Kwako Lema - Mbunge wa Arusha mjini

Kwako Lema - Mbunge wa Arusha mjini

Wingi wanasema lema hajafanya kitu tangu achaguliwe lakini wanaosema hivyo kwakuwa nao ni wabunge kama lema hawatuambii wao wamefanya nini tangu wachaguliwe sasa ukiacha maneno hayo ya wapinzani sisi tulioko ar tunajua lema amefanya nini kwanza lema ni mtu wa watu , lema hana rika , lema ni mtoto wa kijiweni hizi sifa tatu tu zinatosha kumfanya lema apendwe na watu maana ccm wao ukuwa mbunge unakuwa muheshimiwa mtu wa kupigiwa magoti na wakutafutwa maana wabunge wa ccm makazi yao ni dar isitishe lema amewasaidia sana watu wa ar kujua elimu ya uraiya hivyo kujua haki zao tofauti na ccm wao wanajua mtu akijua hakizake inakuwa vigumu kumtawala pia naweza kusema katika kipindi cha lema ndipo arusha imekuwa jiji pia barabara zote za ar kuwa za lami hii ni kazi kubwa sana . Najua wapo watakao sema ar kuwa jiji au barabara kuwa na lami ni ccm ndo wako madarakani hivyo wao ndo wamefanya hayo tunajua wao ndo wamefanya lakini kwa shinikizo la mbunge maana kama ni ccm mbona ilikuwepo miaka yote hamsini na jimbo likiongozwa na wao mbona hawakufanya haya?? Kama niccm mbona hadi leo kule kilimanjaro karibu majimbio yote yanayoongozwa na upinzani barabara zao zinakarabatiwa na kuwekwa lami lakini yale yanayoongozwa na ccmhayafanyiwi hivyo? Mfano jimbo la moshi vijijini kwa sirili cham kuna barabara moja inaelekea uru kishimundu hii iliwekwa lami enzi ya mwalimu lakini hadi leo hata fungu la kukarabati tu hiyo lami halijulikani linaishia wapi sasa mniambie kama ccm wanaweza kufanya bila kushinikizwa mbona kwenye majimbo yao hawafanyi??????
 
lema ubunge atausikia redioni tu, anaanzisha maandamano ili yeye na genge lake la wahuni wafanye uporaji.,lema amesababisha uchumi wa arusha umeporomoka sana kwa vurugu zake, wana arusha tumemchoka huyu mwizi wa magari
 
Wingi wanasema lema hajafanya kitu tangu achaguliwe lakini wanaosema hivyo kwakuwa nao ni wabunge kama lema hawatuambii wao wamefanya nini tangu wachaguliwe sasa ukiacha maneno hayo ya wapinzani sisi tulioko ar tunajua lema amefanya nini kwanza lema ni mtu wa watu , lema hana rika , lema ni mtoto wa kijiweni hizi sifa tatu tu zinatosha kumfanya lema apendwe na watu maana ccm wao ukuwa mbunge unakuwa muheshimiwa mtu wa kupigiwa magoti na wakutafutwa maana wabunge wa ccm makazi yao ni dar isitishe lema amewasaidia sana watu wa ar kujua elimu ya uraiya hivyo kujua haki zao tofauti na ccm wao wanajua mtu akijua hakizake inakuwa vigumu kumtawala pia naweza kusema katika kipindi cha lema ndipo arusha imekuwa jiji pia barabara zote za ar kuwa za lami hii ni kazi kubwa sana . Najua wapo watakao sema ar kuwa jiji au barabara kuwa na lami ni ccm ndo wako madarakani hivyo wao ndo wamefanya hayo tunajua wao ndo wamefanya lakini kwa shinikizo la mbunge maana kama ni ccm mbona ilikuwepo miaka yote hamsini na jimbo likiongozwa na wao mbona hawakufanya haya?? Kama niccm mbona hadi leo kule kilimanjaro karibu majimbio yote yanayoongozwa na upinzani barabara zao zinakarabatiwa na kuwekwa lami lakini yale yanayoongozwa na ccmhayafanyiwi hivyo? Mfano jimbo la moshi vijijini kwa sirili cham kuna barabara moja inaelekea uru kishimundu hii iliwekwa lami enzi ya mwalimu lakini hadi leo hata fungu la kukarabati tu hiyo lami halijulikani linaishia wapi sasa mniambie kama ccm wanaweza kufanya bila kushinikizwa mbona kwenye majimbo yao hawafanyi??????

labda wewe na mashoga wenzako
 
Wingi wanasema lema hajafanya kitu tangu achaguliwe lakini wanaosema hivyo kwakuwa nao ni wabunge kama lema hawatuambii wao wamefanya nini tangu wachaguliwe sasa ukiacha maneno hayo ya wapinzani sisi tulioko ar tunajua lema amefanya nini kwanza lema ni mtu wa watu , lema hana rika , lema ni mtoto wa kijiweni hizi sifa tatu tu zinatosha kumfanya lema apendwe na watu maana ccm wao ukuwa mbunge unakuwa muheshimiwa mtu wa kupigiwa magoti na wakutafutwa maana wabunge wa ccm makazi yao ni dar isitishe lema amewasaidia sana watu wa ar kujua elimu ya uraiya hivyo kujua haki zao tofauti na ccm wao wanajua mtu akijua hakizake inakuwa vigumu kumtawala pia naweza kusema katika kipindi cha lema ndipo arusha imekuwa jiji pia barabara zote za ar kuwa za lami hii ni kazi kubwa sana . Najua wapo watakao sema ar kuwa jiji au barabara kuwa na lami ni ccm ndo wako madarakani hivyo wao ndo wamefanya hayo tunajua wao ndo wamefanya lakini kwa shinikizo la mbunge maana kama ni ccm mbona ilikuwepo miaka yote hamsini na jimbo likiongozwa na wao mbona hawakufanya haya?? Kama niccm mbona hadi leo kule kilimanjaro karibu majimbio yote yanayoongozwa na upinzani barabara zao zinakarabatiwa na kuwekwa lami lakini yale yanayoongozwa na ccmhayafanyiwi hivyo? Mfano jimbo la moshi vijijini kwa sirili cham kuna barabara moja inaelekea uru kishimundu hii iliwekwa lami enzi ya mwalimu lakini hadi leo hata fungu la kukarabati tu hiyo lami halijulikani linaishia wapi sasa mniambie kama ccm wanaweza kufanya bila kushinikizwa mbona kwenye majimbo yao hawafanyi??????



yaani we mu-uru umetafakari weee na huu ndo mwisho wako wa kufikiri?! nitajie jambo moja tu la kimaendeleo alilolifanya huyo lema hapo arusha.......
kwangu mimi lema ni kati ya wabunge wa chadema ambao wamebebwa na jina la chama, mwingine ni kiwia wa kule mwanza........very hopeless!!
 
...........pia muanzisha mada hana nia njema na lema, anamtafutia kamanda adhalilishwe tu hapa jukwaani.
 
Kamanda Lema, Mnyika, Lissu na Mbowe ni wabunge wa Kitaifa, hivyo Napenda Kuwashkuru wananch wa majimbo yao kwa kutuletea Wabunge ambao wamekuwa watetez wa watz wote.

mnyika na lissu sawa ila mbowe na mwenzie lema biiig NO! umewapaisha tu lakini kiuhalisia hawana cha maana wakifanyacho si kwa nchi wala majimbo yao!!
by the way nimewahi kupita rundugai jimboni kwa mbowe, kwa kwel hali ya shule huko ni majanga - yaani mbowe kwa huu uwezo wake tunaoelezwa ameshindwa hata kujenga madarasa ma3 kusudi wanafunzi wasisomee chini ya mti??!!
ama kwel wanasiasa wooote ni matapeli tu, si ccm si chadema wote ni wale wale tu, tofauti yao ni kwamba mmoja yuko bench akisubiri fursa wakati mwingine anaitumia fursa yake!!!!!!!!!
 
kwani Tanzania nzima umeona ni Lema tu aliyeshindwa kutimiza ahadi alizoahidi? Fungua kwanza macho uone mbali na ufikiri kabla ya kutamk
lema umeona upepo unaelekea kubaya mwaka 2015 huna chako unaanza kuja na id feke kujibu ulivyoshindwa kuwatumikia wananchi .uliahidi na umeshindwa kufanya kaa kimya
 
mnyika na lissu sawa ila mbowe na mwenzie lema biiig NO! umewapaisha tu lakini kiuhalisia hawana cha maana wakifanyacho si kwa nchi wala majimbo yao!!
by the way nimewahi kupita rundugai jimboni kwa mbowe, kwa kwel hali ya shule huko ni majanga - yaani mbowe kwa huu uwezo wake tunaoelezwa ameshindwa hata kujenga madarasa ma3 kusudi wanafunzi wasisomee chini ya mti??!!
ama kwel wanasiasa wooote ni matapeli tu, si ccm si chadema wote ni wale wale tu, tofauti yao ni kwamba mmoja yuko bench akisubiri fursa wakati mwingine anaitumia fursa yake!!!!!!!!!

kwa sasa tunatekeleza ilani ya ccm na serikali yake ...kazi ya mbunge sio utekelezaji..ingekuwa hivyo monduli pangekuwa dubai
 
Hahaha ....nyie endeleeni kujidanganya hivo hivo. 2015 hata mlete chopa 50 watu hawadanganyiki tena na huyu muhuni

kijana sasa unaelekea kuolewa,yani arusha chaguzi zote daraja 2 mmepigwa,kata 4 mmepigwa,sombetini mmepigwa,bado unasema zije chopa 4 kweli ccm mna roho ngumu kuliko paka.
 
LEMA hana akili ya kuwasaidia wanna arusha zaidi ya kuwahamasisha kuandamana Leo watu wanalia kama yatima LEMA hana ushirika na viongozi wengine mbona mbowe ametulia jitafakari sana.
asaivi tutaandamana kuja kukuoa! mana tumemaliza maandamano yote na pia wananchi tumeamu lema hata asifanye kitu hapa ar.lakini tunajivunia ujasiri,kupendana,ndivyo vitu vya msingi ametupa,tena karibu tz nzima,sasa tizama uone elimu aliotupa tunaitumiaje 2015.
 
chama makini cha ACT kinakuja kulikomboa jimbo la arusha mjini linaloongozwa na mwehu
 
Back
Top Bottom