Kwani Jack Pemba anafanya kazi gani?

Utakua mgeni wa jiji jack pemba, muzamil katunzi muulize mange au zari wanawafahamu vizuri kabisa hao jamaa
Bill Gate Katunzi Muzamil nakutakia maisha mema na mwenyezi Mungu akusaidie umekua msaada wa kusaidia wenzio endelea na moyo huo mzuri muzamil ,uwe mfano wa kuigwa iyeeeee! Binadamu akiona una mafanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mi najua umetoka mbali ni siri yako sio wote watakupendaaaa ihiiiiiiii! Tenda Mema usingoje shukurani cheka na watu wote MUZAMIL KATUNZI.
 
Bill Gate Katunzi Muzamil nakutakia maisha mema na mwenyezi Mungu akusaidie umekua msaada wa kusaidia wenzio endelea na moyo huo mzuri muzamil ,uwe mfano wa kuigwa iyeeeee! Binadamu akiona una maanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mi najua umetoka mbali ni siri yako sio wote watakupendaaaa ihiiiiiiii! Tenda Mema usingoje shukurani cheka na watu wote MUZAMIL KATUNZI.
Mzee unaonekana mkongwe sana!!

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom