Kwa wapenzi wa Nigerian music

Kwa wapenzi wa Nigerian music

Mama naipenda sanaa

Woju ni ya kiss daniel pia?
Yeah mama bonge moja la dude linachezeka kwenye tempo 123-125 kama sijakosea hivi , na kuhusu hiyo woju nayo ni ya kwake pia kamshirikisha davido na tiwa savage.sijui umenipata vilivyo mkuu?.
 
Duh kuna pini moja ya Mr flavor matata sana inaitwa Chinny baby du tamu sana hii ya kujiliwaza hivi usiku baada ya pilika pilika za kutwa nzima nafikiri nilihisahau kuiorozesha kwenye list itafuteni pia hiyo.
 
Yeah mama bonge moja la dude linachezeka kwenye tempo 123-125 kama sijakosea hivi , na kuhusu hiyo woju nayo ni ya kwake pia kamshirikisha davido na tiwa savage.sijui umenipata vilivyo mkuu?.
Aisee nilikuwa nachanganya madesa woju na uju
 
nonso amdi tonight
nonso amadi radio
ric hassan gentleman
rich hassan my love
ric hassan believe
ric hassan only you
ric hassan number one
johnny drille romeo and juliet
tafuta na ngioma nyingi za drille ni motooo
Romeo and Juliet[emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
tapatalk_1487793730131.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom