Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,303
Napenda kuvaa what makes me feel comfortable in it.
Na ukijua mgongoni kuna dart comfort inayeyuka! Kazi kweli kweli
Napenda kuvaa what makes me feel comfortable in it.
He he he
Wakikosa warembo watajibeba! Mtu hujijui uko na mwanamme au mwanamke mwenzio!
Maana lipstick na kutinda nyusi pia tayari!
afu uongee na mie vizuri nisitoboe siri yako ya handbags pia,manake ya viatu ishavuja,lol!
Mara ghafla bin vuu
![]()
Na ukijua mgongoni kuna dart comfort inayeyuka! Kazi kweli kweli
sometimes mnayataka nyinyi...
Mtu ukiwa clean but rough maneno meengi..
Mwisho inabidi kusubiriana na kupishana kwenye dressing table lol
honestly naweza kuishi bila kioo cha kujitazama hata mwaka mzima..
Kuna mwanamke anaeweza hiyo?
Umeona eeeh?? lol.... King' Mie kwenye bags... hata niwe nayo moja it is OK mradi iwe of class/quality/unique na not less than (Tsh 50,000)
Probably ni malezi na stereo types b'se primary wavulana tulikuwa tunakatazwa kuvaa mashati yenye darts. Kama ilivyo kwa mwanaume kuvaa pink colour.
na mwanamke hapaswi kutokuonana na kioo mwaka! Actually an ideal man (najua ashadii tunakubaliana hapa) hata skin lotion hatumii unless ana problematic skin! Mwanaume ilimradi hana body odors,should be fine! A man gotta look like a man jamani! Mnatukosesha nishai,lol
Na mwanaume average ana soksi ngapi?
na mwanamke hapaswi kutokuonana na kioo mwaka! actually an ideal man (najua AshaDii tunakubaliana hapa) hata skin lotion hatumii unless ana problematic skin! mwanaume ilimradi hana body odors,should be fine! a man gotta look like a man jamani! mnatukosesha nishai,lol
you are defining me hapo...
Bora ungenifuata pm,
sikujua kumbe ndo nipo ideal hivyo lol
Na mwanaume average ana soksi ngapi?
you are defining me hapo...
Bora ungenifuata pm,
sikujua kumbe ndo nipo ideal hivyo lol
EMT
Hiyo picha salaaale! Astaghfirullah
What is this sasa????????????????? MOOD imechafuka.. such muscular men??
hehehe,inabidi useme unatumia cologne gani,manake ndo mtihani wa mwisho kabla sijakuja huko pm,lol
(angalia ashadii asijue,ni wifi yangu)
<br />Na mwanaume average ana soksi ngapi?
hehehe,inabidi useme unatumia cologne gani,manake ndo mtihani wa mwisho kabla sijakuja huko pm,lol
(angalia ashadii asijue,ni wifi yangu)
yaani
nilikuwa nasubiri mwaka mpya uje ndo ninunue kioo cha ukutani..
Kumbe bora niahirishe kabisaa lol
hahaha! Kwa wanaume wenzangu huwa sijui wanazo ngapi