GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,177
1. Hayati Baba wa Taifa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
2. Hayati Baba wa Taifa Afrika Kusini Nelson Madiba Mandela
3. Hayati Mkombozi na Baba wa Taifa wa Congo DR (zamani Zaire) Patrice Emelly Lumumba
4. Hayati Baba wa Taifa Ghana Kwame Nkurumah
5. Hayati Rais Benjamin Mkapa
6. Rais Yoweri Museveni
7. Rais Paul Kagame
Na GENTAMYCINE nikaenda mbali zaidi kufanya Utafiti na kugundua kuwa Watajwa hapa pia wana IQ Kubwa sana kiliko Marais wengi waliokuwa wa Afrika na hata kwa baadhi waliopo sasa.
Wataalam wa Saikolojia wanasema kwamba kuna Uhusiano mkubwa mno wa Mtu anayehutubia bila Kusoma popote na Uwezo wake mkubwa wa Akili na kwamba wengi (japo siyo Wote) wasioweza kufanya hivyo (wapenda Kuandikiwa na Kusoma Hotuba zao) hawana Akili.
2. Hayati Baba wa Taifa Afrika Kusini Nelson Madiba Mandela
3. Hayati Mkombozi na Baba wa Taifa wa Congo DR (zamani Zaire) Patrice Emelly Lumumba
4. Hayati Baba wa Taifa Ghana Kwame Nkurumah
5. Hayati Rais Benjamin Mkapa
6. Rais Yoweri Museveni
7. Rais Paul Kagame
Na GENTAMYCINE nikaenda mbali zaidi kufanya Utafiti na kugundua kuwa Watajwa hapa pia wana IQ Kubwa sana kiliko Marais wengi waliokuwa wa Afrika na hata kwa baadhi waliopo sasa.
Wataalam wa Saikolojia wanasema kwamba kuna Uhusiano mkubwa mno wa Mtu anayehutubia bila Kusoma popote na Uwezo wake mkubwa wa Akili na kwamba wengi (japo siyo Wote) wasioweza kufanya hivyo (wapenda Kuandikiwa na Kusoma Hotuba zao) hawana Akili.