kupigia picha
 
Bill Gate Katunzi Muzamil nakutakia maisha mema na mwenyezi Mungu akusaidie umekua msaada wa kusaidia wenzio endelea na moyo huo mzuri muzamil ,uwe mfano wa kuigwa iyeeeee! Binadamu akiona una mafanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mi najua umetoka mbali ni siri yako sio wote watakupendaaaa ihiiiiiiii! Tenda Mema usingoje shukurani cheka na watu wote MUZAMIL KATUNZI.
Ukitaka kujua uchawa ulianza zamani, waulize wanamuziki wenye asili ya Congo! Mfano Christian Bella, nk. Aisee hawa jamaa wanajua kumpamba mtu.

Akina Lucas mwashambwa, Baba Levo na Mwijaku; bado ni watoto wadogo kwa wanamuziki wenye asili ya Congo.
 
Cha ajabu sasa nyumba anayoishi mama yake ni kituko, mwanae wa kwanza yupo tu mtaani hana mishe yoyote hana kitu anagongea bia kwa watu kitaa ..pesa za uyo jamaa zina siri kubwa sana namjua vizuri from the begining mpaka apo alipofikia ..
Atakua na matatizo ya akili sio bure.
 
Bill Gate Katunzi Muzamil nakutakia maisha mema na mwenyezi Mungu akusaidie umekua msaada wa kusaidia wenzio endelea na moyo huo mzuri muzamil ,uwe mfano wa kuigwa iyeeeee! Binadamu akiona una mafanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mi najua umetoka mbali ni siri yako sio wote watakupendaaaa ihiiiiiiii! Tenda Mema usingoje shukurani cheka na watu wote MUZAMIL KATUNZI.
Christian Bella,hahaha.
 
Jamaa ni mfanyabiashara, INTERNATIONAL. Ina mambo mengi sana hii wadhifa yake.
Ila anasimamia shughuli zake vzuri. Na akiondoka humuoni. Akirudi ni bata tu. Halafi 50ml kwa ufanyabiashara wa mtu kama jack pemba, si hela kubwa kuitoa mara moja moja, jamaa ana mzunguko hata wa milioni 900 kwa miezi mitatu. Muache ale pesa.
Ana academies za michezo pia timu ya basketball. Na foundations zinampa sana mizgo za UK,
huyu mwamba ni mpambanaji haswa. Akisaka ana saka haswaaaa.
Mbona wanasema ati mama yake hana hata nyumba pesa ya kazi gani hiyo?
 
Back
Top Bottom