Paap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,493
- 1,401
Ukweli ni kwamba fiziliojia ya maumbile ya kike ina ulinzi wa kutosha, na hakuna haja ya kuingiza chochote au kutumia kemikali za aina yoyote kwa lengo la kusafisha ukizingatia njia ya kike ina uhusiano wa moja kwa moja na viungo vya tumboni vya mwili wa mwanamke, kufanya hivyo ni sawa na compromise ulinzi uliopo. Kwa uzoefu wangu mdogo, kundi la watu wasioweza kujihudumia mf. Wagonjwa wa akili, hawaugui sana magonjwa yanayohusiana na usafi wa sehemu za kike kama PID na UTI. Wakati modern ladies hulalamika wana UTI sugu (kama wanavyoziita wenyewe)... Pengine ni lifestyle ndio shida, tunacompromise ulinzi asilia (fiziliojia)
Sasa mgonjwa wa akili atalalamika vipi, maana hata UTI haijui,