Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,502
Oceans will part by hillsong afu kuna track ya sedekia mwenye nayo naiomba safari ya imani nakutazama wewe nataka nifike ng'ambo salama nishike mkono nisizame huyu jamaa bado anaishi kazi zake zimesimama sana
Sante sn......
Hahahaaaaaaaa muzee ya upako ata Kasi anafahamu wewe vzr, hayo mambo ya PM anaweza muzee ya Miamba na vurugu Mr Rocky
Kweli kabisa ndo maana aliuliza wanafunzi wake atakaporudi tena je ataikuta imani??? Huwa natafakari sipati jibu huyu mwanamke alikuwa na imani gani Mpaka Yesu kusema anaona nguvu zimemtoka nani kamgusa? Mhh!! Pana somo kubwa hapa Ablessed tujiulize Mimi na wewe Mara ngapi tumewahi kumgusa Bwana katika yale tunayotapitia bila kuangalia malimwengu wanasemajea tukafocus kwa Yesu tu kasema naam mwanangu pokea.......everlenk ni kweli kabisa mpendwa . Yaani huyu Yesu mzuri kweli ni mpaka uwe na mang'amuzi binafsi ndo utaelewa na sio hii ya kusikia. Unakumbuka waliokua wanamzonga Yesu walikua wengi lakni alipopata mguso wa imani ndipo alipouliza ni nani amemgusa
Naaam Kondoo wangu mzuri!!!
Oceans will part by hillsong afu kuna track ya sedekia mwenye nayo naiomba safari ya imani nakutazama wewe nataka nifike ng'ambo salama nishike mkono nisizame huyu jamaa bado anaishi kazi zake zimesimama sana
Hivi toka atishiwe uhai na serikali ya Tz alikimbilia wapi?
Hivi toka atishiwe uhai na serikali ya Tz alikimbilia wapi?
nahisi yupo Marekani maana clip zake za youtube zinamuonesha yupo huko
Ma ccm yalitaka kumuu kwa kuwaambia ukweli