AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,113
LOL Ngoja nurudushe mood then.
![]()
![]()
Now you are talking.... Adam and Eve indeed... as it is always supposed to be.....
LOL Ngoja nurudushe mood then.
![]()
![]()
Mkuu mimi nimezoea Bora shoes
Hahaha! Kwa wanaume wenzangu huwa sijui wanazo ngapi
Probably ni malezi na stereo types b'se primary wavulana tulikuwa tunakatazwa kuvaa mashati yenye darts. Kama ilivyo kwa mwanaume kuvaa pink colour.
I need help hap... EMT just sema ni ngapi, have no idea but najua kua most sio chini ya seven...
na hapo kwenye stereotypes ndo kuna kazi. hadi mtu akutoe kwenye boksi lako amefanya kazi ya ziada. kuna vitu ukiviona tu dukani, u relate to them. they ar like sooo meeeee! mwisho wa siku unajikuta una nguo or shoes of almsot same color,just different shades! comfort zone inahusika!
<br />uzee dawa mkwe,u will understand me 30 yrs to come,trust me sio mbali! sasa vipedo ndo kutiririsha?nipe darasa. afu siku hizi kuna zile sarawili/pedo/tite ambazo kama kanyela mumo,lol! (inabidi nimuombe FF anieleweshe,mweh!)
Hahaha! Kwa wanaume wenzangu huwa sijui wanazo ngapi
kuna umri ukifika hujui unazo ngapi
na zipi hazina matundu lol
hasa kama una pea nyingi nyeusi...lol
Hapa itabidi nikahesabu. Tatizo hapa kuna za kuvalia na viatu vya kupima na trainers. Bado hujaweka zile za kutoboka. LOL.
yaani
nilikuwa nasubiri mwaka mpya uje ndo ninunue kioo cha ukutani..
Kumbe bora niahirishe kabisaa lol
Mkuu Boss, na hii ya wanaume wengine kwenda kwenye pedicure na manicure na kutia wanja machoni na nyusi kuwekwa chale inakuwaje?
Juzi hapa one of the co-worker anatutambia kuwa huyafanya hayo almost every other week. I was just speechless, labda nimekuwa too mshamba ama siendi na wakati
Hapa itabidi nikahesabu. Tatizo hapa kuna za kuvalia na viatu vya kupima na trainers. Bado hujaweka zile za kutoboka. LOL.
kuna umri ukifika hujui unazo ngapi
na zipi hazina matundu lol
hasa kama una pea nyingi nyeusi...lol
mkwe nilimuona mwanaume kavaa kipedo na makirikiri.
Mkuu Boss, na hii ya wanaume wengine kwenda kwenye pedicure na manicure na kutia wanja machoni na nyusi kuwekwa chale inakuwaje?
Juzi hapa one of the co-worker anatutambia kuwa huyafanya hayo almost every other week. I was just speechless, labda nimekuwa too mshamba ama siendi na wakati
Hapa itabidi nikahesabu. Tatizo hapa kuna za kuvalia na viatu vya kupima na trainers. Bado hujaweka zile za kutoboka. LOL.
ukitenganisha zilizotoboka
zinaweza kubaki pea mbili tu lol
LOL Hili tuwaachie wanawake wajibu.
hahaha,u ar cracking me up! za kutoboka tena,uwiiiii! usije ukalazimika kuvua viatu ukaaibika,lol! kama una uzi na sindano hebu shikiza kidogo,hehehe