Kwa Wanawake wote wa JF

Kwa Wanawake wote wa JF

Shukrani sana na sisi tunawaombea muwe
Waume wema kwetu
Walezi wazuri wa familia
Mababawema wa watotowetu
Mtusamehe somtym tunawavutuga🙏
Mengi tutaongea kwenye sikuyenu tunawapenda
 
Ni matumaini yangu mko salama wote popote mlipo.

Napenda niseme maneno machache katika siku yenu muhimu...mnaposherehekea siku ya wanawake duniani.

Kwa wale wasomi wa biblia kuna mistari kadhaa imewasifia wanawake kuwa ninyi ni kitu chema;

Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa Bwana.

Mithali 18:22

Biblia inawaita ni ni KITU CHEMA.

Nami nasema hakika mwanamke ni;

...Ktu chema na cha baraka

...nyie ni maua yenye harufu nzuri kwetu

...hakika mnavutia sana

...ninyi ni furaha ya familia na jamii

...mmeumbwa kwa namna ya kipee.

...viumbe vya kuvutia kwetu

Tunawapenda sana

WANAWAKE KAMA WAZAZI
Wanawake kama wazazi na walezi mnapitia magumu mengi mno.

Ni vigumu mwanamke kumkimbia mtoto iwe jua au inyeshe.

Wengi wenu mnapitia changamoto za kukikimbiwa na wenza wenu lakini hakika huwa mnasimama imara kuhakikisha mnatulea kwa furaha na bila majuto.

Mungu awabariki mno.

Kwangu mimi mwanamke ni;
...mama
...dada
...rafiki bora kabisa
...mpenzi/mke.

Najitahidi kuwaheshimu na kuwapa thamani yenu sana (JAPO KIUBINADAMU HUWA NAKOSEA PIA)

Sijawahi kusita kujitolea kusaidia au kuingilia ninapoona kuna uonevu akitendewa mwanamke bila kujali ninamfahamu au laa.

Huo naona kama vile nina wajibu wangu kumsaidia kama mama au dada...najua si mimi pekee bali ni wanaume walio wengi.

Hii ni kutokana na umuhimu wenu kwetu.
Mmetulea kwa upendo na mapenzi makubwa.

Jambo lingine kubwa zaidi ...ninyi ni mashujaa sana.
Mwanamke aweza kuolewa na mzee kuliko yeye na akampenda na kumtunza kwa upendo.

Anaolewa na baunsa, jambazi na jitu katili sana na akammudu bila tatizo hii ni ajabu sana...nawapongeza katika hili pia.

Hivyo mnapo sherehekea siku yenu msijione wanyonge bila kujali mnapitia hali gani.

Nawatakia siku njema na ya baraka wapendwa na vipenzi vyetu na...
TUNAWAPENDA SANAA MA..sweetheart wetu
witnessj

Evelyn Salt Nakadori Carleen Chakorii Antonnia Ms cee
Kelsea Mama pretty Amehlo Depal
Lenie Jadda Heaven on Earth Heaven Sent witnessj Makiwendo Mideko Palina winlicious
To yeye Unique Flower Bantu Lady Tinsleyooo Saint Anne Shunie Mzigua90 reymage Madame S Inna Joanah Nuzulati mawardat Amehlo Mideko
Joannah To yeye Demi Kalpana Darlin Shunie Debora Msiko
Mamndenyi mama D
Aksha Dejane
moneytalk
Clkey luckyline Valentina Nifah
Dr. Mariposa
sophy27 Lovelovie Ironbutterfly Iron Lady
🥰🥰🙏

Asantee G, tubarikiwe sote
 
Glenn na Satoh Hirosh uzi ni wa kuwatakia kheri Wanawake.

Ninyi mpo active kama vile nanyi ni wanawake. Tulieni kando.

sophy27 uwe unaangalia na tabia za hawa watu. Vimbele mbele tu.

sophy27 na Depal ni mabinti bado. Wasubiri siku ya Mtoto wa Afrika na International Day of the Girl Child.
😂😂😂 unawajua mashangazi wa Jf?
Me na sophy27 ndio makatibu wao
 
Mkuu Shimba ya Buyenze asubuhi pakikucha usijisumbue kumtakia heri ya siku ya wanawake mpwa wako sophy27 maana Mimi tayari nimekuwakilisha. Mwache tu asherehekee.
Tumeshapeleka mahari.

Mshindi atajulikana muda si mrefu ujao.

Hiyo stethoscope mabegani mwako na hiyo kanzu nyeupe havitakusaidia safari hii.

Mpwa wetu mwema ni wetu hata iweje 💪💪💪
 
Shimba ya Buyenze Sasa hivi amezima simu amelala. Wasukuma Ni loyal Sana na ndoa zao,siyo Kama nyie watu wa daslamu mpo kitandani saa nane usiku saa hizi mnachati badala ya kukumbatia Bibi.
Ugali unalaza. Una sukari nyingi na ule mpambano wa Insulin na gulukozi kwenye damu aisee ni lazima tu mtu ulale...

Ila uko sahihi. Sisi tunaheshimu sana ndoa zetu...
 
Back
Top Bottom