Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

Chifu mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2025
Posts
857
Reaction score
915
Hapa tuseme KIMEUMANA, Polisi kazi wanayo!!

Habari zenu wanajukwaa!

Hii habari ya morani wa kimasai kumuua bosi wao ambaye ni "MUWEKEZAJI" toka nchini China imenifikirisha sana!

Kinachonifikirisha ni kwamba : KAMA ALIYEUAWA ANGEKUWA MTU WA KAWAIDA nguvu ya kumtafuta muuaji pia ingekuwa ya kawaida au polisi wangemtafuta muuaji kwa kufanya upelelezi wa kawaida.

Changamoto kwa polisi ni kwamba pamoja na kwamba aliyeuawa sio mtu wa kawaida ,aliyeua au waliyoua pia siyo watu wa kawaida.

TUKIANZA NA MTU ALIYEUAWA ni muwekezaji au tuseme mfanya biashara toka nchi ya kigeni ambaye alikuwa akiishi nchini kihalali.

Bila shaka polisi wanajua kuwa wachina na wafanyabiashara wa kigeni wote habari hii wataifatilia kwa umakini mkubwa bali sio wachina tu hata balozi wa China nchini lazima afatilie polisi wanachukua hatua gani dhidi ya watu waliomuua raia wa nchi yao ndio maana nikasema polisi watalazimika kufanya zaidi ya upelelezi wa kawaida kwa sababu aliyeuawa siyo mtu wa kawaida!

Tukirudi upande wa wauaji , WAMASAI KWA UJUMLA WAO NINAVYOWAJUA MIMI SIO WATU WA KAWAIDA!.

Kuna mtu aliwahi kuandika humu mitandaoni kwamba pamoja na kwamba jijini Dar esa salam mchana katika mizunguko yake anakutana na wamasai wengi wakifanya shughuli hizi na zile, lakini HAJAWAHI KUPANGA CHUMBA NYUMBA MOJA NA MMASAI!.

Alichomaamisha ni kwamba pamoja na kwamba wamasai tunaishi nao na kukutana nao masaa ya mchana katika mizunguko yetu ya kila siku lakini HAKUNA ANAYEJUA WALA ANAYETAKA KUJUA WAMASAI WANALALA WAPI!.

Tikiachana na hoja ya WANALALA WAPI! ni kwamba wamasai wao wenyewe kwa makusudi na kwa malengo maalumu wamejitengenezea mazingira yanayowafanya waonekane kwamba SIYO WATU WA KAWAIDA!
Mmasai anapojikuta katika ugomvi na mtu au watu wengine ambao siyo wamasai hujifanya mwehu,chizi fulani au mtu asiyeelewa anachoambiwa kwahiyo anaweza kupiga , kujeruhi na hata kuua na kuondoka kwa kuona kuwa watu hawawezi kumfanya chochote kwakuwa anatisha kwa uwendawazimu wake!

Masiku ya karibuni paliwahi kutoka kipande cha video kinachoonyesha wamasai wakiwakimbiza na kuwapiga askari wanaolinda ufukweni kule Zanzibar.

Mwaka 1999 wakati kuna ukamataji wa watu ambao hawajalipa KODI YA MAENDELEO AU KODI YA KICHWA, nilishuhudia jijini Mwanza ( wakati huo ilikuwa manispaa) mgambo alimsimamisha mmasai na kumtaka aonyeshe lisiti ya malipo ya kodi ya maendeleo! ( Wakati huo ilikuwa lazima kutembea na lisiti ya malipo ya kodi kama umeishalipa )

Yule mmasai aliruka juu na alivyotua alikuwa tayari kashika sime mkononi wale mgambo wakatimua mbio kuokoa maisha yao na mmasai akaendelea na mishemishe zake.
Lakini pia wamasai wanafanana na wanaishi kwa kulindana.

Unaweza ukaishi na mmasai mwaka mzima na usijue jina lake zaidi ya kumuita "Masai au Lafiki "
Ukimsalimia utamwambia "JAMBO RAFIKI NA YEYE ATAKUJIBU HIVYO HIVYO JAMBO LAFIKI"
Moja ya ugumu wa kufatilia kesi ya mmasai ni kwamba majina yao wanayajua wao wenyewe kwa kuwa sisi tunawaita " Masai au Lafiki"

HATUJUI WALA HATUTAKI KUJUA MAJINA YAO.
Jambo jingine ni kwamba mmasai anaishi sehemu yoyote na mazingira ya aina yoyote.
Mvua,jua na uchafu kwake siyo tatizo.

Pia anao uwezo wa kusafiri kwa njia yoyote kwenda popote na kwa usafiri wa aina yoyote ikiwa pamoja na miguu yake mwenye na akafika popote hata kama ni mbali sana.

Muda huu ambao polisi wanadai kufanya uchunguzi wa kina wauaji wanaweza kuwa wanakaribia kufika Ngorongoro au mkoa mwingine wowote mbali na Dar Es Salaam.

Jambo jingine ni kwamba mmasai anapofanya kosa huwa wamasai wenzake wanataratibu zao za kimila za
kumkanya na ikiwa pamoja na kumtoza faini kwa taratibu zao za mila za kimasai.

Kwahiyo kwakuwa tunawaona wamasai mijini na hakuna anayejua wametokea mkoa wala wilaya gani kama ambavyo mijini hatuna utamaduni wa kufatiliana na kuulizana bila sababu, kwahiyo hata kama hapo Dar Es Salaam kuna wamasai wenzake wanaomjua haitakuwa rahisi kwa wamasai wenzake kutoa taarifa zinazoweza kusaidia kukamatwa kwake kwa vyombo vya dola, watazuga kama vile hakuna
 
Aliyeua au waliyeua atapatikana kiraisi sanaa kuliko kupatikana member wa JF.. yaani kuna ugumu mkubwa sana kupatikana member wa JF

Huyo masai anapatikana hasubuhi peupe sanaa, nipo hapa

Wana taaluma ya kupambana na simba tu ila kwenye swala la kujificha sio kishirikina wala kwa nguvu za Mungu hawawezi..

Usicheze na damu ya mtu , Mkuu
 
Kitu usichokijua pia ni kuwa maasai wakiwa kwenye maeneo yao ya asili ni waoga na hawana hiyo cofindence wanayoionesha huku mjini!!
Ukiwaingia vizuri unampata bila kutumia nguvu nyingi!
 
Hapa tuseme KIMEUMANA, Polisi kazi wanayo!!

Habari zenu wanajukwaa!

Hii habari ya morani wa kimasai kumuua bosi wao ambaye ni "MUWEKEZAJI" toka nchini China imenifikirisha sana!

Kinachonifikirisha ni kwamba : KAMA ALIYEUAWA ANGEKUWA MTU WA KAWAIDA nguvu ya kumtafuta muuaji pia ingekuwa ya kawaida au polisi wangemtafuta muuaji kwa kufanya upelelezi wa kawaida.

Changamoto kwa polisi ni kwamba pamoja na kwamba aliyeuawa sio mtu wa kawaida ,aliyeua au waliyoua pia siyo watu wa kawaida.

TUKIANZA NA MTU ALIYEUAWA ni muwekezaji au tuseme mfanya biashara toka nchi ya kigeni ambaye alikuwa akiishi nchini kihalali.

Bila shaka polisi wanajua kuwa wachina na wafanyabiashara wa kigeni wote habari hii wataifatilia kwa umakini mkubwa bali sio wachina tu hata balozi wa China nchini lazima afatilie polisi wanachukua hatua gani dhidi ya watu waliomuua raia wa nchi yao ndio maana nikasema polisi watalazimika kufanya zaidi ya upelelezi wa kawaida kwa sababu aliyeuawa siyo mtu wa kawaida!

Tukirudi upande wa wauaji , WAMASAI KWA UJUMLA WAO NINAVYOWAJUA MIMI SIO WATU WA KAWAIDA!.

Kuna mtu aliwahi kuandika humu mitandaoni kwamba pamoja na kwamba jijini Dar esa salam mchana katika mizunguko yake anakutana na wamasai wengi wakifanya shughuli hizi na zile, lakini HAJAWAHI KUPANGA CHUMBA NYUMBA MOJA NA MMASAI!.

Alichomaamisha ni kwamba pamoja na kwamba wamasai tunaishi nao na kukutana nao masaa ya mchana katika mizunguko yetu ya kila siku lakini HAKUNA ANAYEJUA WALA ANAYETAKA KUJUA WAMASAI WANALALA WAPI!.

Tikiachana na hoja ya WANALALA WAPI! ni kwamba wamasai wao wenyewe kwa makusudi na kwa malengo maalumu wamejitengenezea mazingira yanayowafanya waonekane kwamba SIYO WATU WA KAWAIDA!
Mmasai anapojikuta katika ugomvi na mtu au watu wengine ambao siyo wamasai hujifanya mwehu,chizi fulani au mtu asiyeelewa anachoambiwa kwahiyo anaweza kupiga , kujeruhi na hata kuua na kuondoka kwa kuona kuwa watu hawawezi kumfanya chochote kwakuwa anatisha kwa uwendawazimu wake!

Masiku ya karibuni paliwahi kutoka kipande cha video kinachoonyesha wamasai wakiwakimbiza na kuwapiga askari wanaolinda ufukweni kule Zanzibar.

Mwaka 1999 wakati kuna ukamataji wa watu ambao hawajalipa KODI YA MAENDELEO AU KODI YA KICHWA, nilishuhudia jijini Mwanza ( wakati huo ilikuwa manispaa) mgambo alimsimamisha mmasai na kumtaka aonyeshe lisiti ya malipo ya kodi ya maendeleo! ( Wakati huo ilikuwa lazima kutembea na lisiti ya malipo ya kodi kama umeishalipa )

Yule mmasai aliruka juu na alivyotua alikuwa tayari kashika sime mkononi wale mgambo wakatimua mbio kuokoa maisha yao na mmasai akaendelea na mishemishe zake.
Lakini pia wamasai wanafanana na wanaishi kwa kulindana.

Unaweza ukaishi na mmasai mwaka mzima na usijue jina lake zaidi ya kumuita "Masai au Lafiki "
Ukimsalimia utamwambia "JAMBO RAFIKI NA YEYE ATAKUJIBU HIVYO HIVYO JAMBO LAFIKI"
Moja ya ugumu wa kufatilia kesi ya mmasai ni kwamba majina yao wanayajua wao wenyewe kwa kuwa sisi tunawaita " Masai au Lafiki"

HATUJUI WALA HATUTAKI KUJUA MAJINA YAO.
Jambo jingine ni kwamba mmasai anaishi sehemu yoyote na mazingira ya aina yoyote.
Mvua,jua na uchafu kwake siyo tatizo.

Pia anao uwezo wa kusafiri kwa njia yoyote kwenda popote na kwa usafiri wa aina yoyote ikiwa pamoja na miguu yake mwenye na akafika popote hata kama ni mbali sana.

Muda huu ambao polisi wanadai kufanya uchunguzi wa kina wauaji wanaweza kuwa wanakaribia kufika Ngorongoro au mkoa mwingine wowote mbali na Dar Es Salaam.

Jambo jingine ni kwamba mmasai anapofanya kosa huwa wamasai wenzake wanataratibu zao za kimila za
kumkanya na ikiwa pamoja na kumtoza faini kwa taratibu zao za mila za kimasai.

Kwahiyo kwakuwa tunawaona wamasai mijini na hakuna anayejua wametokea mkoa wala wilaya gani kama ambavyo mijini hatuna utamaduni wa kufatiliana na kuulizana bila sababu, kwahiyo hata kama hapo Dar Es Salaam kuna wamasai wenzake wanaomjua haitakuwa rahisi kwa wamasai wenzake kutoa taarifa zinazoweza kusaidia kukamatwa kwake kwa vyombo vya dola, watazuga kama vile hakuna
............. watazuga kama vile hakuna wanachoelewa , sanasana mambo yakiwa magumu watazungumza na familia yake wauze ng'ombe wawili watatu kutafuta hela za kuwahonga polisi na hata hakimu endapo kesi itafika mahakamani.
Kwakweli aliyeuawa siyo mtu wa kawaida na waliyoua sio watu wa kawaida.
KAZI KWENU JESHI LA POLISI.
 
Kitu usichokijua pia ni kuwa maasai wakiwa kwenye maeneo yao ya asili ni waoga na hawana hiyo cofindence wanayoionesha huku mjini!!
Ukiwaingia vizuri unampata bila kutumia nguvu nyingi!
Lakini nasikia hukohuko kwao wamewahi kumuua kwa mishale afisa mkuu wa idara ya wanyamapori pamoja na kwamba alikuwa na kikosi cha askari wenye bunduki.
 
Aliyeua au waliyeua atapatikana kiraisi sanaa kuliko kupatikana member wa JF.. yaani kuna ugumu mkubwa sana kupatikana member wa JF

Huyo masai anapatikana hasubuhi peupe sanaa, nipo hapa

Wana taaluma ya kupambana na simba tu ila kwenye swala la kujificha sio kishirikina wala kwa nguvu za Mungu hawawezi..

Usicheze na damu ya mtu , Mkuu
Kwanza tukubaliane kwamba aliyeuawa ni mchina na liyeua ni mmasai.

Huyu mchina nae alikuwa mvimba macho tu.
Mchina kamdhalilisha sana sensei/master wake. Anapigwaje na mchunga ng'ombe hadi kifo?!
 
Hapa tuseme KIMEUMANA, Polisi kazi wanayo!!

Habari zenu wanajukwaa!

Hii habari ya morani wa kimasai kumuua bosi wao ambaye ni "MUWEKEZAJI" toka nchini China imenifikirisha sana!

Kinachonifikirisha ni kwamba : KAMA ALIYEUAWA ANGEKUWA MTU WA KAWAIDA nguvu ya kumtafuta muuaji pia ingekuwa ya kawaida au polisi wangemtafuta muuaji kwa kufanya upelelezi wa kawaida.

Changamoto kwa polisi ni kwamba pamoja na kwamba aliyeuawa sio mtu wa kawaida ,aliyeua au waliyoua pia siyo watu wa kawaida.

TUKIANZA NA MTU ALIYEUAWA ni muwekezaji au tuseme mfanya biashara toka nchi ya kigeni ambaye alikuwa akiishi nchini kihalali.

Bila shaka polisi wanajua kuwa wachina na wafanyabiashara wa kigeni wote habari hii wataifatilia kwa umakini mkubwa bali sio wachina tu hata balozi wa China nchini lazima afatilie polisi wanachukua hatua gani dhidi ya watu waliomuua raia wa nchi yao ndio maana nikasema polisi watalazimika kufanya zaidi ya upelelezi wa kawaida kwa sababu aliyeuawa siyo mtu wa kawaida!

Tukirudi upande wa wauaji , WAMASAI KWA UJUMLA WAO NINAVYOWAJUA MIMI SIO WATU WA KAWAIDA!.

Kuna mtu aliwahi kuandika humu mitandaoni kwamba pamoja na kwamba jijini Dar esa salam mchana katika mizunguko yake anakutana na wamasai wengi wakifanya shughuli hizi na zile, lakini HAJAWAHI KUPANGA CHUMBA NYUMBA MOJA NA MMASAI!.

Alichomaamisha ni kwamba pamoja na kwamba wamasai tunaishi nao na kukutana nao masaa ya mchana katika mizunguko yetu ya kila siku lakini HAKUNA ANAYEJUA WALA ANAYETAKA KUJUA WAMASAI WANALALA WAPI!.

Tikiachana na hoja ya WANALALA WAPI! ni kwamba wamasai wao wenyewe kwa makusudi na kwa malengo maalumu wamejitengenezea mazingira yanayowafanya waonekane kwamba SIYO WATU WA KAWAIDA!
Mmasai anapojikuta katika ugomvi na mtu au watu wengine ambao siyo wamasai hujifanya mwehu,chizi fulani au mtu asiyeelewa anachoambiwa kwahiyo anaweza kupiga , kujeruhi na hata kuua na kuondoka kwa kuona kuwa watu hawawezi kumfanya chochote kwakuwa anatisha kwa uwendawazimu wake!

Masiku ya karibuni paliwahi kutoka kipande cha video kinachoonyesha wamasai wakiwakimbiza na kuwapiga askari wanaolinda ufukweni kule Zanzibar.

Mwaka 1999 wakati kuna ukamataji wa watu ambao hawajalipa KODI YA MAENDELEO AU KODI YA KICHWA, nilishuhudia jijini Mwanza ( wakati huo ilikuwa manispaa) mgambo alimsimamisha mmasai na kumtaka aonyeshe lisiti ya malipo ya kodi ya maendeleo! ( Wakati huo ilikuwa lazima kutembea na lisiti ya malipo ya kodi kama umeishalipa )

Yule mmasai aliruka juu na alivyotua alikuwa tayari kashika sime mkononi wale mgambo wakatimua mbio kuokoa maisha yao na mmasai akaendelea na mishemishe zake.
Lakini pia wamasai wanafanana na wanaishi kwa kulindana.

Unaweza ukaishi na mmasai mwaka mzima na usijue jina lake zaidi ya kumuita "Masai au Lafiki "
Ukimsalimia utamwambia "JAMBO RAFIKI NA YEYE ATAKUJIBU HIVYO HIVYO JAMBO LAFIKI"
Moja ya ugumu wa kufatilia kesi ya mmasai ni kwamba majina yao wanayajua wao wenyewe kwa kuwa sisi tunawaita " Masai au Lafiki"

HATUJUI WALA HATUTAKI KUJUA MAJINA YAO.
Jambo jingine ni kwamba mmasai anaishi sehemu yoyote na mazingira ya aina yoyote.
Mvua,jua na uchafu kwake siyo tatizo.

Pia anao uwezo wa kusafiri kwa njia yoyote kwenda popote na kwa usafiri wa aina yoyote ikiwa pamoja na miguu yake mwenye na akafika popote hata kama ni mbali sana.

Muda huu ambao polisi wanadai kufanya uchunguzi wa kina wauaji wanaweza kuwa wanakaribia kufika Ngorongoro au mkoa mwingine wowote mbali na Dar Es Salaam.

Jambo jingine ni kwamba mmasai anapofanya kosa huwa wamasai wenzake wanataratibu zao za kimila za
kumkanya na ikiwa pamoja na kumtoza faini kwa taratibu zao za mila za kimasai.

Kwahiyo kwakuwa tunawaona wamasai mijini na hakuna anayejua wametokea mkoa wala wilaya gani kama ambavyo mijini hatuna utamaduni wa kufatiliana na kuulizana bila sababu, kwahiyo hata kama hapo Dar Es Salaam kuna wamasai wenzake wanaomjua haitakuwa rahisi kwa wamasai wenzake kutoa taarifa zinazoweza kusaidia kukamatwa kwake kwa vyombo vya dola, watazuga kama vile hakuna
Ugumu ni kwamba polisi inaweza kuwekeza nguvu kubwa kukagua kila mmasai kutokana na mavazi yao, kumbe washaachana na rubega wanavaa kawaida.
 
Back
Top Bottom