Kwako Lema - Mbunge wa Arusha mjini

Kwako Lema - Mbunge wa Arusha mjini

Akili zenu zimelala nyie. Huyo lema ni mLEMAvu wa akili. Hata jina lake ni kifupi cha uLEMAvu wake. Labda akifanikiwa kuuza zile kg599 za heroin anaweza kuwajengea complex la kisukuma sio machinga. Mnamsifu kilaza. Wana mpango wa kuuza nchi nyie mnashangilia tu. Poleni.

kama anauza heroin mi nadhani ni kwa sababu hii nchi inaongozwa na dhaifu hali inayopelekea kuwa na vyombo vya usalama dhaifu,vinavyoshindwa kumkamata lema tu!!!
Nadhani umefika wakati wa kuipiga chini hii serikali dhaifu inayomwogopa lema!
 
Basi kama nyie mnaojiita wakombozi wa wananchi mnamuiga kikwete tena, nini tofauti yenu? kwanini tuwachague?

pole sana kwa kutojitambua,kama hata hujui anayekusanya kodi wewe ni wa kuhurumiwa! unamlinganisha lema na mr dhaifu???
 
lema kiboko ya magamba,kayataabisha sana ndo maana daily yanapanga njama za kumuhujumu,yalimvua ubunge lakn yakaumbuka,yakahujumu uchaguzi wa meya lakn yakashtukiwa,yakamrushia bomu lakn Mungu Mwenyezi akamponya,na sasa yanatapatapa tu!!!!
 
pole sana kwa kutojitambua,kama hata hujui anayekusanya kodi wewe ni wa kuhurumiwa! unamlinganisha lema na mr dhaifu???

Kwahiyo KAMANDA ile machinga complex watu wa arusha tuliingizwa mjini na LEMA?
 
kama anauza heroin mi nadhani ni kwa sababu hii nchi inaongozwa na dhaifu hali inayopelekea kuwa na vyombo vya usalama dhaifu,vinavyoshindwa kumkamata lema tu!!!
Nadhani umefika wakati wa kuipiga chini hii serikali dhaifu inayomwogopa lema!

Ww shangingi inaelekea mLEMAvu anakutuma kwenye biashara zake za madawa.
 
Kamanda Lema Mungu akujalie yaliyo mema kwa juhudi zako wengi tumekukubali na MACCM umewaweza kiukweli!
 
Asante mkuu kwa ushauri wako wenye manufaa kwa wana arusha.naamin lema atafanya hivyo.m4c pamoja.
 
No one can stop the wind of changes

ccm mta.jamba sana kabla hamjapelekwa haja kubwa
 
Kumbe mnakamata kila siku mara mnanzuia kuingia kwenye vikao halali vya madiwani na wabunge wa Arusha ili asitimize ahadi zake? Mnakumbuka amefutiwa ubunge mwaka mzima? Imekula kwenu kama mlikuwa mnafanya hivyo kwa maksudi tumewajua, yafaa kuuliza maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi.
 
Hakuna cha maana alichokifanya LEMA toka achaguliwe kuwa mbunge, kwa hilo historia itamhukumu, na adhabu yake itatolewa kupitia box la kura!

Sasa msalani mbona unatoa harufu..unatuharibia mood bwana
 
Tubarikiwe wanachadema wote kalenga yetu tutashinda jembe Lema ubarikiwe sana
 
Na huo ndiyo msimamo, kama siyo Lema hizi barabara za lami zisingejengwa.



Hahahaha......
Mungu naapa sijawai ona mtu mwongo na laghai kama hii inaonyesha jinsi gani mnaweza kuwadanganya misukule yenu...

Mungi embu rudia tena ulichosema watu wasikie kwa nguvu.
 
KAMANDA , UMEONGEA KWA UCHUNGU SANA , tutahakikisha tunamsaidia mh lema kukamilisha ahadi zake , muda bado upo USIKONDE .
 
Back
Top Bottom