<br />Oyaa wakubwa nani huyo anaaga tena?Mimi nipo gizani huku si muoni au ndo Mentor au nani huyo aliyeongozana na Mentor?Nijuze plz wazee.
Mkuu naona we unagonga KARIBU wakati mtu anasema KWAHERI.....Teh kweli kanyaga twendeKaribu JF!
oi.. Kumbe Bebii ndie Smile!!
hihihihi Watu wengi kumbe wana ID zaidi ya moja... Server imedetect Bebii ndie Smile...hahahaahahahahahh lol
hihihihi Watu wengi kumbe wana ID zaidi ya moja... Server imedetect Bebii ndie Smile...
Nilijua Bebii hatupo naye Tena....
Kataa mwaya,mpaka mtakapo pata chance?Mkikosa je hizo ice cream si utazisikia bombani tu!once tutakapo pata chance.....
Haha Sure but hii hutokea After Mtu Kupata Ban... Ana regist new one then Ban ikiisha anairejesha ile ya Mwanzo aipendayo.. Haka Kamchezo Kapo Sana Chat room Nyingi i did this but kama ip address huwezi i change ndio ina happen like this kama Bebii Sio Siri hata me nilipopata ban niliopen the Same Day new ID oi.... Then nimeona ni back na hiihuku ndani kwa multiple ID's wamejaliwa kwa kweli.. Nadhani ID ya baby na smile either zimeoganishwa au ame cancel baby...