Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,682
Nakupatia picha ukiwa unatoka kazini na visepe vyako vimelowaaa damu. Inabidi uweke kwenye nappy bag ama?
Labda ye ni wa nyumbani tu hatoki.
Nakupatia picha ukiwa unatoka kazini na visepe vyako vimelowaaa damu. Inabidi uweke kwenye nappy bag ama?
mi natumia origino but kilio changu ni kwa wanawake wengine nikiweni gharama mno ..pia kwanini tunaletewa pedi fekii?
Smile hivi mabibi zetu wa miaka ya 47 walikuwa wanatumiaga nini vile...?
Au walikuwa hawapatagi period?