vCTRMA
JF-Expert Member
- Jan 12, 2016
- 306
- 102
mf.rose muhandoWaimbaji wengi wa injili duniani ni VIBAO vya kuelekeza wengine mbinguni wakati wao hawaendi !
MAISHA YAO NI USANII TU.
mf.rose muhandoWaimbaji wengi wa injili duniani ni VIBAO vya kuelekeza wengine mbinguni wakati wao hawaendi !
MAISHA YAO NI USANII TU.
joyous mkuuu hawafanyi makosa,..Mimi joyous celebration ndo nawapenda sana,.wananibarik na nyimbo zao
hasa album ya 17 nyimbo ya nama na uyangihola,...Mimi joyous celebration ndo nawapenda sana,.wananibarik na nyimbo zao
hawa ni the hillsong nyimbo inaitwa I give my heart,.."This is my Desire"
kucheza ni sahihikwani kuruka na kucheza kuna tatizo gani?
mbona biblia imeagiza hvyo.
kaka minimezimezaz nyimbo zao nyingi mnoooooooooooMi napenda mno joyous celebration jabo nasikiliza ila sielewi lugha na vile vile napend nyimbo za solly mahlangu, rebeka malope wenzetu wanaimba hadi unasisimka
hawa jc yanii huwa naimba hadi machoz yananilenga,..Mi nmeona kwenye laptop sifaidi nimeamua kuweka kwenye simu nitembee nazo nina mda sijui hata nyimbo mpya ya bongo fleva mimi huyu yesu cjui nini kitanitenganisha nae
waimbaji wale waliokoka mkuuWaimbao katika utakatifu waliweza kushusha uweza wa Mungu wa kuponya roho,nafsi,miili ya watu na kutoa pepo ! WAPO LEO?
eti wanasema wanataka wapenzi za hizo staili za nyimbo.,..Kila wimbo una roho ndani yake, iwe ya Mungu au shetani.
TUJIULIZE NYIMBO ZA KIDUKU NA TAARABU YA YESU NK; ZINA MUNGU ?!
Church kwenu wapi mkuu?hawa jc yanii huwa naimba hadi machoz yananilenga,..
dahhh naskiaga wivu sana kwanini nasisi
hatufanyi hivi hivi,..
huwa najitahidi sana church kwetu tuwe differernt ila vijana wanaangusha sanaaa
yaani huwa nawish sana kurejesha tz gospel kwenye track
Hahahahahha, asante umekua msemaji wangu mzuri, abiudi lazima asubiri kwanza aseeFanuel Sedekia toka Enzi za Nilikupanda Mzabibu mwema, Tokeni katikati yao...nk mwishoni mwa miaka ya 90 mpaka Manukato achana nayo hiyo namba nyingine mkuu, Abihudi Misholi atasubiri kwanza.
TehSasa hii thread imeingiaje hapa MMU? Au hii ni nyimbo ya harusi?
Hizi nyimbo zinafariji sanaaa.msikilize na abiud misholi......baadhi ya nyimbo zake nakutajia jaribu kuzisikiliza..... (1) Ninasema (2) isaya (3) Biblia yasema (4) Baba (5) Usirudi nyuma (6) Simama mwenyewe (7) Nimebaki peke yangu (8) Moyo wangu wazi (9) Siku moja (10) Uje unitoe.
Hizo ni baadhi tu.....
My favorite song... Thanks.."Awesome God"
(originally by Rich Mullins)
When He rolls up His sleeves
He ain't just puttin' on the Ritz
(our God is an Awesome God)
There is thunder in His footsteps
And lightning in His fists
(our God is an Awesome God)
Well the Lord He wasn't jokin'
when He kicked 'em out of Eden
It wasn't for no reason that He shed His blood
His return is very close and so you better be believin'
That our God is an Awesome God
[REFRAIN]
Our God (our god) is an Awesome God
He Reigns (he reigns) from heaven above
With Wisdom (with wisdom) pow'r and love
Our God is an Awesome God
When the sky was starless in the void of the night
(our god is an awesome god)
He spoke into the darkness and created the light
(our god is an awesome god)
Judgement and wrath He poured out the Sodom
Mercy and grace He gave us at the cross
I hope that we have not too quickly forgotten that
Our God is an Awesome God
[REFRAIN x3]
I love this man of God.. He is anointed.. His worship songs zanibariki Sana.. Asante dear .. Thanks..msikilize na abiud misholi......baadhi ya nyimbo zake nakutajia jaribu kuzisikiliza..... (1) Ninasema (2) isaya (3) Biblia yasema (4) Baba (5) Usirudi nyuma (6) Simama mwenyewe (7) Nimebaki peke yangu (8) Moyo wangu wazi (9) Siku moja (10) Uje unitoe.
Hizo ni baadhi tu.....
Wapo dear ... In fact just last week I witnessed with my two eyes lots of demons being cast out .. Thanks ..Waimbao katika utakatifu waliweza kushusha uweza wa Mungu wa kuponya roho,nafsi,miili ya watu na kutoa pepo ! WAPO LEO?