msije mkaanza kuvaa na nanilii zetu. Tu
Hivi kwa wastani
mwanamke wa kitanzania ana viatu vingapi na mabegi mangapi?
Nazungumzia working class...
Tukifanya utafiti utakuta ni industry ya mabilioni....
mara ya ngapi wavae? siku hizi nguo dukani shurti uulize kama ya jinsia gani,hukawii kununua shati la kiume.manake shurti darts nne mbele, nne nyuma! na kufuli siku hizi zipo za bikini za kiume,kha!
kwa ambao hawana waume, mshahara (au niyaite mapato coz kwa wengine yanapatika bila ya ajira rasmi) mwingi unamaliza kujipambia.
Wakiwa na mtoto wengi wanapunguza bajeti ya mapambo
ha ha ha.... This post is so EMT.... hii insight umetoa.... Great!!! Will be observing one or two things in such guys from now on!! lol
from ur experience
wastani ni viatu vingapi na mabegi mangapi?
Mimi na guess ni mabegi nane na viatu pea saba...
Na pointi hapa ni kuwa yeyote anaetengeneza bidhaa hizo
anapata faida...
Wananunua tu hata kama hawahitaji kabisa
from ur experience
wastani ni viatu vingapi na mabegi mangapi?
Mimi na guess ni mabegi nane na viatu pea saba...
Na pointi hapa ni kuwa yeyote anaetengeneza bidhaa hizo
anapata faida...
Wananunua tu hata kama hawahitaji kabisa
Hapo kwenye red unatisha!! LOL. How many of "such guys" do you have? LOL
pea saba ya viatu ni ndogo kaka.
huh pea saba tu boss!
Inategemea na kazi anayofanya zaidi lkn kwa mwenye uwezo wa kiasi ukihesabu vya mtoko, kazini, na vya kuzururia kariakoo vinaweza fika pea 20 hadi 30
bags labda ndio chache mtu anaweza kuwa nazo 4 za kazini na 4 za kutokea.
nimezungumzia average
wapo wa pea arobaini au hamsini
wengine kumi au sita
so average...
Wewe unahisi ni ngapi?
Yaani out of all those guys watatu wanaqualify kuonekana kama wako gay.... They don't look man enough...
nimezungumzia average
wapo wa pea arobaini au hamsini
wengine kumi au sita
so average...
Wewe unahisi ni ngapi?
average ni ten to fifteen....
Waacheni wavae bana....muhimu wapendeze tu, wasituchoshe kutizama vikaragosi :]
AD mimi nakuwa na upofu ama may be niko so naive na maono....qualifications gani umeziona zinazoleta utata kwa those 3 guys?
AD mimi nakuwa na upofu ama may be niko so naive na maono....qualifications gani umeziona zinazoleta utata kwa those 3 guys?
thanx
nikisema average ni fifteen..
Tukipata idadi ya wanao itwa the middle class na average price..
Ni mabilioni for sure..
mara ya ngapi wavae? siku hizi nguo dukani shurti uulize kama ya jinsia gani,hukawii kununua shati la kiume.manake shurti darts nne mbele, nne nyuma! na kufuli siku hizi zipo za bikini za kiume,kha!