Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Damushin Chingu,

Twende Tukamuibe Jong Suk Wotee.

Sikua Namuelewa! Ila tangu Hymn of Death na Hii Lol!

Unaangalia Uigizaji Unaokuleta kwenye Maisha Halisi!

Hii Drama Ni Nzuri Sana.
neee chingu, unataka kunimabia hukuvutiwa na while you were sleeping drama?
commooon ahjumma wangu mtarajiwa

halafu unataka niwekwe segerea za korea ilii nikakutanishwe na mabonge watemi wanitoe meno ya mbele.
mhhhhhh kamuibe peke yako kama rahisi,

halafu sasa ukimuiba muda huu utashutumiwa kama umefanya mpango huo ili umzuie asitumikie public service kwa miaka 2.
teh teh teh​
kama namuona lee jong suk anavyo fall in love kwa single mother anayeitwa da ni.

nani aliyekwambia mapenzi yana habari za kaka na dada wa uongo?
cheza na serikali ila si hisia za mwanadamu mwenye utimamu wa fikra na maamuzi.
1549469595044.png
 
Ooh sorry,nilikuwa sijaelewa swali ni The Great Queen Seondeok

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona unanilazimisha nianguke chini kama wazee wa bungeni waliposikia alarm ya furaha dada yangu mpendwa?
hivi ile 10 years challenge haihusiani na korean drama?

hizo drama ndefu kama katiba ya Congo zilizotengenezwa miaka 10 iliopita muachie yule ahjumma mtarajiwa mwengine anayepambana na king gwanggaeto drama muda huu.
hahahahahahahaaaaaaa.​
mtafute kwanza baba mtarajiwa uangalie project yake mpya na kama utakutana na makosa basi umsahihishe ili azidi kusonga mbele.
shauri yako ukifanya masihara wapinzani wako watakusomesha namba kama za AL AHLY ya Mtwara.

huyo mwanamke anaitwa lee min jung : mke halali wa lee byung hun, mmoja kati ya wanawake wavumilivu kwenye ndoa, usiniulize kwa nini
huyo mwanamme anaitwa jo sang wook : mume halali wa cha ye ryun na khantwe kwa ndoa ya ndoto.

kiss scene kama kawaida na wote wana watoto, aminas una la kusema muarabu wewe wa misri?
  1. Fates & Furies – QuickDrama – Watch Full Episodes Free HD on QuickDrama
  2. Fates & Furies at Dramanice
  3. https://kissasian.es/Drama/Fates-amp-Furies-2018/
1549471207553.png
 
neee chingu, unataka kunimabia hukuvutiwa na while you were sleeping drama?
commooon ahjumma wangu mtarajiwa

halafu unataka niwekwe segerea za korea ilii nikakutanishwe na mabonge watemi wanitoe meno ya mbele.
mhhhhhh kamuibe peke yako kama rahisi,

halafu sasa ukimuiba muda huu utashutumiwa kama umefanya mpango huo ili umzuie asitumikie public service kwa miaka 2.
teh teh teh​
kama namuona lee jong suk anavyo fall in love kwa single mother anayeitwa da ni.

nani aliyekwambia mapenzi yana habari za kaka na dada wa uongo?
cheza na serikali ila si hisia za mwanadamu mwenye utimamu wa fikra na maamuzi.
Yaani!

Iyo While Sikuilewa Sana Kama Hii!

Umu ndani Jong Suk Kacheza! Yaani Unaona Ule Uhalisia Unaokudumkiza Shimon Yaani!

Bonge la Drama! Ukubwa wa Dan i Pia Unachangia Kuifanya Drama Kuwa ya Kiutuuzima Zaidi!

Nimeipenda kiukweli.
 
mbona unanilazimisha nianguke chini kama wazee wa bungeni waliposikia alarm ya furaha dada yangu mpendwa?
hivi ile 10 years challenge haihusiani na korean drama?

hizo drama ndefu kama katiba ya Congo zilizotengenezwa miaka 10 iliopita muachie yule ahjumma mtarajiwa mwengine anayepambana na king gwanggaeto drama muda huu.
hahahahahahahaaaaaaa.​
mtafute kwanza baba mtarajiwa uangalie project yake mpya na kama utakutana na makosa basi umsahihishe ili azidi kusonga mbele.
shauri yako ukifanya masihara wapinzani wako watakusomesha namba kama za AL AHLY ya Mtwara.

huyo mwanamke anaitwa lee min jung : mke halali wa lee byung hun, mmoja kati ya wanawake wavumilivu kwenye ndoa, usiniulize kwa nini
huyo mwanamme anaitwa jo sang wook : mume halali wa cha ye ryun na khantwe kwa ndoa ya ndoto.

kiss scene kama kawaida na wote wana watoto, aminas una la kusema muarabu wewe wa misri?
  1. Fates & Furies – QuickDrama – Watch Full Episodes Free HD on QuickDrama
  2. Fates & Furies at Dramanice
  3. https://kissasian.es/Drama/Fates-amp-Furies-2018/
View attachment 1015174
Ninalo, Bogoshipseyo
 
likizo yako ulioamua kuchukua muda wake umeshamalizika?
  1. QuickDrama – Watch Full Episodes Free HD on QuickDrama : ndio chaguo langu la kwanza pindi ninapohitaji current drama, hawachelewi kuweka episode pindi inapomalizika kuwekwa subtitle lakini video quality mwanzo ni 480 (hd).
  2. Watch free Drama Online at Dramanice : uzuri wa hii tovuti wanaweka project za nchi tofauti, project za miaka mingi iliopita pia wanazo kwenye database yao.
  3. https://kissasian.es/ : sifa yao kubwa na wao pia wana project nyingi za zamani, udhaifu wao mkubwa wanachelewa kuweka new episode na unaweza kusubiri siku tatu.
unywaji pombe kupita kiasi ni faida kubwa sana kwa mzalishaji na serikali kwa sababu serikali inategemea kodi ya ulevi kwa asilimia kubwa ili ipate kujiendesha.
Iyo Avatar Naiomba
 
Hivi sunbae kwa nini unapenda kunikata stimu lakini? Unajua nilivyojikoki kuiangalia hiyo drama wewe sasa unaniletea nini hii na unajua fika mimi kwa huyu hendsam sipindui....kwanza niulize ni ongoing?
mbona unanilazimisha nianguke chini kama wazee wa bungeni waliposikia alarm ya furaha dada yangu mpendwa?
hivi ile 10 years challenge haihusiani na korean drama?

hizo drama ndefu kama katiba ya Congo zilizotengenezwa miaka 10 iliopita muachie yule ahjumma mtarajiwa mwengine anayepambana na king gwanggaeto drama muda huu.
hahahahahahahaaaaaaa.​
mtafute kwanza baba mtarajiwa uangalie project yake mpya na kama utakutana na makosa basi umsahihishe ili azidi kusonga mbele.
shauri yako ukifanya masihara wapinzani wako watakusomesha namba kama za AL AHLY ya Mtwara.

huyo mwanamke anaitwa lee min jung : mke halali wa lee byung hun, mmoja kati ya wanawake wavumilivu kwenye ndoa, usiniulize kwa nini
huyo mwanamme anaitwa jo sang wook : mume halali wa cha ye ryun na khantwe kwa ndoa ya ndoto.

kiss scene kama kawaida na wote wana watoto, aminas una la kusema muarabu wewe wa misri?
  1. Fates & Furies – QuickDrama – Watch Full Episodes Free HD on QuickDrama
  2. Fates & Furies at Dramanice
  3. https://kissasian.es/Drama/Fates-amp-Furies-2018/
View attachment 1015174

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jana huku kwetu takribani watanzania million 10 walikuwa wanasherehekea kutimiza miaka 42 kwa chama cha pindua pindua.
kule kwetu tulikuwa tunafurahia Seollal (Lunar New Year) holiday pia kurudi uraiani kwa kijana wetu anayeitwa joo won.
jamani joo won ni mwanamme wa mikoani rasmi kuanzia sasa, tafadhalini munapompelekea zawadi musimnunulie subway, espresso, americano.
zawadi zinazomvutia zadi ni pombe ya mchele, keki za maharage, supu ya mkia wa nguruwe, ulimi wa paka n.k

1549472058609.png

 
Hivi sunbae kwa nini unapenda kunikata stimu lakini? Unajua nilivyojikoki kuiangalia hiyo drama wewe sasa unaniletea nini hii na unajua fika mimi kwa huyu hendsam sipindui....kwanza niulize ni ongoing?

Sent using Jamii Forums mobile app
iyo queen seon deok imeigizwa nyakati ambazo bwana yule steven wassira bado alikuwa ni handsome boy kuliko joo won, achana nayo kwa amri kutoka muhimili wa juu usiopingwa na yoyote ndani ya thread hii.:p:p
fates and furies drama inatarajiwa kumalizika siku ya jumamosi.

achana na vurugu uchwara, hivi umesahau kama nyakati hizi haturuhusu fujo za makusudi?
 
iyo queen seon deok imeigizwa nyakati ambazo bwana yule steven wassira bado alikuwa ni handsome boy kuliko joo won, achana nayo kwa amri kutoka muhimili wa juu usiopingwa na yoyote ndani ya thread hii.:p:p
fates and furies drama inatarajiwa kumalizika siku ya jumamosi.

achana na vurugu uchwara, hivi umesahau kama nyakati hizi haturuhusu fujo za makusudi?
Kwani Damushin sunbae leo umekula nini? Sawa nitaangalia hii lakini hiyo nyingine nitaangalia pia kisirisiri kwani utajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daaaaaaah, hii kitu acha aise..ndo leo nimemaliza last episode...wakorea wanajua kufikiria na kuinvest kwenye movie zao..ukiangalia hii series utagundua watu wanatumia akili nyingi sana kuandaa hizi drama...Mzee Le Gangmo ni mtu mmoja matata sana toka utotoni, ila nimempenda sana Jo Prelyo (cjapatia) na uroho wake wa madaraka na roho mbaya alokuwa nayo..hlf nae ana machale kama yote anaweza kuunganisha dots sana.

Hii series kiukweli imenitoa vichozi kama mara 7 hivi..kuna scenes zinasisimua sana aise....mshikaji wangu Park sotae mwisho kawa gentleman licha ya umapepe wote alokuwa nao...mtu makini Le Seongmo kanisikitisha sana alivyopata uchizi na kufariki baadae!

All in all, hii drama nimeiongeza ktk A list yangu ya series za korea nilizowahi kuziangalia ukiondoa IRIS inafuatia hii, akili kubwa zilizotumika kwa characters ndo zimenifanya nizi rank hivyo.

Now nataka nihamie kwa Yi dong joo naona watu wanaisifia sana humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daaaaaaah, hii kitu acha aise..ndo leo nimemaliza last episode...wakorea wanajua kufikiria na kuinvest kwenye movie zao..ukiangalia hii series utagundua watu wanatumia akili nyingi sana kuandaa hizi drama...Mzee Le Gangmo ni mtu mmoja matata sana toka utotoni, ila nimempenda sana Jo Prelyo (cjapatia) na uroho wake wa madaraka na roho mbaya alokuwa nayo..hlf nae ana machale kama yote anaweza kuunganisha dots sana.

Hii series kiukweli imenitoa vichozi kama mara 7 hivi..kuna scenes zinasisimua sana aise....mshikaji wangu Park sotae mwisho kawa gentleman licha ya umapepe wote alokuwa nao...mtu makini Le Seongmo kanisikitisha sana alivyopata uchizi na kufariki baadae!

All in all, hii drama nimeiongeza ktk A list yangu ya series za korea nilizowahi kuziangalia ukiondoa IRIS inafuatia hii, akili kubwa zilizotumika kwa characters ndo zimenifanya nizi rank hivyo.

Now nataka nihamie kwa Dang jo naona watu wanaisifia sana humu.
GIANT ndiyo habari ya mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom