Kwa wanawake tu..ukweli usiozungumzwa

Kwa wanawake tu..ukweli usiozungumzwa

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,628
Helo wanawake wenzangu wa jukwaa hili la gt
naomba leo tuzungumzie kuhusu sanitary pads
nadhani wengi wetu tunazitumia
kama tunavoona matatizo ya wanawake ya sehemu za uzazi yanaongezeka kwa kasi siku kwa siku.kutokana na unyeti wake nadhani na uadui wake unakuwa mkubwa kama tujuavyo mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe sio!
So threat zinakuwa nyingi huko...bacteria,fangasi ..wanaume wote wanazidi kushambulia huko na kutuletea madhara siku kwa siku
leo naomba nizungumzie adui yetu mmojawapo ambae wengi wetu sijui kama tunalijua hili
pad hizi tunazovaa nazo zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta maambukizi huku down.sasa utajiuliza ufanyeje ? Usivae pedi ? Au ni kampeni ya smile tutembee uchi hata kipindi tupo period? ..............
Soln ni moja hakikisha unatumia pad origino na unachange kila baada ya masaa 2...sasa issue inakuja hapa origino pad haipungui 5000 ka pkt yenye pad 8 na period yenyewe almost siku nne hadi tano...count interval ya masaa 2 kwa siku hizo,,, hapo utatumia pkt ngapi? Kwa kipato gani wanawake wanacho hapa bongo ? Hata hizi za kichina za buku 2500. Nazo kwa hii formula still ni gharama kwa wanawake wengi.
Matokeo yake wengi wanavaa ped muda mrefuuu hata siku nzima akijitahidikwa siku mtu anatumia hapo 3 au mbili badal ya 12.ukijumlisha tena ni fekero full majanga huko.sasa najiuliza tutasalimika kweli....hakuna option nyingine wandugu .tugomee haya maped ya kichina huku sokoni....na kwa nini serikali inaruhusu ped feki ssokoni jamani??????
 
gF7gU9Dg5lAbwAAAABJRU5ErkJggg==
 
Yaani hii issue ni very sensitive dadaa..pads ambazo wengi wa. Wanawake waki Tz tunatumia ni hizi za 2000..always and the like..sasa mi lishawahi nikuta mbona..ile sijui ndo ilizidi ufake?majangaaa
 
yaani hii issue ni very sensitive dadaa..pads ambazo wengi wa. Wanawake waki tz tunatumia ni hizi za 2000..always and the like..sasa mi lishawahi nikuta mbona..ile sijui ndo ilizidi ufake?majangaaa
yaani hii nchi ni dustbin hadi kwenye k zetu? Yaani unawashwa utadhani k imemwagiwa mkaa
 
Sanitary Pads Are A Silent Health Threat
www.NoLeakSanitaryPads.com 5 Joshua Yamson
Due to the special physical characteristics of women, the sanitary napkin is the women's
indispensable ‘friend' but this friend may bring considerable troubles when it is not treated
well. For ordinary sanitary napkin used continuously for two hours, its surface may
have bacteria numbering up to 107 per square centimeter and this contamination may
seriously affect the health of the women.
Symptoms of infection during menstruation include mild fever, external genital infection,
skin itch, ascending infections (such as vaginitis, cervicitis, pelvic inflammatory disease,
endometritis etc), leukorrhagia, localized burning sensation or lower abdominal
pain, or with fever, nausea; infections of urinary system including urinary tract infection,
bladder infection, pyelonephritis, frequent micturition, urgent micturition, dysuria, waist
sore and waist pain with fatigue or fever. These may lead to other more serious female
genital diseases.
Common mistakes in the use of sanitary napkins
1. Not washing your hands clean before handling a new sanitary napkin. In the process
of opening, flattening and putting on a sanitary napkin, the hands may bring many
bacteria onto the sanitary napkin.
2. Keeping the sanitary napkins in the wash room. Most of the washrooms are dark
and wet and bacteria growth can easily contaminate the sanitary napkins.
3. Not paying attention to the expiry date: In fact, the requirements for hygienic standard
of sanitary napkin are very strict and the sanitary napkin is of poorer quality if it is
closer to the expiry date.
4. Buying sanitary napkins on promotion: Generally, promotional or gift items are
mostly slow moving goods which may have involved raw materials of poorer quality, less
stringent test requirements, longer storage periods etc and thus their quality could not be
assured.
5. Using products on trial: There are always new brands, new products, new materials
and new concepts of sanitary napkins in the market and with aggressive promotion, consumers
may be attracted into using them. For example, there is the popular sanitary napkin
with dry net surface but many women with sensitive skin have complained of rashes
and itchiness after use. Relying on reliable manufacturer, reliable shop, good reputation
and one's own experience is still the most basic principle of common sense in choosing
appropriate sanitary napkins.
6. Using sanitary napkins with medication or fragrance: Most doctors would not recommend
such products because the medication and fragrance may have undesirable effects
on the body.
7. Using each sanitary napkin for a longer time: For women in Asia, the number of
sanitary napkins used for each menstruation is apparently lower as compared with
women in Europe and America. Saving money in this way at the expense of one's own
health is definitely not wise. It is best to change sanitary napkins every two hours.
8. Preferring to have high absorption: It is wrong to look for sanitary napkins with high
absorption in the hope that sanitary napkins need not be changed frequently. This would
 
Smile na zile za kutumbukiza madhara yakemnayajua?
 
Last edited by a moderator:
Nilianza kutumia pads original 2010 4the first time niliumia nafc kutoa elfu 6 pale mcity coz ilikuwa hela ya boom,bt it was worth it,tafuta alwayz original za south they are good
 
nilianza kutumia pads original 2010 4the first time niliumia nafc kutoa elfu 6 pale mcity coz ilikuwa hela ya boom,bt it was worth it,tafuta alwayz original za south they are good
mi natumia origino but kilio changu ni kwa wanawake wengine nikiweni gharama mno ..pia kwanini tunaletewa pedi fekii?
 
ukiwa unatumia tampoon inabidi uwe tayari kubadilisha mara kwa mara maana hii hatari yake ni zaidi ya kuwashwa.
sasa hizo za kuingiza uchi si utapanuka sana jamani?
 
Hapo kwenye kipato ni challenge

Ila hata kama cha kuunga unga inabidi kununua, na kubadili mara kwa mara inahusu

Tampoon mzikimbie jamani. Hamwogopi kuingiza miduse?

Pia ni vyema kutizama na expire date za hiyo makitu... Ukitumie iliyoexpire utawashwa mpaka ushangae na kuchubuka juu
 
Back
Top Bottom