queeny
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 584
- 421
.....kwa haraka haraka...ni kweli cases in out-patient zimekua nyingi sana hasa za UTI na vulva and vaginal candidiasis...ukiacha sababu nyingine lakini kwa observation yangu naona pia haya mabadiliko ya mtindo wa maisha unachangia...mfano kama hizo pad ambazo ulizo zieleza...lakini pia siku hizi maofisi mengi wameweka vyoo vya kukaa(vinaonekana vya kisasa) lakini vyo vya kukaa si vizuri sana kwa maumbile ya wanawake coz ni rahisi kupata bacteria, fungal nk..ukizingatia pia vyo vingi vya maofisini ni vya kushare na usafi wake si mzuri ...lakini pia kutokana na hivyo vyoo vilivyo vinaweza kukufanya ushidwe au uone uvivu au uone ni uchafu kwenda kujisaidia humo kwa hiyo ukabana mkojo... ambayo nayo pia husababisha sana kupata UTI kirahisi.....kuna hii tabia pia ya wanawake kutumia tissue muda wote (hata akiwa nyumbani) huchangia pia mana tissue wakati mwingine haisafishi kama maji...so ni vizuri kutumia maji hasa ukiwa nyumabani kuliko kutumia tissue muda wote...........Lakini pia kuna tendency ya watu(wanawake) kumeza ANTIBIOTICS mara kwa mara(hatuna restriction kwa hiyo ni rahisi kupata pharmacy)....hii nayo huchangia sana especialy kwa cases za VULVA -VAGINAL candidiasisis coz antibiotics huuwa normal flora(Bacteria ambao ni muhimu kuwepo njia za uzazi ili kupambana na wadudu wabaya na kuregulate PH) so ukimeza antibiotics mara kwa mara ni rahisi sana kupata fungus....kwa haraka haraka haya ndo tunayofanya kila siku lakini yanachangia pia kupata magonjwa ...
Asante docta umeeleza vizuri na nimejifunza mengi kwa maelezo yako. ndo maana nilisema pedi pekee sio sababu ya matatizo ya wanawake. hata kama ukatumia pedi ya ulaya ama mchina kama hautafuata kanuni za usafi na afya unaweza kupata madhara na ukaconclude kwamba ni pedi lakini kila kitu kisipotumiwa vyema kina madhara kwa mtumiaji. my point is lets not put all the blame on pads, we have a role to play too.