SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Just a matter of time
jasusi la kirusi nadhani jina ni malik...My favorite was 'The World in my Pocket' halafi ile ya 'No Orchids for Miss Blandish' ambayo pia ilipata kuchezwa filau 'The Grissom Mob'. Halafu zote zilizomhusu Detective 'Mkorofi' Tom Lepski, Zote zilizomhusu Milionaire Don Miklem za Mission to Siena na Mission to Venice na kulikuwa na ya tatu na zote zilizomhusu Jasusi wa Kulipwa Mark Girland akipambana na yule Jasusi wa Kirusi nimemsahau jina kwenye Novel tatu na ya Mwisho wanakubaliana yaishe, wasiaune wakati mabosi wao wamekaa tu ofisini!! Ah Those were the days when Books were our Televisions and Films...!
The best author ever, i remember the sucker punch " a guy who thinks he is safe, he is wide open for a sucker punch, just when he least expects it, wham he is down on his back"
Kwa wapenzi wa vitabu vya James Hadley Chase: Anayehitaji kitabu maalum aniambie. Mimi naomba mwenye 'One bright Summer Morning' anipatie.
Jamani natuma hii posting ili kutimiza posting 5. Mimi bado ni junia hapa na kuna mdau aliniletea PM kuhusu hivi vitabu lakini nikashindwa kumjibu kwa ajili ubavu wangu ulikuwa mdogo. Nadhani baada ya hapa nitawasiliana na alieni PM.
Kumradhi kwa usumbufu.
The sucker punch, do me a favour drop dead, you never know with women, my laugh comes last, so what happened to me?, knock knock who is there?, a lotus for miss quin, have this one on me, this is for real. Just to mention a few.
Kuna moja nasoma hapa THE THINGS MEN DO dah tamu stress kabisa mtu unasahau! Lakini Huwa najiuliza, James Hadley Chase aliandika novel zote hizi au watu wameiga style yake na kwa goodwill ya jina lake wakaamua kulitumia! He must have been so briliant kwakweli mtu huyu!