Kwako Lema - Mbunge wa Arusha mjini

Kwako Lema - Mbunge wa Arusha mjini

lema umeona upepo unaelekea kubaya mwaka 2015 huna chako unaanza kuja na id feke kujibu ulivyoshindwa kuwatumikia wananchi .uliahidi na umeshindwa kufanya kaa kimya

wewe ni mbulula, unainuka wenzio tunakaa
 
Big up kamanda lema endelea kuwashika hivyohivyo. Wanakuhanya kinoma. Lema jembe hata ww unajua japo unasemaga kimoyomoyo(msalani,ritz)
 
mh lema
kwanza pole na majukumu ya kampeni kalenga.
Naanza kwa kusema mh umepewa dhamana kubwa jimboni kwako dhamana hiyo ni kuwasaidia wana arusha wakiwemo vijana na wamama ktk jimbo lako
mh najua ulitoa ahadi nyingi ikiwemo kujenga machinga complex
kwakua serikali ya ccm ilikuvua ubunge kwa hila zao kwa muda mrefu ukashindwa kutekeleza ahadi hizo

basi kwakua umesharudishiwa wadhifa wako nakuomba ujitahidi kuwasaidia wapiga kura wako wapate jengo hilo kwa wakati kwan nimeshuhudia wamama na vijana leo wakimwagiwa miradi yao na wagambo
pia mh kumbuka kua hawa wakina mama na vijana wengi wao miradi yao wanaipata kwa kujikopesha ktk vikundi na baadh wanapata mikopo ktk saccos
sasa watawezaje kurudisha mikopo yao kama miradi yao imemwagwa
pia mh kumbuka kwamba yote haya yanafanyika ili ccm badae waseme kua hakuna ulichowasaidia wakina mama hawa pamoja na vijana hvo mh nakuomba baada ya kampeni kalenga ujitahid angalau hili la machinga ili 2cwape mafisadi cha kuongea uchaguz ujao
najua wewe ni muelewa na ni mpigania haki pia naamini utakua umenielewa
nakutakia kampeni njema mungu akuongoze kumkamata mwiz kama ulivomkamata mwiz sombetini
ahsante

mungu ibariki tanzania mungu ibariki chadema

Yaani unavyombembeleza kama wewe ni MKE unavyombembelza MUMEO lema.....angalia mzee RAIS kashasaini ndoa za jinsia moja kimyakmya watu watakuoa..........ww unambembeleza mpymbavu huku arusha wananchi wanateseka yy anaenda kalenga.......nn kinamuhusu huko au ni sfa tuuu......Tatizo wengi hawmjui lema..ni mtu wa kupigania maslahi yake.
 
hawa CHADEMA kweli na wakatoliki maana hizo reply zao ni ''UBARIKIWE'' tuu hamna kingine .
 
Yaani unavyombembeleza kama wewe ni MKE unavyombembelza MUMEO lema.....angalia mzee RAIS kashasaini ndoa za jinsia moja kimyakmya watu watakuoa..........ww unambembeleza mpymbavu huku arusha wananchi wanateseka yy anaenda kalenga.......nn kinamuhusu huko au ni sfa tuuu......Tatizo wengi hawmjui lema..ni mtu wa kupigania maslahi yake.

Mchumia tumbo tu Lema.
 
Leo ndio nimeamini wakazi wa Arusha na wachangiaji wa jukwaa hili ni viroba na kwakweli wajinga including Lema (maana ndio mmbunge wa waathirika) responsible kwa kutetea haki zao.

Inakuaje majirani zenu wanavunjiwa makazi na wakati kuna haki za makazi ya wananchi kwenye katiba, haki za kutendewa haki bila upendeleo. Leo jaji anatoa kibali cha kuvunja nyumba za watu bila ya kutaka kujua wakazi wanapelekwa wapi, sawa hata kama nyumba si zao si unatakiwa kumpa sehemu nyingine mpangaji kabla aujamvunjia yaani huko ni uvunjaji wa sheria, unyanyasaji wa hali ya juu sijapata kuona in the name of development useless individuals all of ya.
 
Huyu mbunge anaakili za kuokotesha visude.
 
Yaani unavyombembeleza kama wewe ni MKE unavyombembelza MUMEO lema.....angalia mzee RAIS kashasaini ndoa za jinsia moja kimyakmya watu watakuoa..........ww unambembeleza mpymbavu huku arusha wananchi wanateseka yy anaenda kalenga.......nn kinamuhusu huko au ni sfa tuuu......Tatizo wengi hawmjui lema..ni mtu wa kupigania maslahi yake.

Kwani wewe shoga aliekuoa sio --------.
 
Back
Top Bottom