Kwa wapenzi wa James Hadley Chase

Kwa wapenzi wa James Hadley Chase

An ace up my sleeves.Nakumbuka nilikuwa natoroka darasani kisa novel nikasome kitandani
 
...My favorite was 'The World in my Pocket' halafi ile ya 'No Orchids for Miss Blandish' ambayo pia ilipata kuchezwa filau 'The Grissom Mob'. Halafu zote zilizomhusu Detective 'Mkorofi' Tom Lepski, Zote zilizomhusu Milionaire Don Miklem za Mission to Siena na Mission to Venice na kulikuwa na ya tatu na zote zilizomhusu Jasusi wa Kulipwa Mark Girland akipambana na yule Jasusi wa Kirusi nimemsahau jina kwenye Novel tatu na ya Mwisho wanakubaliana yaishe, wasiaune wakati mabosi wao wamekaa tu ofisini!! Ah Those were the days when Books were our Televisions and Films...!

Umenikumbusha mbali mkuu! Umenikumbusha Mark Girland au John Gilchrist, (the womaniser) akikabiliana vilivyo na Mrusi Malik! Ninawakumbuka akina: Harry Rossland, John Dorey, Michael Thomas, Borg, Madame Foucher, Schwartz, Radnitz, Ivan, Tessa (binti yake Carey). Inastaajabisha kuona hata Chase anajua miji na vichochoro vya nchi ya Senegal!
 
I think uyo jamaa ana kipaji cha pekee! Mie nadhan wafanye movie izo vitabu vyake na director awe frank tarino

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Umenikumbusha mbali mkuu! Umenikumbusha Mark Girland au John Gilchrist, (the womaniser) akikabiliana vilivyo na Mrusi Malik! Ninawakumbuka akina: Harry Rossland, John Dorey, Michael Thomas, Borg, Madame Foucher, Schwartz, Radnitz, Ivan, Tessa (binti yake Carey). Inastaajabisha kuona hata Chase anajua miji na vichochoro vya nchi ya Senegal!

...Mkuu, Jamaa alikuwa mkali! Alikuwa anaelezea kitu mpaka unajiona kama unaangalia sinema! THose were the Dayz! Inahuzunisha sana kwamba vijana hawasomi vitabu hivi siku hizi na ndio maana hata english yao ni ya kuunga unga!:wink:
 
Umenikumbusha mbali mkuu! Umenikumbusha Mark Girland au John Gilchrist, (the womaniser) akikabiliana vilivyo na Mrusi Malik! Ninawakumbuka akina: Harry Rossland, John Dorey, Michael Thomas, Borg, Madame Foucher, Schwartz, Radnitz, Ivan, Tessa (binti yake Carey). Inastaajabisha kuona hata Chase anajua miji na vichochoro vya nchi ya Senegal!

...Mkuu, hapo pa majina unanikumbusha mbali kweli....Double Agent Janine Daulnay 'U 2260' aliyejiua kwa kidonge cha sumu baada ya kuona waarabu wakijiandaa kumbaka kwenye This is for real, Captain Tim O'Haloran, mhindi Poke Toholo na mpango wake wa kupata pochi kwa kutisha watu kwenye Want to stay Alive?, Milionea Don Micklem aliyekuwa hasiti kutumia utajiri wake kuwaokoa marafiki zake kijasusi kwenye Mission to Venice na Mission to Siena etc... walikuwa ni characters waliousisimua mno...:yo:
 
ya mark Girland nimesoma this is for real,na ya tom lepski nimesoma have a nice nite nakumbuka in those days these novels used kip me bizy sana....!!!!!duh!!nlikua mtoto mzuri kweli....!!!!
Nyingine ya Mark Girland na yule Russian detective ( Malik) ni YOU HAVE YOURSELF A DEAL, wanamgombea dada ambae anasadikika kuwa ni mke wa famous Chinese nuclear scientist ambae sasa anaanza kuwindwa na wachina,warusi wakiongozwa na Malik na wamarekani ambao wanamtumia Mark Girland... pata picha
 
Umenikumbusha mbali mkuu!
Umenikumbusha Mark Girland au John Gilchrist, (the womaniser)
akikabiliana vilivyo na Mrusi Malik! Ninawakumbuka akina: Harry
Rossland, John Dorey, Michael Thomas, Borg, Madame Foucher, Schwartz,
Radnitz, Ivan, Tessa (binti yake Carey). Inastaajabisha kuona hata Chase
anajua miji na vichochoro vya nchi ya Senegal!

Umenikumbusha Madame Foucher- alilambwa risasi akiwa air port akitaka kurudi Senegal.
 
Guys kumbe kuna watz wanaopenda kusoma vitabu? nimefurahi sana!

Nimemsoma JHChase kwa novel zake 3, including Mission to Venice. Nimeambiwa ana title 120.

Kuna mwandishi anaitwa John Grisham, ana title nyingi ila 15years ago nilisoma "The Testament" nampa salute kwa mikono miwili!! alinifanya nisilale kabisa! ina kama 640pgs in 4days niliweza kuisoma na kueleza matukio cover to cover!

Sasa nasoma "deja dead" cha Kathy Reichs
 
Sikuhizi sidhani kama watu wanasoma novels,watu wako online fulltime.
Nilianza kumsoma chase nikiwa 14 years old,niko formtwo.nilikua addicted haswa nikianza kusoma hadi kinaisha siku hiyohiyo.
 
Ingine 'The things men do'. Yaani hii sasa ndo BHAAAS. Kwanza ukisoma page 2 tu lazima uimalize, maana inavoanza 2 inakulazimisha. Inaanza jamaa anaendesha gar yake at night alone then anakutana na msichana in d middle of no where akiwa na JAGUAR(gari) imeharibika. The guy stops and tells her its her lucky day maana ye ni car engineer but tatzo linakua kubwa jamaa anampa lift then gar ataiijia her girlfriend. Ndan sasa ya lift jamaa ndo anagundua huyu ni very hot girl also anashindwa kuelewa how she got ol dat money na akiwa mdogo hivo wakat jamaa ye ni fukara. Conversation yao inawapeleka mbali and yaliyomkuta jamaa CHASE anayajua

dah malizia story basi haha maana tamu kinoma
 
Hivi mwandishi Elvis Musiba(R.I.P) naye alikuwa anachukua kwa James na kutafsiri nini?
 
Nilisoma Chase 58 kati ya 84 alizoziandika.
Here's the list of some of my favorites:

You never know with women
Well, now my pretty
Just a matter of time
The sucker punch
Things men do
Lady here's your wreath
Tiger by the tail
What's better than money
Coffin from Hong Kong
Eve
A lotus for miss Quon
You have yourself a deal
Tell it to the birds
Strictly for cash
The goldfish has no hiding place
Vulture is a patient bird

Some of my favorite characters are:
Detective Tom Lepsky
Chet Keegan
Lou Silk
Mark Girland
Nick Malloy
Harry Miller - the master forger
Herman Radnitz
Dr Forrester
 
James Hadley Chase alikuwa na namna yake ya uandishi wa novel unaomfanya msomaji uwe na shauku ya kutaka kujua what is next kila unapomaliza paragraph/ page. Alikuwa anatumia simple modern english isiyokuwa na vocabulary za ajabu ajabu whenever necessary. Alikuwa genius ktk fiction stories. Kuna stori kuwa hata kundi la mafia walijaribu kutaka kumtumia ktk kumaster mind mbinu zao kadhaa ktk vipindi tofauti tofauti ili kufanikisha uharifu wao.
 
True, nakumbuka Enzi hizo nikiwa jangwani sekondari, nilikuwa na rafiki yangu tulikuwa tunashindana kusoma vitabu vya Chase. Ukianza stori yake hutamani kuweka kitabu chini, na kweli stori inakuchukua unakuwa kama unaangalia movie. Duh, mmenikumbusha Enzi hizoooooo.
James Hadley Chase alikuwa na namna yake ya uandishi wa novel unaomfanya msomaji uwe na shauku ya kutaka kujua what is next kila unapomaliza paragraph/ page. Alikuwa anatumia simple modern english isiyokuwa na vocabulary za ajabu ajabu whenever necessary. Alikuwa genius ktk fiction stories. Kuna stori kuwa hata kundi la mafia walijaribu kutaka kumtumia ktk kumaster mind mbinu zao kadhaa ktk vipindi tofauti tofauti ili kufanikisha uharifu wao.
 
Back
Top Bottom