Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 817
- 1,772
Drama zinazorushwa na Kituo cha KBS ni kali mno kuliko zile za SBSzote zilikuwa chini ya usimamizi wa shirika la KBS.
Drama zinazorushwa na Kituo cha KBS ni kali mno kuliko zile za SBSzote zilikuwa chini ya usimamizi wa shirika la KBS.
Hua Nahisi Kuimis Hii Nyuzi Japo Siachi Kupita Kila Leoni maamuzi mazuri sana kwa afya yako.
Mzee kuna drama nyingi kali kuanzia 2016 Kurudi nyuma.Hivi sikuiz mbona zile drama za pori (historical drama ) sizi pati mana natafuta kweli hizi za kisaiz sizielewagi kabisa
kwa upande wa historical drama pamoja na MBC.Drama zinazorushwa na Kituo cha KBS ni kali mno kuliko zile za SBS
“The Fiery Priest” In Talks For A Second Season
nimejikuta natamani kuangalia tena drama zinazozungumzia three kingdom.
mbona zipo nyengine hadithi zake zinavutia mfano scarlet heart ryeo, my love from the star, dr jin drama
Kuanzia 2016 kurudi nyuma karibia zote nimeziona hasa zile kaliMzee kuna drama nyingi kali kuanzia 2016 Kurudi nyuma.
Unaweza kunitajia japo historical drama za hao MBS maana katika kutazama kwangu sidhani kama nimewahi kutazama project zao. SBS nawakumbuka zaidi kwenye Flying dragon.kwa upande wa historical drama pamoja na MBC.
project nyingi za historical wanatengeneza SBS kwa miaka ya karibuni ukilinganisha na KBS
niliangalia mpaka episode 4.Hizi zote nimeziona...
Ila kwani My love from the star ni fiction au ni story ya kweli?
Drama nyingine kali ya aina kama hizo ni The moon that embraces the sun, niliipenda sana.
BTW hii drama mpya aliyomo Kim Soo Hyun Kill It unaionaje?
Nataka niianze hivi karibuni.
Baada ya The Fiery Priest kuisha tokea jana naomboleza ndio nataka nijipoze na hiyo.
umenipa kazi ngumu sanaUnaweza kunitajia japo historical drama za hao MBS maana katika kutazama kwangu sidhani kama nimewahi kutazama project zao. SBS nawakumbuka zaidi kwenye Flying dragon.
niliangalia mpaka episode 4.
lead actor anaitwa chan ki yong ila ametumia uhusika wa kim soo hyun
marks = 5.5 /10
Hizo ni za MBS!! they are good.umenipa kazi ngumu sana
- jumong
- dong yi
- flower in prison
- .................
🙏🙏🙏 bado yupo jeshini mpaka July 22, 2019.WTF?
Kwahiyo Kim Soo Hyun hayupo yeye kama yeye?
Basi kama ndio hivyo siangalii.
Mimi nataka nimuone Kim Soo Hyun bhana 🤦🏻♀️
bado yupo jeshini mpaka July 22, 2019.
Huu mpambano ulikuwa mkali kweli kweli kati ya Sambong na Vice Chancellor Lee inim.
Hapo Lee in-im kakamitika kwa Sambong. Hahaha.
kwa mtazamo wangu the kings dream drama ipo reality zaidi ukilinganisha na queen seondeok.Ukiitazama King's Dream (Dream Empire) na Queen SeonDeok zinaelezea kisa kimoja lakini zina mkanganyiko, sasa sijui kama ni wanahistoria walitofautiana katika utunzaji wa kumbukumbu zao au ni waandaaji walitaka kuonyesha utofauti!!.
All in all Bidam kachorwa kama kama mtu aliye na tamaa ya madaraka kwenye Drama zote 2.
MBC kiboko yaoDrama zinazorushwa na Kituo cha KBS ni kali mno kuliko zile za SBS
Hahahaa mbona kazeeka hivyo?Hulalalaaaaaaaaaaaaaa
Nimerukaruka kwa furaha, ilipoisha nilihuzunika sana.
Siwezi kuamini nitaendelea kumuangalia Bidam Bae View attachment 1078458
Hii drama niiangalia sikuipenda wala na hata ukisema nikusimulie sukumbuki chochoteumebahatika kuiangalia jackpot drama?
uhusika wake umeelezwa vizuri mule ndani