Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

Hii inaweza kuwa taarifa na kampeni za kimyakimya.....
 
US jeshi lao kiuongozi ni :
1. Commander in Chief -president
2. Secretary of Defence
3. Chairman joint chief of staff
4. Command generals
5. Generals katika level mbalimbali

Hawa chairman na command generals wote ni 4 star generals na kuna 4 star generals wengine wengi tu huwa wanafika kati ya 15 mpaka 20 hivi wakiongoza vitengo mbalimbali
Kwa kuongezea tu....hao magenerals hawana commanding powers kisheria....mwenye nayo ni Rais
 
Wamuongeze muda, uwezo bado anao.
Kimsingi ametujengea heshima kitaifa na kimataifa
 
Kama amezaliwa mwaka 1959 kwanini astaafu sasa? Sidhani kama huwa mwaka ni sahihi.
 
Brig Gen-1 star
Maj Gen-2 Star
Lt Gen-3 star
General -4 stars

Huo ndo mfumo dunia nzima. Tofauti ni majukumu na majina tu. Na pia mlinganyo uliopo kati ya Land Forces(wengine wanaiita army??), Air Force na Navy

Katika literature nyingi wanasema mtu pekee aliyekuwa 5 stars General ni G. Washington(naye nadhani alipewa kwa heshima posthumously kama sikosei)
Sio kweli

Five-star rank - Wikipedia
 
5* general kwa bongo hakuna, kwa Trump yuko na ni preserved during war time.
Inawezekana Bongo hatuna. Siujui mfumo wetu maana karibia kila kitu ni siri.
Ndio maana tunaijua mifumo ya nje kuliko ya kwetu. Jeshi letu libadilike. information kama hizi ni public na hazikupaswa kuwa debated with no where to get them.

That being said, Trump hawezi kuwa 5*G kwa sababu sio mjeshi. Atabakia CiC of US Armed forces
 
Nope. Nyota haziendi hivyo. US ikiingia vitani kunakuwa na 5 Star General.
Sasa labda kama mfumo wetu useme uko hivyo na unahitaji kuleta evidence!

5 Star Generals of American Military History

Kama nilivyisema awali ni kwamba katika millitary history inawezekana kuna waliopewa Rank ya 5stars. Ila kimsingi ni kwamba haipo hio. Labda mtu atapewa ya heshima(pengine posthumously). Na pia kutokana na mabadiliko ya kiteknolojia majeshi kuhusisha navy na airforce zenye nguvu. Haiwezekani kuwa na 5star General
 
General ni uteuzi unaofanywa na rais au taratibu husika na sio mlolongo wa vyeo ambao lazima kila afisa wa ngazi za juu jeshini aufikie,
Huwezi kuwa mkuu wa majeshi kama huna cheo cha general, upo hapo?
Sio kweli, mbona sarakikya hakuwa General lkn alikuwa mkuu majeshi??
 
Vipi fomu zimeishatoka nikachukue[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom