Kwa maoni yangu sioni ni vibaya mtu akiponda drama nyingine mwisho wa siku haiathiri chochote kwako as long as ana hoja kupitia hayo mabishano mtu atajua uzuri na ubaya wa hiyo drama it means inampa option nzuriUnajua kuhusu hizi dramas tunatofautiana tastes ni vyema kuheshimu za mwenzako kama mimi action sio tastes zangu huwa siwezi kuangalia action dramas mbili consecutively huwa nachoka haraka
Ukienda kule kwenye reviews hata Empress Ki na Defendant kuna watu wanazipa negative reviews hapa ndio utaelewa drama huwa si bora katika macho ya kila mtu as you know binadamu tunatofautiana katika kupenda kitu
Si vyema kuiponda drama waziwazi kila mtu akiishi na tastes zake moyoni haiwezi kutokea kama ya kijana mmoja humu huwa anazua ubishani na akina Dada![]()