zambez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 2,071
- 255
Lema ataenda magereza tena kuwatetea wanyonge huko magereza
angalia siku zako......
tembea na naniliiii.....
Lema ataenda magereza tena kuwatetea wanyonge huko magereza
....
....Gamba!!! mnalipiza kisasi?
Hata kama Lema akishindwa kufanya makubwa Arusha lakini impact yake kitaifa inatufanya tushukuru watu wa Arusha kwa kufikiria zaidi ya Arusha.
Lema wewe ni mpiganaji haswa tupo pamoja.
Ana shahada ya kuhamasisha maandamano na siyo maendeleo.
Katika harakati kama hizi za kupigania haki, utu na uzalendo wa mtanzania maneno mengi yatasemwa, mpigania haki ataitwa ataitwa kwa majina mengi, bali ninachoamini matusi yote, kebehi kama hizi na maudhi yoyote hayatamvunja moyo kamanda Lema, atasonga mbele kutimiza dhamira yake yeye kuwa sehemu ya ukombozi wa nchi yetu.
Lema songa mbele kamanda......
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Unayajua yapi ni majukumu ya mbunge,na yapi ni majukumu ya serikal?lema hakusanyi kodi arusha so serikali ndio inawajibu wa kuwawekea machinga mazingira mazur ya kufanya biashara zao.kazi ya mbunge ni kusimamia utekelezaji.
Lema hakusanyi kodi.endeleeni kubana ila mjue arusha ccm kushney.tutapigia kura hata jiwe cyo nyie.Hakuna cha maana alichokifanya LEMA toka achaguliwe kuwa mbunge, kwa hilo historia itamhukumu, na adhabu yake itatolewa kupitia box la kura!
Lema hakusanyi kodi.endeleeni kubana ila mjue arusha ccm kushney.tutapigia kura hata jiwe cyo nyie.
Mkuu Mungi watu wanaakili na wanaona kinachoendelea. Msidhani kila mtu ni mvuta bangi na mnywa viroba .... lema ameshindwa kabisa kufanya shughuli za kuinyanyua jiji la Arusha. Usitetee ujinga hata kama ni mjomba wako.
Katika harakati kama hizi za kupigania haki, utu na uzalendo wa mtanzania maneno mengi yatasemwa, mpigania haki ataitwa ataitwa kwa majina mengi, bali ninachoamini matusi yote, kebehi kama hizi na maudhi yoyote hayatamvunja moyo kamanda Lema, atasonga mbele kutimiza dhamira yake yeye kuwa sehemu ya ukombozi wa nchi yetu.
Lema songa mbele kamanda......
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Lema ataenda magereza tena kuwatetea wanyonge huko magereza
ndugu tafadhali nimeandika thread hii kwa lema na waelewa sio mburula kama wewe
Huijui Arusha zaidi ya kuisikia kwenye redio wewe, hata hivyo maendeleo ya jiji la Arusha kwa upande wa tax collection ni tofauti wakati wa ccm, makusanyo yamepanda kwa asilimia zaidi ya 300%, barabara zimekuwa za mpango wa lami, na bado watu tunafaidika na miradi ya maji Arusha ambayo ccm walishindwa kutekeleza.
Umezungumzia fursa nyingi zinazopatikana Arusha, lakini hujafafanua ni fursa zipi. Kibiashara mji wa Arusha upo juu, Ajira nyingi zinapatikana Arusha pengine kuliko huko kwako, tatizo maccm walivyo maboya wanaangalia fursa za kufanya mikutano ambayo wao wamegeuza kama karata za kuwahadaa wananchi kuwa Arusha siyo salama! Arusha ni salama, lakini pia siyo salama kwa sababu ya ccm
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Watu wana akili wanaona jinsi sisiem inamzingua Mh.Lema.Eti wamesubiri aende kalenga wafanyeujinga ili asiconcentrate kwenye uchaguzi.Kwa taarifa yenu mmeangukia pua:wave:Mkuu Mungi watu wanaakili na wanaona kinachoendelea. Msidhani kila mtu ni mvuta bangi na mnywa viroba .... lema ameshindwa kabisa kufanya shughuli za kuinyanyua jiji la Arusha. Usitetee ujinga hata kama ni mjomba wako.
Mungi tafadhali, usirudie tena kutudanganya kuwa LEMA ndio amejenga barabara Arusha.