Kwa wazazi: hii kitu inamsaidia nini mtoto?

Nikianza na imani, imani yao haba hasa kwa kuamini Mungu aliyemleta huyo mtoto hapa duniani hana uwezo wa kumkuza na kumlinda. Sasa moja kwa moja wanaamua kuwa na imani kwa miungu ya kisanamu.
Upeo, kwa kweli ni mdogo mno. Wanakuwa awawezi kujitawala basi na shaka kabisa wanatumia akili za kuchanganywa na za wengine.
Elimu, sina shaka kabisa ni level ya Secondary na kushuka chini.

Inaonyesha bado mdogo na hayajakukuta, yakikukuta utaelewa nini uandikacho. Karibu Ulimwenguni.
kwani waonaenda kwa waganga wote hawajasoma? na wanaupeo mdogo?
Chunguza, Fikiria chukua hatua .........
 
comments zenu nyingi ziko negative na hiyo kitu lakini hizo ndizo fikra za wazazi wa mtoto na bila shaka hiyo ndiyo aina ya malezi ambayo yatamsaidia mtoto huyo asiye na hatia kupigana na karne ya 21! Kazi ipo.
 
Kama huamini uchawi au ushirikina kwa nini uogope?

Labda useme wewe pia ni muumini wake, ila hu- practice wazi tu

Vinginevyo hamna sababu ya kuogopa

wee ntake radhi! Vi2 vyeusi kama hvyo hasa kwa watot wadogo vnatisha loh! Unakuta mtoto mdogo kafungashiwa cjui ndo mnaita mairizi kuubwa shingoni,kiunoni,mikononi ,miguuni khaa! nipo kiimani zaid yaani cjawah fungwa hayo madubwasha wala sifikiriii kuwafunga watoto wanguu! Cjui watoto wanaona wachawi cjui mashetanii waapiii! Watalindwa kwa maombi tuuuuu mkuu!
 
wee ntake radhi! Vi2 vyeusi kama hvyo hasa kwa watot wadogo vnatisha loh! Unakuta mtoto mdogo kafungashiwa cjui ndo mnaita mairizi kuubwa shingoni,kiunoni,mikononi ,miguuni khaa! nipo kiimani zaid yaani cjawah fungwa hayo madubwasha wala sifikiriii kuwafunga watoto wanguu! Cjui watoto wanaona wachawi cjui mashetanii waapiii! Watalindwa kwa maombi tuuuuu mkuu!

Hujaeleza kinachokutisha hadi muda huu.
 
Huyo halima aikuwa anasoma learn IT pamoja na kuelimika pia huwa anasumbuliwa na majini na hujafatiliza yanachotaka I know her nimeishi nae room moja hostel NBC club
 
Well said my dia!
Sisi tulio kulia uswazwi tumekutana na hivyo vitu na bado watu wengi bado wana practise sana! hicho kikamba cheusi kwenye mkono wa mtoto wa Bob Junior kinaendana sana na imani, hailezeki kuwa ni imani ya nini maana yeye mwenyewe na mkewe ndio wanajua zaidi, mimi nilisha muuliza mdada mmoja ambaye alikuwa amemfunga mwanayea akasema kinacho fungwa kwenye kikamba cheusi kwenye mkono wa mtoto ni kitovu chake ambacho hukatika siku kadhaa mara baada ya kuzaliwa.

akasema kuwa wanaamini kuwa mtoto akifungwa kitovu chake huwa haoti ndoto mbaya wala kulia lia usiku, na wanapenda kufunga kwa kamba nyeusi kwa sababu kamba nyeusi inaicha uchafu tofauti na kutumia kamba nyeupe ambayo huonyesha uchafu kirahisi.

hizi zote ni imani tu ambazo hazielezeki kirahisi, ni sawa na wale wanao vaa shanga shingoni halafu wanaziita culture.
 
Mle kwenye kitambaa kunakuwa kunafungwa Mvuje,na ule mvuje humsaidia mtoto asiweze kustukastuka na pia kukumbwa na mapepo ya njiani.Mbali na yote pia huwa na dua mbalimbali.
Na inaonekana upeo wa watu kwenye maandiko hata ya vitabu hapa ni mdogo sana.Haya mambo yapo tangu wakati wa mitume wote.

Unajua wengine tukifika mjini ndio tunaona kila kitu,ila tukianza kuumwa tu haoo vijijini.

.
Naomba nipatie reference ya hayo maandiko yanayoelekeza hiyo kitu.
Yanapatikana katika kitabu na aya ya ngapi?
 
Inaonyesha bado mdogo na hayajakukuta, yakikukuta utaelewa nini uandikacho. Karibu Ulimwenguni.
kwani waonaenda kwa waganga wote hawajasoma? na wanaupeo mdogo?
Chunguza, Fikiria chukua hatua .........

Duh kuna watu bado wanaamini ndumba?
 
comments zenu nyingi ziko negative na hiyo kitu lakini hizo ndizo fikra za wazazi wa mtoto na bila shaka hiyo ndiyo aina ya malezi ambayo yatamsaidia mtoto huyo asiye na hatia kupigana na karne ya 21! Kazi ipo.

AH wapi....unajua nini,kama wanaamini na wanaweza wangemvalisha tokea akiwa tumboni,Je tumboni alikua analindwa na nani?
 
Hongera sana ujumbe umetufikia sisi wadau wa matunguri na tunakuahidi tutaufanyia kazi! Wasi wasi wangu upo kwa hawa wanaouza sura na kutafuta umaarufu katika jamii,sijui kama wataweza kuacha mambo haya kwani inaonekana wamebobea sana katika tunguri kiasi kwamba wameanza kurithisha vizazi vyao!
 
Back
Top Bottom