wote tunatambua ambavyo serikali dhaifu ya mizigo inavyomkwamisha lema asitimize ahadi zake,
1.ilianza kwa kuhujumu uchaguzi wa meya ili apatikane meya fisadi gamba kwa kuhofia halmashauri kupiga hatua kubwa za maendeleo kutokana na uongozi safi na makini wa cdm ambao ungepelekea cdm kukubalika zaidi na kuwa mfano kwa majimbo mengine.
2. Kumfungulia kesi kimizengwe na hatimaye kumsimamisha ubunge kwa muda mrefu,pamoja na kutoitisha kwa wakati na haraka uchaguzi waadiwani katika zile kata 5,lengo likiwa kumhujumu Lema na CDM kwa ujumla.
Kwa vile wananchi wa Arusha wanajitambua,nadhani wanamfahamu adui yao mkubwa ni ccm na adhabu yake ni kutoichagua kabisa ccm hapo 2015 ili CDM iongoze Halmashauri ya jiji na nchi kwa ujumla na kuwaletea maendeleo ya uhakika kupitia sera makini na sahihi za CDM. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Tanganyika,
Mungu ibariki CDM.wote semeni Amen