Kwa wanawake tu..ukweli usiozungumzwa

Kwa wanawake tu..ukweli usiozungumzwa

hizo tampoon sh ngapi? ila mimi siingizi kitu huku aisee huku inaingia ninihii tu
Hapo kwenye kipato ni challenge

Ila hata kama cha kuunga unga inabidi kununua, na kubadili mara kwa mara inahusu

Tampoon mzikimbie jamani. Hamwogopi kuingiza miduse?

Pia ni vyema kutizama na expire date za hiyo makitu... Ukitumie iliyoexpire utawashwa mpaka ushangae na kuchubuka juu
 
inabidi tukiwa period tusitoke ndani sasa

mwaya na kuna package ya pads za HC ya kuvaa siku za mwishoni za mp..kuna wadada walikua wanazitembeza hostel eti ni nzuri zinavuta uchafu nje n wakatoa tahadhar kwamba so nzuri kwa mjamzito..umewah kuzisikia?
 
mwaya na kuna package ya pads za HC ya kuvaa siku za mwishoni za mp..kuna wadada walikua wanazitembeza hostel eti ni nzuri zinavuta uchafu nje n wakatoa tahadhar kwamba so nzuri kwa mjamzito..umewah kuzisikia?
nilishazisikia dear ...hizi pedi za promotion kama masufuria nazo ni janga best
 
Pads ni shida pia kutegemea na ngozi ya mtu. kuna wengine wanatumia hizo za elfu 2 na hawapati madhara yoyote. hivyo kila mtu atumie pad anayoona inamfaa kulingana na ngozi yake.
 
Pads ni shida pia kutegemea na ngozi ya mtu. kuna wengine wanatumia hizo za elfu 2 na hawapati madhara yoyote. hivyo kila mtu atumie pad anayoona inamfaa kulingana na ngozi yake.
sio lazima uone madhara kwa nje queeny....huko ndani baada ya muda cancer ..ugumba nk
 
Pamoja na ped hata usafi huko down ni wa muhimu. Hivi utachanganyaje wanaume uache kupata fungus.

na je mwanaume akiwa na wanawake wengi hakuletei fungu? Haya mambo ni kumwomba tu maulana apitishe mbali
 
Tumieni visepe kama pad zinawasumbua, mbona hizi hazina madhara coz baada ya matumizi unafua na unauhakika na nguo yako uliyotumia kutengeneza
 
Back
Top Bottom