Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

Binafsi namtakia Maisha Mema uko aendako
Anakula katoto kabichiiii!!!! Acha tuuuu....ila mambo hayaa acha tu!!! Yule ni kama mdogo wake tu ila ndio mkewe now.....ni boss boss pale CRDB.....mrembo mmoja hivi! Anakula kwa nafasi na amekuwa kama mke wake kabisa!!! Ni hayo tuu
 
binafsi nampongeza sana kwa kweli ameweka mchango mkubwa sana ktk jeshi letu la tanzania,kwakweli ni mabadiliko makubwa sana tumeyaona ktk jeshi letu, ususani kiutendaji, maisha kwa ujumla ya wanajeshi yamebadilika sana compare na zamani,pia vitendea kazi vimeboreshwa sana pamoja na mavazi, kwakweli ni mengi sana umefanya mkuu, salute kwako!
 
Yaani tangu jeshi lianzishwe ni MUISLAM mmoja tu ndiye aliyewahi kuwa mkuu wa majeshi huyo Abdalla Twalipo?

Wengine woote ni wagalatia

This is Unfair.
Toa upupu wako hapa, umejuaje kama ni wagalatia na sio wapagani
 
Anakula katoto kabichiiii!!!! Acha tuuuu....ila mambo hayaa acha tu!!! Yule ni kama mdogo wake tu ila ndio mkewe now.....ni boss boss pale CRDB.....mrembo mmoja hivi! Anakula kwa nafasi na amekuwa kama mke wake kabisa!!! Ni hayo tuu
Miaka ya nyuma kwenye beach fulani niliwahi kumuona Mwamunyange alikuwa na familia yake mke wake alikuwa mrembo mweupe ndio huyo unayemzungumzia ?
 
Miaka ya nyuma kwenye beach fulani niliwahi kumuona Mwamunyange alikuwa na familia yake mke wake alikuwa mrembo mweupe ndio huyo unayemzungumzia ?


Hapana, anamzungumzia ,,wewe"!
 
Kama sijakosea ameongezewa tena mda zaidi wa kubaki kwenye ukuu wa majeshi.
 
Vannessa huyo si muislamu na comment zake juu ya waislamu na uislamu humu zinajulikana. Huyo yupo kwa yesu ila chuki zake zimepita kikomo. Hawezi kujizuia hata kidogo. Muda wote anataka kuleta vurugu hata sehemu isiyo husika. Hapa waislamu wanaingiaje na hawajawahi kusema chochote.

Huu si uungwana,
Kumbe mpuuzi tuuu huyu atutolee nzi sie msonyooooooo
 
Wewe utakuwa mchaga
Nitakuwa Msimbiti...Mwaka 2006 Mwamunyange alipandishwa rank kutoka LT. Gen kuwa General na hatimaye kuteuliwa kuwa CDF kabla ya uteuzi huo alikuwa Mnadhimu mkuu wa JWTZ nafasi aliyomwachia Lt. Gen Shimbo aliyemwachia nafasi ya ukuu wa JKT Meja Martin Madatta!
 
Davies Adolf Mwamunyange alijaliwa Talanta ya Uongozi na kaitumia vyema hilo ni jambo jema kwake na kwetu pia Watanzania.

Namtakia Maisha mema .
 
Marekan wana 5 stars wew ndo cheo cha mwisho wanamuita general of the amry kule command zinaongozwa na general. Halafu GA ndo mkuu wa majeshi yote mjifunze hata ku google
US jeshi lao kiuongozi ni :
1. Commander in Chief -president
2. Secretary of Defence
3. Chairman joint chief of staff
4. Command generals
5. Generals katika level mbalimbali

Hawa chairman na command generals wote ni 4 star generals na kuna 4 star generals wengine wengi tu huwa wanafika kati ya 15 mpaka 20 hivi wakiongoza vitengo mbalimbali
 
General Davis Mwamunyange. Hongera sana.
Tunaomba Mungu tupate CDF mwenye sifa za uwezo kama wako
 
Anakula katoto kabichiiii!!!! Acha tuuuu....ila mambo hayaa acha tu!!! Yule ni kama mdogo wake tu ila ndio mkewe now.....ni boss boss pale CRDB.....mrembo mmoja hivi! Anakula kwa nafasi na amekuwa kama mke wake kabisa!!! Ni hayo tuu
Mkuu umeanza haaaaaah haaaaah haya ya kweli?????
 
TPDF Current Senior officers
  • Chief of Defense Forces (CDF): Gen Davis Mwamunyange
  • Chief of Staff: Lieutenant General Venance Mabeyo
  • Commander of Land Forces Major General James Mwakibolwa
  • National Defence College: Major General Yakub Sirakwi
  • Commander of Air Forces Brig. General George William Ingram
  • Commander of Naval Forces Commodore Richard Makanzo
  • Chief of National Service: Brig Gen Mwita W. Isamuhyo
  • Lugalo Military Health School : Brig. General Robison Mwanjelwa
  • Tembo Brigade : Brig. General George Msongole
  • Staff College Head (Tengeru): Brig. General Sylvester Minja
Source: Likely future TPDF chief gets key post

Source: Millard Ayo
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia Mirisho Sarakyika hakufikia cheo cha Gen ila alikuwa mkuu wa majeshi
General mrisho sarayakikyaa.. NENDA SHULE YA MAKONGO ANGALIA JUU WALICHOANDIKA ELSE TUKAWASHAURI WAITOE.. TUWEKEE KUMB NO
 
Back
Top Bottom