bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,172
- 3,265
kijana sasa unaelekea kuolewa,yani arusha chaguzi zote daraja 2 mmepigwa,kata 4 mmepigwa,sombetini mmepigwa,bado unasema zije chopa 4 kweli ccm mna roho ngumu kuliko paka.
Kama ww unae bwana anayeshughulikia kabang usidhani ni wote tupo hivo. Akili zenu zote zinaendeshwa na bangi na viroba ndio maana hamna akili ya kuona udhaifu wa lema. Mmeshavurugwa akili na miili yenu.