Kwa wasiomjua BENJAMIN MKAPA, tafadhali soma hapa!

Mwizi tu chinga huyo! Kasababisha viongozi wengi wanakaa mahotelini kwa kuuza nyumba,kujiuzia kiwira,kuuza viwanda ambavyo badae wachina wamegeuza magodauni.! Hana mpango.
 
mbona hujaweka mazuri ya mkapa?
Utakuwa na chuki binafsi.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
.
Ama kweli wewe ni "jinga lao" kama ID yako inavyojieleza. Ni kama maiti inavyoheshimiwa na kuorodheshewa mema bila kutaja maovu. Aliye hai ataorodheshewa mema pale ambapo mema yanazidi maovu. Kama maovu yanazidi mema wewe hufai hata utakapokua maiti
 
Hakuna aliye mtimilifu. Jaribu kutuwekea na mazuri yake.
 
Kwa kifupi Mkapa kachukua nchi na kuijenga pale alipoacha mkoloni/
.alichunia matatizo yote ya kijinga ya nchi majirani na wala hakutaka kujiingiza kutatua migogoro yao wala kusaidia vyama vya ukombozi. yeyey alilenga kujenga vyuo vikuu na secondari ili na sisi tuje jitoshereza na wataalamu wetu.

serikali mwezi january ilitoa ajira 25000 za ualimu na kuwasambaza mikoani. Kati ya hao walimu walioajiliwa 13000 ni university graduates!! sasa wewe ona matunda ya benja kujenga vyuo vikuu na jinsi ambavyo anainua kiwango kizuri cha elimu(quality) itakapofikia 2050 shule za msingi zitakuwa na magraduates wa univesity na sio tena walimu wa colleges. miaka ya 1961- 1996 kulikuwa na kero mbaya za wazazi wenye kipato cha chini kwa watoto wao kurudia rudia darasa la saba ili wapate elimu ya secondari.

kero ilianza kufanyiwa kazi na mkapa na kumaliziwa na JMK na sasa kero hii imepungua from 100% to 2% huu ni ukombozi mkubwa sana kwa vijana kuanza kuzurula wakiwa na miaka 15!

Jambo aliloniuzi mimi ni moja tuu nalo ni kutofungua ubalozi kamili na taifa la israel. hapo mkapa hakulitoa taifa letu katika laana ya kulichukia taifa la Israel. all in all, mkapa was the best presidenta at running economy. live long dear Benjaaaa! pigia debe basi tuweke ubalozi kamili pale tel aviv!
 
Kwa kifupi Mkapa kachukua nchi na kuijenga pale alipoacha mkoloni/
.alichunia matatizo yote ya kijinga ya nchi majirani na wala hakutaka kujiingiza kutatua migogoro yao wala kusaidia vyama vya ukombozi. yeyey alilenga kujenga vyuo vikuu na secondari ili na sisi tuje jitoshereza na wataalamu wetu.

serikali mwezi january ilitoa ajira 25000 za ualimu na kuwasambaza mikoani. Kati ya hao walimu walioajiliwa 13000 ni university graduates!! sasa wewe ona matunda ya benja kujenga vyuo vikuu na jinsi ambavyo anainua kiwango kizuri cha elimu(quality) itakapofikia 2050 shule za msingi zitakuwa na magraduates wa univesity na sio tena walimu wa colleges. miaka ya 1961- 1996 kulikuwa na kero mbaya za wazazi wenye kipato cha chini kwa watoto wao kurudia rudia darasa la saba ili wapate elimu ya secondari.

kero ilianza kufanyiwa kazi na mkapa na kumaliziwa na JMK na sasa kero hii imepungua from 100% to 2% huu ni ukombozi mkubwa sana kwa vijana kuanza kuzurula wakiwa na miaka 15!

Jambo aliloniuzi mimi ni moja tuu nalo ni kutofungua ubalozi kamili na taifa la israel. hapo mkapa hakulitoa taifa letu katika laana ya kulichukia taifa la Israel. all in all, mkapa was the best presidenta at running economy. live long dear Benjaaaa! pigia debe basi tuweke ubalozi kamili pale tel aviv!
kwa hiyo (kwenye red) unamaanisha kuwa huo mwaka 2050 ndipo wanaomaliza Form IV bila kujua kuandika majina yao watakuwa wanajua!? ....au ndio hata hao 'graduates' watakuwa hawajui hata kuhesabu 1-10!!!

 
Kumuua Mwalimu na kuuza kila kitu kwa wageni kumefuta mazuri yote tuliyoyaona kwa BWM. Ni vile tu hatuna ubavu wa kumshitaki labda mpaka ije katiba mpya na CCM itoke madarakani
 
Mbona Kikwete anaendelea kuua? aliua nyamongo, songea, arusha, juzi morogoro n.k huyu ndiye anaua zaidi maana yeye anaamrisha kuua popote pale bora mkapa alikuwa anaua wazenji pekee!
 
(1). Hana upendo kwani aliua maelfu ya wazanzibar ktk machafuko mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2000. Na akasababisha wakimbizi hadi leo wapo kule Mogadishu tangu septemba 2001. Hakika alifanya unyama wa kutisha aliamuru raia wauawe na wateswe ktk mitaa mbalimbali walioko Darajani na Mtendeni mashuhuda kwa hili (SOURCE: BBC SWAHILI, Daud Aweis, BBB-Nairobi, octoba 11, 2011) (2).

Ni mwongo, mtu wa visasi na mnafiki: Alimvua uraia "rafiki yake" Jenerali Ulimwengu ambaye alimpigia kampeni ktk uchaguzi wa mwaka 1995, wakati akipambana na Mrema. Licha ya jenerali ulimwengu kuwahi kuwa mkuu wa wilaya na kiongozi wa UVCCM akamtuhumu kuwa si raia wa Tanzania.

Kesi yao ilimalizwa mwaka 2003 kule Addis Ababa kwenye kikao cha OAU(sasa AU) ambapo wakuu wa nchi wanachama walibaini "Mr. Clean" mwongo na "mchapa majungu".

(3). Akauza kwa rafiki zake au kujiuzia mashirika yote ya UMMA na hatimaye akayaua, na mengine kama NBC akauza kwa "bei ya jioni" yaani nusu bure tena hadi leo wale makaburu hawajalipa deni lao.

(4). Akauza Kilimanjaro hotel kwa "wadau wake wa maendeleo watatu" tukalazika kulipa fidia kwa wale wawili tuliowafanyia "uhuni". Huyu ndie mwokozi na msafi aliyetumwa na CCM kuwaokoa kule ARUMERU.

Nawasilisha!
mbona hapa bado hujaweka data zote?maana kwa haya ulioandika ukimlinganisha na wenzake,wenzake wamemzidi sana,
 
Alijenga na pesa ya mamake au ilikuwa wajobu
Kwa kifupi Mkapa kachukua nchi na kuijenga pale alipoacha mkoloni/
.alichunia matatizo yote ya kijinga ya nchi majirani na wala hakutaka kujiingiza kutatua migogoro yao wala kusaidia vyama vya ukombozi. yeyey alilenga kujenga vyuo vikuu na secondari ili na sisi tuje jitoshereza na wataalamu wetu.

serikali mwezi january ilitoa ajira 25000 za ualimu na kuwasambaza mikoani. Kati ya hao walimu walioajiliwa 13000 ni university graduates!! sasa wewe ona matunda ya benja kujenga vyuo vikuu na jinsi ambavyo anainua kiwango kizuri cha elimu(quality) itakapofikia 2050 shule za msingi zitakuwa na magraduates wa univesity na sio tena walimu wa colleges. miaka ya 1961- 1996 kulikuwa na kero mbaya za wazazi wenye kipato cha chini kwa watoto wao kurudia rudia darasa la saba ili wapate elimu ya secondari.

kero ilianza kufanyiwa kazi na mkapa na kumaliziwa na JMK na sasa kero hii imepungua from 100% to 2% huu ni ukombozi mkubwa sana kwa vijana kuanza kuzurula wakiwa na miaka 15!

Jambo aliloniuzi mimi ni moja tuu nalo ni kutofungua ubalozi kamili na taifa la israel. hapo mkapa hakulitoa taifa letu katika laana ya kulichukia taifa la Israel. all in all, mkapa was the best presidenta at running economy. live long dear Benjaaaa! pigia debe basi tuweke ubalozi kamili pale tel aviv!
 
(1). Hana upendo kwani aliua maelfu ya wazanzibar ktk machafuko mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2000. Na akasababisha wakimbizi hadi leo wapo kule Mogadishu tangu septemba 2001. Hakika alifanya unyama wa kutisha aliamuru raia wauawe na wateswe ktk mitaa mbalimbali walioko Darajani na Mtendeni mashuhuda kwa hili (SOURCE: BBC SWAHILI, Daud Aweis, BBB-Nairobi, octoba 11, 2011) (2).

Ni mwongo, mtu wa visasi na mnafiki: Alimvua uraia "rafiki yake" Jenerali Ulimwengu ambaye alimpigia kampeni ktk uchaguzi wa mwaka 1995, wakati akipambana na Mrema. Licha ya jenerali ulimwengu kuwahi kuwa mkuu wa wilaya na kiongozi wa UVCCM akamtuhumu kuwa si raia wa Tanzania.

Kesi yao ilimalizwa mwaka 2003 kule Addis Ababa kwenye kikao cha OAU(sasa AU) ambapo wakuu wa nchi wanachama walibaini "Mr. Clean" mwongo na "mchapa majungu".

(3). Akauza kwa rafiki zake au kujiuzia mashirika yote ya UMMA na hatimaye akayaua, na mengine kama NBC akauza kwa "bei ya jioni" yaani nusu bure tena hadi leo wale makaburu hawajalipa deni lao.

(4). Akauza Kilimanjaro hotel kwa "wadau wake wa maendeleo watatu" tukalazika kulipa fidia kwa wale wawili tuliowafanyia "uhuni". Huyu ndie mwokozi na msafi aliyetumwa na CCM kuwaokoa kule ARUMERU.

Nawasilisha!

[h=1]Wazanzibari Somalia walalamika[/h]
Imeandikwa na Daud Aweis
BBC, Nairobi




11 Oktoba, 2011 - Imetolewa 11:12 GMT



111011111819_zanzibar_304x171_bbc_nocredit.jpg
Zanzibar



Wakimbizi kutoka visiwa vya Zanzibar wamekwama katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, wakidai serikali ya Tanzania imeshindwa kutoa kibali kwa shirika la wakimbizi duniani UNHCR ili kuwarejesha makwao.

Wakimbizi hao walikimbilia Somalia miaka kumi iliyopita baada ya machafuko ya baada ya uchaguzi wa urais wa Zanzibar mwaka wa 2000.
[h=2]Taarifa zinazohusiana[/h]



Wakimbizi hao kutoka visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania wameiambia BBC kuwa mwezi Januari mwaka huu, shirika la wakimbizi la Umoja wa Mataifa, UNHCR lilianzisha uratatibu wa kuwasajili kwa lengo la kuwarejesha makwao kwa hiari.
Wakati huo shirika la UNHCR liliwafahamisha wakimbizi hao wapatao 100 kuwa watarejeshwa nyumbani baada ya miezi mitatu, lakini hadi sasa mpango huo haujatimia.
"Baada ya muda huo wa miezi mitatu kumalizika, UNHCR ilituambia kuwa serikali yetu ya Tanzania haijatoa kibali cha kutuwezesha kurejea nyumbani na haitowezekana kuendelea na safari bila ya kupata kibali hicho. amesema mmoja wa wakimbizi hao Mohamed Adam Suleiman.
110807172939_dagaal.jpg
Mogadishu kuna mapigano


Bw Suleiman ametoa wito kwa serikali ya Tanzania kutoa kibali cha safari kwa UNHCR ili waweze kurejea nyumbani.
"Tunatoa wito kwa serikali ya Tanzania kutufahamisha sisi na Watanzania wengine sababu ya kushindwa kutoa kibali hicho. Pengine wana sababu zao za msingi, lakini sisi ni wakimbizi ambao tuna haki ya kurejea nyumbani."
Wakimbizi hao walikimbia machafuko ya baada ya uchaguzi visiwani Zanzibar mwaka wa 2000, baada ya kuzuka kwa mzozo juu ya matokeo ya uchaguzi wa urais, ambapo mgombea wa CCM aliibuka mshindi.
Wengi wa wakimbizi hao walikuwa wafuasi wa chama cha upinzani cha CUF, na walipitia Kenya na kuishi kwa muda mfupi, kabla ya kuelekea Somalia mwezi Septemba mwaka 2001.
Kufuatia muafaka wa kisiasa visiwani Zanzibar mwaka uliopita, na uchaguzi ambao ulimpa nafasi kiongozi wa CUF, Seif Shariff Hamad kuwa makamu wa rais, wakimbizi hawa wameamua kukubali kurejeshwa makwao.
Awali idadi ya wakimbizi hawa waliokwenda Mogadishu ilikuwa mia mbili, lakini baadhi yao wamerejea nyumbani na wengine kwenda katika mikoa mingine nchini Somalia kufanya kazi mbali mbali.

 
mbona hujaweka mazuri ya mkapa?
Utakuwa na chuki binafsi.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Mbona hana hata moja, au wewe utupe? Mtu mzima anawezaje kuropoka kama alivyoropoka Arumeru kama siyo laana anamwandama?
 
Kwa ujumla Rais Mkapa amekuwa akikwepa mara kwa mara kuzungumzia masuala muhimu ya taifa letu.

Na hata anapolazimika kuongea kauli zake huwa zinakuwa na utata na zisizo na manufaa kwa taifa.

Mfano alipokuwa Arumeru kwa nafasi yake (Japo alienda kama CCM) alipaswa kuongelea masuala ya jumla yenye manufaa katika kufanikisha uchaguzi bila kuegemea Chama chochote. Alipaswa kuonyesha ubaba. Lakini matokeo yake alimwaga ***** na majitaka.

Nadhani ni vema walio karibu nae wamsaidie kujitambua kuwa yeye ni Rais mstaafu na hivyo taifa linahitaji busara zake, anawajibika!
 
Back
Top Bottom