M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,817
- 117,792
duh! nimeteleza.Mbona hiyo my love from the star ndio umetoka kuikandia ujue sikuelewi Sunbae
kwa hizi time travel drama my love from another star ndio chaguo langu la kwanza.
duh! nimeteleza.Mbona hiyo my love from the star ndio umetoka kuikandia ujue sikuelewi Sunbae
umeandika kama msela fulani hivi anayefanya kazi ofisi ya mkuu wa mkoa.Ngoja niione ila huyo bidam wako simkubali wala nini
umeandika kama msela fulani hivi anayefanya kazi ofisi ya mkuu wa mkoa.
Pole Na Pole Sana! Mola Akutie Nguvu Upone Haraka InshaAllah...ahjumma mtarajiwa ujumbe wako nimeupata hapo jana lakini nilishindwa kukujibu si kwa sababu ya maumivu na huzuni iliojaa ndani ya kiwiliwili changu kutokana na kipigo cha everton FC a.k.a the toffees.
huwezi amini tokea siku ya Alhamisi mpaka leo hii ziara (safari) kubwa niliyoifanya ni kwenda hospitali .
binadamu tunapokuwa wazima wa afya tunakuwa na jeuri zinazoambatana na majivuno kuliko kamati ya maadili ya bunge.
afadhali kidogo nimepata nafuu japo kwa 35% mchana wa leo.
waikiki drama: hivi yule dada yake kuna mpango wowote aliyoupanga ukafanikiwa?
nimependa scene waliyotakiwa waigize uhusika wa omba omba (jun ki ni mwehu kuliko madereva)
upo sahihi, tukipoteza jumatano ndio basiMaumivu yatapoa J5 InshaAllah Lazima Tulipize.....
Yaaani Mmoja Wao Ni Miee!upo sahihi, tukipoteza jumatano ndio basi
mashabiki wa liverpool hii mechi wataifuatilia wao zaidi kuliko wapenzi wa man utd.
hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
Nipo Ya Ishirini Mambo Yake Tuh!kwa nini?
na umefika episode ya ngapi?
ahsante sana
Lakini Marafiki wa Kudumu Tupo!upo sahihi, tukipoteza jumatano ndio basi
mashabiki wa liverpool hii mechi wataifuatilia wao zaidi kuliko wapenzi wa man utd.
hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
Naziombea Mema Timu Zote 2, Leo Chelsix Anakaa Hiii Itakua na Nguvu Kwa ManUupo sahihi, tukipoteza jumatano ndio basi
mashabiki wa liverpool hii mechi wataifuatilia wao zaidi kuliko wapenzi wa man utd.
hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
nimefika episode 20, yi in jwa ameshaanza kufanya uasi (rebellion).Nipo Ya Ishirini Mambo Yake Tuh!
Hauiangalii!??
Ni History ya Kweli!?nimefika episode 20, yi in jwa ameshaanza kufanya uasi (rebellion).
Huyu Yi In Jwa Mi Sijamuelewanimefika episode 20, yi in jwa ameshaanza kufanya uasi (rebellion).
umebahatika kuiangalia jackpot drama?Huyu Yi In Jwa Mi Sijamuelewa
Sijaionaumebahatika kuiangalia jackpot drama?
uhusika wake umeelezwa vizuri mule ndani
In his fourth year of reign, Soron launched an uprising to revolt against him. This event, led by Yi In-jwa, was also known as Musin Revolt, taking place in the year 1728. The base of the rebellion was the claim accusing Yeongjo of poisoning his half-brother Gyeongjong and taking over the throne.Ni History ya Kweli!?
Nimepatwa na Nini Sijuh Siku hizi!umebahatika kuiangalia jackpot drama?
uhusika wake umeelezwa vizuri mule ndani
ni maamuzi mazuri sana kwa afya yako.Nimepatwa na Nini Sijuh Siku hizi!
Nimepunguza kasi ya Drama Kwa Kiasi Kikubwa Sana!
Kutoka Drama 5 Mpaka 6 Kwa Siku Kufika Drama 2 Mpaka 1 Kwa Siku!
Nimepoteza Mzuka Kabisa
Ila Najihisi Kimepungua Kituni maamuzi mazuri sana kwa afya yako.
In his fourth year of reign, Soron launched an uprising to revolt against him. This event, led by Yi In-jwa, was also known as Musin Revolt, taking place in the year 1728. The base of the rebellion was the claim accusing Yeongjo of poisoning his half-brother Gyeongjong and taking over the throne.