BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
We unaoshaje ukhuty? Si vibaya kuwajuza wenzio wanaweza kujifunza moja au mawili.
Loooh ngoj nisitie neno hapa
Loooh ngoj nisitie neno hapa
Mi ata siujui huo utoko mnaozungumzia!!! Nikiona chochote cheupe huko chini hua nakimbia hospitali kupima UTI!!!
Harufu ya kule mda mwingine si kwamba mtu hajisafishi vizuri... Magonjwa au infections zinaleta harufu!!! Pia aina fulani za vyakulaSasa je wale wadada ambao wanatoka kuoga lkn ukila mzigo lile bao la kwanza tu unasikia harufu,wanakuwa hawajaosha vzr au ndio harufu imeshakuwa permanent maeneo yale
Maana dampo hata ukilihamishia kwenye kiwanda cha manukato litanuka tu.
Unaona aibukaz ipo
[emoji108][emoji16]Neno enzi hizo namanisha kipindi cha kula mzigo.....na harufu
Wewe unaoshaje kikojoleo chako?kaz ipo
Usirudie tena[emoji12]Sina ttz lolote....shida nilitaka kujua kujisafisha kwa kuingiza kidole kunamadhara au la???
Kama mnasema kidole ni uchafu na kucha zinakuwa na uchafu,kumbuka si wote wenye kucha ndefu na pia before kuoga mtu unakuwa umefua chupi kitendo cha kufua na kusuuza chupi mikono yenyewe inajiosha hata kama kuna vijiuuchfu kidogo kwenye fupi lazma uchafu utoke kupitia kufua chupiUchi wa mwanamke hujisafisha wenyewe kwa kutoa uchafu wote nje, huna haja ya kusafisha kwa sabuni. Japo nlishawahi kusoma sehemu kuna brash ina kama nchi saba hivi uaipaka sabuni kuna sabuni spesho za kuoshea huko chini ukienda pharmacy watakuuzia. Then uniingiza unakuwa kama unaizungusha hivi. Then utaitoa halafu suuza tu basi. Kuingiza vidole huko sio salama maana kucha zinakuwa na uchafu mda flani hivyo unaweza ukaleta maambukizi. Pia hata wakati wa kusex usiruhusu mwanaume akuingizie vidole kwenye k yako kwani mikono yake huwa michafu. Hata ulimi mda flani sio vizuri kusokomeza huko, unajua why,,,? Mdomoni kuna normal flora wanaoishi ndani ya mdomo, hawapaswi kuwa sehemu ingine na kazi yao hawa ni kusaidia kumeng'enya chakula kinapoingia mdomoni, kwenye k pia kuna normal flora nao wanasaidia vitu flani kwenye k so unapoingiza ulimi wakikutana hao basi wanaform uadui na kuanza kushambulia wageni na matokeo unapata maambukizi.
Uchi wa mwanamke hujisafisha wenyewe kwa kutoa uchafu wote nje, huna haja ya kusafisha kwa sabuni. Japo nlishawahi kusoma sehemu kuna brash ina kama nchi saba hivi uaipaka sabuni kuna sabuni spesho za kuoshea huko chini ukienda pharmacy watakuuzia. Then uniingiza unakuwa kama unaizungusha hivi. Then utaitoa halafu suuza tu basi. Kuingiza vidole huko sio salama maana kucha zinakuwa na uchafu mda flani hivyo unaweza ukaleta maambukizi. Pia hata wakati wa kusex usiruhusu mwanaume akuingizie vidole kwenye k yako kwani mikono yake huwa michafu.
Hata ulimi ( mda flani . . ?! ) sio vizuri kusokomeza huko, unajua why,,,? Mdomoni kuna normal flora wanaoishi ndani ya mdomo, hawapaswi kuwa sehemu ingine na kazi yao hawa ni kusaidia kumeng'enya chakula kinapoingia mdomoni, kwenye k pia kuna normal flora nao wanasaidia vitu flani kwenye k so unapoingiza ulimi wakikutana hao basi wanaform uadui na kuanza kushambulia wageni na matokeo unapata maambukizi.
( Cha msingi ni USAFI USAFI USAFI, otherwise kutafuna K au kunyonya Mb . . ni salama . . )
Ukweli ni kwamba fiziliojia ya maumbile ya kike ina ulinzi wa kutosha, na hakuna haja ya kuingiza chochote au kutumia kemikali za aina yoyote kwa lengo la kusafisha ukizingatia njia ya kike ina uhusiano wa moja kwa moja na viungo vya tumboni vya mwili wa mwanamke, kufanya hivyo ni sawa na compromise ulinzi uliopo. Kwa uzoefu wangu mdogo, kundi la watu wasioweza kujihudumia mf. Wagonjwa wa akili, hawaugui sana magonjwa yanayohusiana na usafi wa sehemu za kike kama PID na UTI. Wakati modern ladies hulalamika wana UTI sugu (kama wanavyoziita wenyewe)... Pengine ni lifestyle ndio shida, tunacompromise ulinzi asilia (fiziliojia)Unatia dole ili iweje. K inaoshwa na maji na sabuni tu.