Uke ni msafi kuliko mdomo, hakuna haja ya kuusafisha. Wenyewe unajisafisha kwa majimaji yaliyoko humo.Si ruksa kutumia sabuni au manukato ya aina yeyote katika uke. Harufu itakayotoka ukeni ndio harufu ya uke wenyewe, huwezi kununua samaki alafu akawa na harufu ya chocolate hata wewe mlaji hautafurahi. Bila shaka ni vizuri kula samaki mwenye harufu ya samaki. Kwa hiyo nawasihi wanawake wasihangaike kubadilisha harufu ya uke kwa kutumia sabuni na marashi mbalimbali. Labda unaweza kutumia maji safi na salama, yakiwa yana joto ni vizuri zaidi. Pia nawasihi mwanaume wenzangu wa-enjoy kukuta uke una harufu ya uke. Musitake uke uwe na harufu ya strawberry.