kweli mkuu kuliko kuzidi kutumia hizi sumu za kichinaSamahani wadada nimepita pasiponihusu ingawa pananihusu!
Kwa kuwa mimi ni Big Bro na ninawapenda Nawashauri RUDINI KWENYE ORTHODOX METHOD kabla ya enzi za soko huria, ni heri kutumia vipande vya nguo ambazo kiuchumi ni nafuu, kiafya ni bora zaidi maana unaweza kufua na kupiga pasi.
Ni hayo tu dada zangu.
dada yangu una bahati wewe miaka hiyo hata la kwanza sijaanza....hebu nifundishe kutengenezaWakati ninasoma boarding school miaka ya 80-90 tulikuwa tunaenda pharmacy unannua cotton wool na gauze, tulitengeneza pads zetu wenyewe na zilikuwa safi. Ukipata muda unanawa mikono unatengeneza kama kumi, unaziweka kwenye mfuko zikiisha unatengeneza nyingine. Wasichana wa .com hamjui haya. Sikuhizi ninachoice ya kutumia za Ujerumani au za South Africa.
dada yangu una bahati wewe miaka hiyo hata la kwanza sijaanza....hebu nifundishe kutengeneza
navoona ugumba na kansa ni combination ya factors nyingi. pedi kama pedi sidhani kama zinaweza kusababisha ugumba na kansasio lazima uone madhara kwa nje queeny....huko ndani baada ya muda cancer ..ugumba nk
kurubuniwa kumeanza siku nyingi bana....sema pesa ndo ilikuwa hamna.hizo cotton siku hizi zipo?Kulikuwa na cotton wool inaitwa Hygene, tena uzuri wake unaweza kutengeneza ukubwa kulingana na flow yako, hakikisha unaizungusha na gauze ile ya kufungia vidonda. It is very economical. Ni ule wakati mzazi anakupa pocket money shilingi 100 kwa term na wala huombi tena pesa nyumbani wala huna mwanaume wa kukurubuni.
zamani mlikuwa mnatumia nini?Samahani wadada nimepita pasiponihusu ingawa pananihusu!
Kwa kuwa mimi ni Big Bro na ninawapenda Nawashauri RUDINI KWENYE ORTHODOX METHOD kabla ya enzi za soko huria, ni heri kutumia vipande vya nguo ambazo kiuchumi ni nafuu, kiafya ni bora zaidi maana unaweza kufua na kupiga pasi.
Ni hayo tu dada zangu.
pedi zinasababisha dear tena kwa asilimia kubwa tu soma hii nimeitoa huko kwenye research moja .................. 56 Girls died in a single day because of using Whisper, Stayfree, etc. Single pad for the whole day causes Cancer in bladder, called UTERUS CANCER. It causes due to chemicals used on the pad. So, try to change your pad every 2 hours..navoona ugumba na kansa ni combination ya factors nyingi. pedi kama pedi sidhani kama zinaweza kusababisha ugumba na kansa
kurubuniwa kumeanza siku nyingi bana....sema pesa ndo ilikuwa hamna.hizo cotton siku hizi zipo?
nashukuru sana kwa ushauri nitazitafuta then nitaleta feedback hapa..mi siwezi kutajirisha watu na afya yangu my dear...Tusitoke nje ya mada, sifahamu kama cotton wool bado zipo, lakini ulizia kwenye pharmacy kubwa. Wakati unatengeneza hakikisha mikono ni misafi kuavoid infection.
ulikuwa unatumia freestyle nini ule upepo maana zile nazo ni janga...Ni kweli hizi pads za kichina ni noma maana kuna wakati ikabidi nikajisalimishe kwa daktari na baada ya kumpa maelezo hakuniandikia dawa yoyote zaidi ya kuniambia nibadilishe aina ya pads ninazotumia na baada ya kufuata ushauri wa dr sikuona tena tatizo
Pamoja na ped hata usafi huko down ni wa muhimu. Hivi utachanganyaje wanaume uache kupata fungus.[/QUOTE Zahra White unaitwa hapa