musangano
Senior Member
- Nov 17, 2012
- 138
- 76
It's America's fault!
Nimekuona kwenye thread nyingine ya mlipuko kwigamboni umereply hivo hivo. Sijui umeset default reply
It's America's fault!
There are things in life that are very difficult to explain
Ni kweli mkuu hii ipo sana tu . Nakumbuka wakati flani mama mmoja mwanae aliugua basi alipomfikisha kituo cha afya dr akaiona hiyo kamba nyeusi akamwambia mzazi arudi tu nyumbani kwani mtoto tayari ana dawa haitaji dawa nyingine. Ilibidi mama yule amvue mwanae hiyo kamba na ndipo alipopatiwa matibabu. Wazazi inapasa tubadilike hii kitu haina nguvu
Hahahahaha baadhi ya wazazi bwana we acha tu, waniita hii saa yaani wana imani za ajabu sana. Ni siku nyingi mkuu hata namba yake sina, mpe tu hongera kwa imani.Naomba namba ya simu ya huyo DR. kwa kweli anastahili sifa sana. Hizi imani zingine hizi, yaani mtoto anazaliwa basi mzazi tayari unatokwa na povu kuwa mtoto atakuwa shetani ama jini hivyo lazima avalishwe kitanzi cha mkononi.
Naomba kuuliza kwa wale wenye watoto.
angalia picha hapo chini.
Mkono wa huyo mtoto amevalishwa kamba nyeusi.
Nimewaona watoto wengi hasa uswahilini huvishwa hiyo kitu.
Ni urembo kwa mtoto au hiyo kitu inamaana gani kwa mtoto?
NB: Pichani ni msanii wa bongo fleva na producer maarufu, Bob Junior akiwa na familia yake.
Hapo ilikuwa katika hafla ya kufuturu. ni hafla ya kiimani zaidi.
Hahahahaha baadhi ya wazazi bwana we acha tu, waniita hii saa yaani wana imani za ajabu sana. Ni siku nyingi mkuu hata namba yake sina, mpe tu hongera kwa imani.
Kwani ukimbeba au kumshika itakuwaje?
pacha wa kike na wakiume..... Na wakiume mwinginewa kikee wa kiume?
Naomba kuuliza kwa wale wenye watoto.
angalia picha hapo chini.
Mkono wa huyo mtoto amevalishwa kamba nyeusi.
Nimewaona watoto wengi hasa uswahilini huvishwa hiyo kitu.
Ni urembo kwa mtoto au hiyo kitu inamaana gani kwa mtoto?
NB: Pichani ni msanii wa bongo fleva na producer maarufu, Bob Junior akiwa na familia yake.
Hapo ilikuwa katika hafla ya kufuturu. ni hafla ya kiimani zaidi.
Woote mnaosema hapo mliishavaa,sasa mgeuliza wazee walikuwa na maana gani.
Na utakuta hapa wengine kwa waganga wa kienyeji ndio kwao.
Hivi hapa nani hajawahi kwenda kwa mganga wa kienyeji na kwanini asiende Hospital.
Mle kwenye kitambaa kunakuwa kunafungwa Mvuje,na ule mvuje humsaidia mtoto asiweze kustukastuka na pia kukumbwa na mapepo ya njiani.Mbali na yote pia huwa na dua mbalimbali.
Na inaonekana upeo wa watu kwenye maandiko hata ya vitabu hapa ni mdogo sana.Haya mambo yapo tangu wakati wa mitume wote.
Unajua wengine tukifika mjini ndio tunaona kila kitu,ila tukianza kuumwa tu haoo vijijini.
Mie nipo Tofauti na nyie,kwamba naamini baathi ya mambo huwa ni sahihi na sio kila kitu kubeza.
Hapa mkulizwa faida ya Shanga kiunoni kwa mwanamke wooote mtajibu kwa jibu moja tu linalofana na moja kwa moja kwenye Ngono,maana ndio our first impression in mind.Wakati in deep kuna vitu vingi ndani yake.
neno hilo,ukitaka meza usipoweza tafuna.
nahisi ni uchafu alaf huwa naogopa ati!