Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,444
soundcity my favouriteInafaa sana kwa matumizi
soundcity my favouriteInafaa sana kwa matumizi
Sound city ya wap?Poa,,nildhani sound city ipo vzr sana
Duu [emoji2] [emoji2][emoji23] umetisha jembe langu.Ninayo mkali...ni fire..
Usijali mkuu.kukosea kupo.Aisee nilikuwa nachanganya madesa woju na uju
Tiwa Savage anapambana htr aiseeKweli ila Tiwa Savage bado bado asee
Niniola hatari mkuu,,, maradona hbr nyingineKweli ila Tiwa Savage bado bado asee
Tiwa Savage yuko vzr kwa wadada wa k9ja,,,sema nw Hawa kina Niniola na Simi wanakuja vzr japo hawawezi mfkia Tiwa SavageMaradona ipo vizuri sana tu na Niniola piaa ila Tiwa Savage kwangu ndo the best asee
Of course.Kweli ila Tiwa Savage bado bado asee
Yemi alade ndio queen of naija flavour adi saiv..tiwa savage wakati wake ulishapita..cc wakongwe wamziki wa naija tunamjua tiwa savage kashuka sana kimziki..Ujio wa Niniola na Simi unatia Mashaka kwa kina Yemi na Tiwa Savage
Yemi alade anashuka sana siku hizi hata wanaija wenyewe hawamkubali kama zamaniYemi alade ndio queen of naija flavour adi saiv..tiwa savage wakati wake ulishapita..cc wakongwe wamziki wa naija tunamjua tiwa savage kashuka sana kimziki..
Wana sababu zao tu..ni sawa na kusema diamond anashuka wengine wana chuki binafsi..ila adi saiv hana mpinzani naamini..Yemi alade anashuka sana siku hizi hata wanaija wenyewe hawamkubali kama zamani
Exactly mkuu,,, Yemi ameshuka Sana,,Yemi alade anashuka sana siku hizi hata wanaija wenyewe hawamkubali kama zamani
[emoji23] [emoji23] bila kusahau girl next doorExactly mkuu,,, Yemi ameshuka Sana,,
Huu mjadala uliopo hapa hauna tofauti na mjadala mmoja uliotoka kwenye jarida la PULSE la mwaka jana mwshon wao waliandka km swal then wakaeleza kwa krefu Sana juu ya ishu hii
"Who currently wear the crown as queen of Nigeria pop music"
Wao wanasema Hakuna ubishi Tiwa Savage ni queen wa afropop kwa sasa akfuatiwa na Yemi,,,lakn wanasema Ujio wa Simi na Niniola unatia mashaka,,,japo kuna female artist weng tu wanafanya vzr kwenye mainstream km Seyi Shay, Waje lakn bado wameshndwa kuwazd hao kna Tiwa na Yemi...so Tiwa Savage is best,,,
Tujipongeze na Ma Lo ft Wizkid(don't go in Yoluba language) [emoji16] [emoji16]
asante mkuu,,,[emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji23] [emoji23] bila kusahau girl next door