Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

Ma

Marekan wana 5 stars wew ndo cheo cha mwisho wanamuita general of the amry kule command zinaongozwa na general. Halafu GA ndo mkuu wa majeshi yote mjifunze hata ku google

Soma uzi mzima halafu urudi tena ueleweshwe.

Au kukusaidia nitajie jina la general of the army(unayesema ana 5stars) halafu nitajie rank ua chairman joint chiefs.

Umesema kweli kuwa kila kamandi inaongozwa na 4star General hapo tunakubaliana. Ila hata mkuu wa CENTCOM ni general(4star). Na kuna mtu aliye juu yake hapo(majukumu) ila rank yake ni 4stars/equivalent.

Itakua vizuri sana ukinitajia mwenye nyota tano mimi sijui kugugo
 
Ma

Marekan wana 5 stars wew ndo cheo cha mwisho wanamuita general of the amry kule command zinaongozwa na general. Halafu GA ndo mkuu wa majeshi yote mjifunze hata ku google
America kuna Mkuu wa Majeshi yote?? Embu fafanua basi.
Mana navojua kule hakuna mkuu in such ila kuna mtu anaitwa CHAIRMAN of JOINT CHIEFs of STAFF huyu "ndo kama CDF wao."
Na general of the army ni mkuu wa Army...army kwa America ni ground forces...
Screenshot_20170131-150306.png
 
Ma

Marekan wana 5 stars wew ndo cheo cha mwisho wanamuita general of the amry kule command zinaongozwa na general. Halafu GA ndo mkuu wa majeshi yote mjifunze hata ku google
Halafu kwa sasa America hakuna 5 star general tena...wa mwisho alikua Omar Bradley....tena huyu alipewa nyota 5 kwa heshima fulani ili wasilingane na msaidizi wake aliyekua na 4 star general McArthur..maana nchi ilikua kwenye WWII
 
Mzee Mwamunyange hongera sana mzee. Mimi kama mimi nakupa heshima yako mzee kwa mema uloyafanya kwenye jeshi letu imara. Maana umesaidia watanzania wengi sana hata ambao nawafahamu wameenda huko kwa upendo wako tuu. Ila nasikitika tuu hukuwa mroho wa kila kitu kiende nyumbani, kuna mtu ambaye anatokea CHATO dah juzi kaingia mamlakani kapeleka kiwanja cha madege kwake kijijini, Jengo la TRA kwao, Duka la MSD kwao, Shule kali inajengwa kwao, kumbuka hata taa za kuongozea magari kapeleka kwao kijijini. Lakini mzee wangu Davis Mwamunyange kwetu Ngonga wala hata lami hakuna zaidi ya Ngonga Beach yako ile na kale ka jengo ka CRDB bank pale Kyela mjini. Mungu akusimamie huna uroho kama huyu Faru wa chatooo mzee bye byee
 
Kuna post moja imenikumbusha kweli Mwamnyange hajawahi kuwa C of Staff wakati anateuliwa kuwa CDF mnadhimu wake alikuwa Lt Gen Ndomba baada ya Lt Gen Gahhu kustaafu
 
Mzee Mwamunyange hongera sana mzee. Mimi kama mimi nakupa heshima yako mzee kwa mema uloyafanya kwenye jeshi letu imara. Maana umesaidia watanzania wengi sana hata ambao nawafahamu wameenda huko kwa upendo wako tuu. Ila nasikitika tuu hukuwa mroho wa kila kitu kiende nyumbani, kuna mtu ambaye anatokea CHATO dah juzi kaingia mamlakani kapeleka kiwanja cha madege kwake kijijini, Jengo la TRA kwao, Duka la MSD kwao, Shule kali inajengwa kwao, kumbuka hata taa za kuongozea magari kapeleka kwao kijijini. Lakini mzee wangu Davis Mwamunyange kwetu Ngonga wala hata lami hakuna zaidi ya Ngonga Beach yako ile na kale ka jengo ka CRDB bank pale Kyela mjini. Mungu akusimamie huna uroho kama huyu Faru wa chatooo mzee bye byee
Angekuwa Rais naye angefanya hivyo
 
Kuna post moja imenikumbusha kweli Mwamnyange hajawahi kuwa C of Staff wakati anateuliwa kuwa CDF mnadhimu wake alikuwa Lt Gen Ndomba baada ya Lt Gen Gahhu kustaafu
Kumbe hata nyie wanajeshi hamjui historia ya mkuu wenu, shame on you!
 
Mtanzania Fanyeni utafiti mwamnyange hujawai kuwa Mnadhimu Bali kabla Hajawa cdf alikuwa mkuu wa Jkt akiwa na cheo Cha meja generali
Aliteuliwa na JK kuwa mnadhimi.......akawa Lt Gen ndipo akapewa full Gen!! Usibishe kumbukumbu zipo!! Tumia simu yako tafuta mara moja utaona
 
Back
Top Bottom