Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Kafie huko ccm
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
n
Nakubaliana nawe
Chadema mumeshindwa kupata wazungumzaji waislamu? Yaani wamejaza maaskofu?
Kwanini msiwatafute kina Sheikh Ponda, Mwalimu Mwalimu, jenerali Ulimwengi na Prof Issa bin Shivji?
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
This is "MATOPE" :mad: :mad: :mad:
 
Hii nchi kwa akili kama yako tutasubori sana. Kwani askofu anatoa maoni kama askofu au kama mwananchi? Kwahiyo kama mtu ni askofu anakosa haki ya kuwa mwananchi? Ccm imefanikiwa sana kwenye hili eneo.....
Mkuu,

Askofu akitoa maoni kama mwananchi atoe kofia ya uaskofu, hata kuitwa asiitwe askofu, symbolism has meaning.

Most Tanzanians cannot hold a nuanced conversation.
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Hata mimi sikubaliani na mkataba kabisa ila hii approach inaleta mgawanyiko na wateteaji wanaitumia vilivyo. Maaskofu wangeendelea kupga kelele kivyao
 
Nilikuwa namwambia mtu jana kwamba kuwaingiza sana viongozi wa kidini katika hili jambo ni mistake.

Wananchi wengine watapata signal kwamba hili ni suala la upinzani wa kidini. Hususan wakristo wanampinga rais muislamu.

Majuzi Peter Madeleka katika press conference alikuwa ana ji contradict.

Alikuwa anaponda point aliyoambiwa ya kuwaamini viongozi, akasema hili ni suala la sheria, si suala la imani, mambo ya imani tuyaache kanisani.

Alikuwa anasema hivyo huku kakaa pembeni ya Askofu. Askofu aliyekuja kuingelea suala hilihili. Contradiction.

Halafu akaendelea kusema habari za Mungu this, Mungu that. Anafuta point yake ya kulifanya jambo hili liwe la kisheria na secular.

Tunataka mazungumzo secular kwa masuala secular, yani hata kama wewe Askofu, ukija kuzungumzia suala hili, vua makofia yako ya uaskofu.
Kinachotakiwa ni facts, ziwe zimetoka kwa muislamu, mkristo, mhindu au asiye na dini siyo tatizo.
Ni umasikini wa fikra kuanza kujadili dini zetu katika mambo ya siasa za kitaifa.
Dini zenyewe ni aina ya njia za kumdhalilisha, kumtawala, kumnyonya na kumdidimiza mwafrika kwa ujumla zilizotumiwa tangu enzi za utumwa na ukoloni.
 
Askofu anatoaje maoni yake bila kuleta maswali kwamba suala hili ni la udini?

Madeleka kasema hili suala ni la kisheria, habari za imani acheni kanisani, mbona hata sheria nazo hazikubali rushwa? Kwa nini tusikemee rushwa ki secular kwa sheria bila kuhusisha dini?

Huoni kukemea rushwa kidini wakati mmeshasema mambo ya imani acheni kanisani ni contradiction?

Kama mafundisho ya kidini yanakemea rushwa, na wale wana dini zao wamekula rushwa, huoni kwamba mafundisho ya kidini hayasikilizwi, tunatakiwa kujenga legal case na kuwashitaki watu kisheria bila kutegemea dini?
Sheria ipi inayomkataza Askofu kutoa maoni yake? kwani Askofu sio raia wa Tanganyika anayelindwa na Katiba inayompa uhuru wa kutoa maoni?

Kwenye mambo ya jamii, serikali hutaka msaada toka kwa viongozi wa dini kuiasa jamii kuhusu mambo mbalimbali, iweje mambo yakihamia upande wao viongozi wa serikali muanze kuwakataza viongozi wa dini kutoa maoni yao?

Unataka hiyo rushwa ikakemewe wapi, kanisani? ili tena kesho mje kusema wanapeleka siasa kanisani? Kwanini hutaki viongozi wa dini wakemee rushwa, hasa kama waumini wao wanahusika? usiwafunge mdomo.

Hebu tulieni, viongozi wa dini ni haki yao kutoa maoni yao popote ilimradi hawavunji sheria za nchi, tusidanganyane kwa sababu nyepesi.
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
KKKT tatizo Lina viongozi wa ovyo
 
Sheria ipi inayomkataza Askofu kutoa maoni yake? kwani Askofu sio raia wa Tanganyika anayelindwa na Katiba inayompa uhuru wa kutoa maoni?

Kwenye mambo ya jamii, serikali hutaka msaada toka kwa viongozi wa dini kuiasa jamii kuhusu mambo mbalimbali, iweje mambo yakihamia upande wao viongozi wa serikali muanze kuwakataza viongozi wa dini kutoa maoni yao?

Unataka hiyo rushwa ikakemewe wapi, kanisani? ili tena kesho mje kusema wanapeleka siasa kanisani? Kwanini hutaki viongozi wa dini wakemee rushwa, hasa kama waumini wao wanahusika? usiwafunge mdomo.

Hebu tulieni, viongozi wa dini ni haki yao kutoa maoni yao popote ilimradi hawavunji sheria za nchi, tusidanganyane kwa sababu nyepesi.
Kwanza kabisa hakuna kitu kama raia wa Tanganyika.
 
Kinachotakiwa ni facts, ziwe zimetoka kwa muislamu, mkristo, mhindu au asiye na dini siyo tatizo.
Ni umasikini wa fikra kuanza kujadili dini zetu katika mambo ya siasa za kitaifa.
Dini zenyewe ni aina ya njia za kumdhalilisha, kumtawala, kumnyonya na kumdidimiza mwafrika kwa ujumla zilizotumiwa tangu enzi za utumwa na ukoloni.
Naam,

Na kwa kuzingatia hili, u Askofu wa mtu ni irrelevant katika suala la sheria kwenye nchi secular.

Zaidi, ni suala litakaloleta distraction za udini.

Kwa nini hili linakuwa gumu kueleweka?
 
Tatizo siasa sijui mmeanza kufuatilia juzi, nani asiyemjua Askofu Mwamakula?, Na Padri Kitima je, vipi kuhusu Dkt Slaa? Yaani hata kama huna kumbukumbu basi hata google tu uone harakati zao since wayback na changamoto walizopitia kabla ya kuongea Shudu kuwa wameibukia kwenye huu mkataba
Tunaongelea mkataba wa kutoa bandari Bure Kwa waarabu hakuna dini pale

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
We nesi mkunga endelea kuzalisha kwenye siasa ma masilahi ya kitaifa inaonekea uelewa wako ni mdogo
 
Back
Top Bottom