Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Nashukuru sana members wengi wameonekana kupenda jinsi ninavyotoa mchango wa busara, hekima, upendo na akili ya kiwango cha juu humi JF.
Watu kadhaa wanasema nimeokoa maisha yao kipindi ambacho walikuwa wamekata tamaa na kuona bora wafe tu. Watatu walikuwa wamesha saga chupa wanasubiri tu kunywa, wanne walikuwa wamenunua sumu ya panya wakaamua kuacha kunywa wao na kuulia panya.
Wawili walikuwa wakajigongeshe kwenye magari ya mwendo kasi. Nashukuruni ila msinisifie sana mimi ni binadamu kama ninyi sema tu nimepata maarifa ambayo wengi hamkupata.
Mademu sasa ndo imekuwa kero kila mmoja anakuja akitaka nikamchape nao.... Naona hawa kama watanimaliza damu mwilini. Maana wanaenda simuliana inakuwa shida. Jamani tu jaliane pia. Afya ni muhimu. Na ule msemo wenu kuwa kama si JUHUDI ZAKO CHEESE MAARIFER JF INGEKUWA WAPI. Msiseme hivyo mtasababisha watu wanichukie.
Watu kadhaa wanasema nimeokoa maisha yao kipindi ambacho walikuwa wamekata tamaa na kuona bora wafe tu. Watatu walikuwa wamesha saga chupa wanasubiri tu kunywa, wanne walikuwa wamenunua sumu ya panya wakaamua kuacha kunywa wao na kuulia panya.
Wawili walikuwa wakajigongeshe kwenye magari ya mwendo kasi. Nashukuruni ila msinisifie sana mimi ni binadamu kama ninyi sema tu nimepata maarifa ambayo wengi hamkupata.
Mademu sasa ndo imekuwa kero kila mmoja anakuja akitaka nikamchape nao.... Naona hawa kama watanimaliza damu mwilini. Maana wanaenda simuliana inakuwa shida. Jamani tu jaliane pia. Afya ni muhimu. Na ule msemo wenu kuwa kama si JUHUDI ZAKO CHEESE MAARIFER JF INGEKUWA WAPI. Msiseme hivyo mtasababisha watu wanichukie.