Kwako Kaka William Malecela

Kwenye kutokujua luga hapo umenena kweli tupu maana ndiyo hasa tatizo langu! Ila mengine kwakua wewe unatawaliwa na hisia labda nikuulize swali unataka ni kwambie ukweli ama nikwambie kile moyo wako unataka kusikia ili kutimiza haja ya moyo wako? (kujifariji). Vijana wengi sana wakitanzania wako huru kimawazo hasa wale ambao wazazi wao walikuwa in practice Nyerere's followers sasa wewe kwa sample yako ndogo ya akina Riz1 and the cores unataka ku generalize wote ni kosa kubwa sana. After all angalia mawazo ya wachangiaji hapa ambapo ukiyasoma tuu wanaamini sana katika haya hata bila uhalisia. Hapa watu wakijibu hoja za Wilium unaona kabisa hazilengi katika hoja bali cheo cha baba yake na wengine wanaamini kabisa he is in a better position to bring significant change kama atakuwa in their favours. Hawamcchukulii Wilium kama one of their ranks he is given a special position hata bila yeye kujiweka hapo. Hapo niambie ni tatizo la nani? Wilium ama wale ambao wameji classify na kujiposition kwenye nafasi za kutoweza kumchallenge na wanaishia kumtukana na wengine kulaani ishara ya defeat!

To me Wilium is just like any other kijana wakitanzania kama ameshindwa kuleta gud welfare inamaana na mimi nikishindwa basi sote hatuna tofauti. Lakini kwakua naamini yeye to some extent ameweza kwa nafasi yake kwa mfano kuja na wazo la JF kama magazeti yanasema ukweli this is very independent from Malecela's ideas and shows the diference between. Sasa yeye kaweza huko inamaana mimi naweza kivyangu maana na talent zangu ambazo yeye hana. Na mimi hili likiingia vizuri kwenye ubongo wangu sita angalia viongozi wa CCM walioamua kuwaweka watoto kwenye madaraka kama threat bali ni weak agents ambao I can easly technically defeat them maana mimi ni kama siko kwenye hiyo kubebwa maanake nimekutana na challenge nyingi sana ambazo zinanipa opportunity ya kuwa out compete. Ndiyo maana huwezi mlinganisha Lisu, Kitila, Mnyika, Zitto etc na mtoto yeyote wa kibosile aliyebebwa na kupachikwa kwenye position wasimame kwa hoja na ionekane kawa defeated ndiyo maana walijiamini wakaenda upinzani. Lakini usisahau kuna Makongoro Nyerere aliye onyesha anaweza; vincent Nyerere and many other ambao wako under ground. Nilichotaka kukuonyesha nikuwa sample yako ni ndogo kuja na general conclusion. Na ku spot Africa tu ni kuionea mbona huzungumzii akina Bush; Hilary Clinton etc ambao wazazi/waume wao walikua kwenye vyama walivyovitumia kupigania madaraka? Wengi wa challengers wakubwa hapa JF na amini ni hao hao unaowalaumu nahisi waki reveal ID zao utashangaa kuona na utabadili kauli yako haraka sana!

Nadhani una-matatizo mengi siyo lugha pekee ingawa lugha ndio unalolijua kwasasa! Kwanza soma vizuri hoja yangu haiongelei mtu, wewe akili yako inamwaza Willy, ongelea tatizo ndipo utajua pakuanzia lakini kama upo hapa kujadili mtu nadhani haupo sawa Mkubwa, tazama umefikia hata kufunga mjadala wako kusema kuna 'sample size' unataja hadi jina la RIzi! ukitaka kuongea sample kwa maana hoja kuwa wapo wachache hunabudi kutaja ipi ni sample kubwa unayodhani itakufurahisha! na utueleze hiyo size unayotaka unairejea wapi.

Husijifanye kujua wapo wanaojua zaidi yako humu ndani! we toa mchango wako nakushauri weka mjadala wako kulenga tatizo siyo ukubwa na kujadili mtu kama mtu, kama unamtumia mtu mtumia kama jukwaa. Pia ukisha weka mtazamo wako katika kujadili tatizo uje na hoja pia niwakati gani kwa uelewa wako ukubwa wa tatizo fulani linaweza kuchukuliwa kama tatizo! au hilo tatizo unataka liongelewe likiwa na ukubwa wa aina gani? (wewe unaita sample! hata hujui maana ya sample sijui umesoma wapi wewe)
 
Mkuu labda kuna kitu kimoja kinakupita kidogo, pamoja na kuwa una upeo mzuri sana wa kuchanganuwa mambo, nadhani hizi ni athari za kushiriki siasa kimtandao zaidi kuliko phissically, na hata unapokuja nchini nadhani unakosa muda wa kutosha wa kupima na kujiridhisha ni kiasi gani Watanzania wamekata tamaa ya maisha.

Swala hapa sio CHADEMA, na yeyote anaedhani CHADEMA ndio mpinzani wa CCM basi anajidanganya yeye mwenyewe kwa makusudi au kwa kutokujuwa, Wananchi sasa hivi wanaangalia ni nani atakaewaunganisha kuelekea nchi ya kanani, maana ndani ya miaka 50 ya utawala wa CCM wameshindwa hilo. haiingi akilini kwa nchi tajili kama Tanzania wananchi wake wawe maskini wa viwango hivi, na kama Mkuu William unajidanganya kwamba CCM ina nafasi zaidi ya kuendelea kuongoza nchi nakupa pole sana labda kusiwe na katiba mpya Tanzania na tume huru ya uchaguzi. vijana wote ambao walikuwa hawana sifa za kupiga kura mwaka 2000 mwaka 2015 wote watapiga kura na ni hao ndio wengi siku hizi wapo kwenye vijiwe huku nyumbani tunavihita maarufu kama MAKEMPU.

Ili ni kundi kubwa la vijana wa dot com ambalo halina hajila na wanapenda maisha ya kisasa, na hawa huwezi kuwadanganya kwamba CCM ndio iliyokulea, hawa wote wanajuwa kwamba CCM ni chama cha mafisadi, na mtaji wa ccm ni vizee vichovu ambavyo vinaendelea kufa kwa kasi kubwa kutokana na maisha duni, kwa hiyo mtaji muhimu wa ccm unabaki kwa wanawake wa nyumbani walioishia darasa la nne na la saba, kwa mtaji huu ccm is out of power, kama kutakuwa na free n fair election.

Changamoto:
nakupa changamoto kama kweli unadhani ccm ipo tena mioyoni mwa watanzania, katika wapiga kura wenye sifa 20,000,000 ni kwa nini ccm ipate kura 5,000,000!? na je zaidi ya wapiga kura 10,000,000 hawakuonekana kwenye kupiga kura je wako wapi watu hawa? je unaweza kunipa final results kutoka NEC for 2010 General election? CCM iko madarakani kwa ridhaa ya vyombo vya dola na sio Wananchi.
Mimi binafsi kati ya kifo na ccm , mimi nachaguwa kifo.

- Mkuu kwani katiba inasema nini kuhusu CCM kushinda na wapiga kura Millioni tano, maana tuongee kisayansi kidogo!

William @ NYC, USA.
 
- Mkuu kwani katiba inasema nini kuhusu CCM kushinda na wapiga kura Millioni tano, maana tuongee kisayansi kidogo!

William @ NYC, USA.

Kisayansi? Katiba iliyotungwa na wezi ndio sayansi? Ivi wewe ijapokuwa unachukia ufisadi uliopo ccm bado umefurahi kitendo cha wao kuiba kura na kushinda?
 
- Mkuu kwani katiba inasema nini kuhusu CCM kushinda na wapiga kura Millioni tano, maana tuongee kisayansi kidogo!

William @ NYC, USA.
William katiba ipi unayoiongelea? Kama ni hii tusipoteze muda kuijadili, ni usanii mtupi

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
- Katiba ilitungwa na Mwalimu, unasema alikuwa mwizi? Acha hiz mkuu!

William @ NYC, USA.[/QUOTE

Unamaanisha nini unaposema katikba ilitungwa na mwalimu? Do you honestly belive it was oneman show? au unatuchezea ile santuri ya zilipendwa ya Zidumu fikra sahihi za.....?
 
- Katiba ilitungwa na Mwalimu, unasema alikuwa mwizi? Acha hiz mkuu!

William @ NYC, USA.

Unamaanisha nini unaposema katiba ilitungwa na Mwalimu? Do you honestly belive that it was one man show? Au unatuchezea ile santuri ya zilipendwa inayoenda...Zidumu Fikra Sahihi Za......
 
Nadhani una-matatizo mengi siyo lugha pekee ingawa lugha ndio unalolijua kwasasa! Kwanza soma vizuri hoja yangu haiongelei mtu, wewe akili yako inamwaza Willy, ongelea tatizo ndipo utajua pakuanzia lakini kama upo hapa kujadili mtu nadhani haupo sawa Mkubwa, tazama umefikia hata kufunga mjadala wako kusema kuna 'sample size' unataja hadi jina la RIzi! ukitaka kuongea sample kwa maana hoja kuwa wapo wachache hunabudi kutaja ipi ni sample kubwa unayodhani itakufurahisha! na utueleze hiyo size unayotaka unairejea wapi.

Husijifanye kujua wapo wanaojua zaidi yako humu ndani! we toa mchango wako nakushauri weka mjadala wako kulenga tatizo siyo ukubwa na kujadili mtu kama mtu, kama unamtumia mtu mtumia kama jukwaa. Pia ukisha weka mtazamo wako katika kujadili tatizo uje na hoja pia niwakati gani kwa uelewa wako ukubwa wa tatizo fulani linaweza kuchukuliwa kama tatizo! au hilo tatizo unataka liongelewe likiwa na ukubwa wa aina gani? (wewe unaita sample! hata hujui maana ya sample sijui umesoma wapi wewe)

Tatizo ni kuwa kama una ni pima mimi kwa standard yako basi ujue jinsi uonavyo ndivyo ulivyo! Ukiona matatizo thats a reflectin of who you are kwamaana mtu husema kile kiujazacho moyo wake na huona kile ubongo wake unavyoweza ku reflect. To help you am not your mirror for you to see how you look like ukifanya hivyo you will end up being a looser in life! I am who I am not a copy or a duplicate of any under sun a very unique being and a particular personality thats why am called Ame and not Arafat; Tchao!
 
Unamaanisha nini unaposema katiba ilitungwa na Mwalimu? Do you honestly belive that it was one man show? Au unatuchezea ile santuri ya zilipendwa inayoenda...Zidumu Fikra Sahihi Za......

William hana maana hiyo. Maana yake ni kwamba ilitungwa kwa ushawishi mkubwa na matakwa ya Mwalimu Nyerere ambaye kipindi hicho, tutake tusitake, alikuwa anaona mbali kuliko wengine. Sifa kuu ya Nyerere, hakuwa mwizi!
 
Back
Top Bottom