Hawa jamaa wa hapa Bongo nimewakubali sana, TM-Music, tumuona mwokozi, sikuamini kama kweli ni wabongo......Wabarikiwe
Karibu sana Elizabeth. Uwe na wakati mwema.
Everlenk what can i offer you my dear????
Nimekuona hapa nikakukumbuka leo wimbo wa " Nibebe kama tai" by Ambwene umenikaaje kila nifanyalo upo na mimi moyoni.
msikilize na abiud misholi......baadhi ya nyimbo zake nakutajia jaribu kuzisikiliza..... (1) Ninasema (2) isaya (3) Biblia yasema (4) Baba (5) Usirudi nyuma (6) Simama mwenyewe (7) Nimebaki peke yangu (8) Moyo wangu wazi (9) Siku moja (10) Uje unitoe.
Hizo ni baadhi tu.....
Safi mkuu ndo vitu vyangu hivi hillsong michael smith don moen kirk franklin etc