Kwa wanaume wenye hekima

Kwa wanaume wenye hekima

hahahaha usirudie

1398666725654.jpg
 
Msitahiri watoto wachanga jamani WAACHENI, INA MADHARA KIAFYA NA HAINA UMUHIMU KUMTAHIRI MTOTO AKIWA BADO MDOGO SANA.
 
Co kweli hata kidogo, mi nmetahiriwa nikiwa mdogo hata cjitambui. Dushelele nnalo la kunitosha 2. Wapeleke watoto wako watahiriwe

Cogito ergo sum
 
huwez kujua haya mambo wakat fikra yako iko makalion....... Acha fikra kuish kwa ndoto

Yaani unavyogegedwa wowowo basi na fikra zako zinakutuma kwamba kuna wengine wanafikiria kupitia huko?? Acha mchezo wako mchafu upate kuwa na akili wewe.
 
Kuna tetesi kwamba ukimtahiri mtoto akiwa mdogo viungo vyake vya uzazi havikui sana ukilinganisha na waliotahiriwa wakiwa above ten. Hekima izingatiwe please.

Najua wapo waliotahoriwa wakiwa wadogo naomba wanisaidie maana Nina vidume vyangu vinaniweka njia panda.

Kumbe, me nilitahiriwa nikiwa darasa la 5 ndo maana nina dudu la maana
 
Kuna tetesi kwamba ukimtahiri mtoto akiwa mdogo viungo vyake vya uzazi havikui sana ukilinganisha na waliotahiriwa wakiwa above ten. Hekima izingatiwe please.

Najua wapo waliotahoriwa wakiwa wadogo naomba wanisaidie maana Nina vidume vyangu vinaniweka njia panda.

Hamna uhalisia wowote! size ya uume ni issue ya urithi tu! Ingawa sio lazima baba akiwa mandingo na mtoto awe hivyo pia, ila kuna possibility kubwa mtoto kufuata nyayo za baba! Nenda kamtahiri usisubiri hiyo miaka 13 kama unavyoshauriwa. kutomtahiri mtoto mapema kuna matatizo makubwa psychologicaly.

Hebu jaribu kuvaa viatu vya huyo mtoto! Tuseme uko darasa la tano ukiwa unamiaka 11. Umeambatana na maschoolmate kukojoa kwenye vyoo vya shale . Halafu jamaa wanakushangaa unakojolea filimbi!
Jaribu kuifeel fedheha anayoipata huyo mwanao!
 
Nadhani si mara moja ama mbili uliwahi kusikia terminology kibamia....basi wanaounda timu vibamia ni wale waliotahiriwa wakiwa wanasema ta! ta! ta..... ila tuliokatwa tukiwa mashababi kitu hiki hapaaaa! Trust me!
 
Yaani unavyogegedwa wowowo basi na fikra zako zinakutuma kwamba kuna wengine wanafikiria kupitia huko?? Acha mchezo wako mchafu upate kuwa na akili wewe.

lakn hyo ni stage tu. Ikipita utaacha
 
Acha uongo wewe.ukimtahiri mdogo itabidi siku akaiongeze kwa mganga.

hayo ni mawazo hasi kaka mtto kwa na mashine ndogo au kubwa ni maumbile ya mtu tu kaka mimi wangu wa kwanza nimemtairi ana siku 23 now ana miaka 5 na asubuhi akiamka kitu kimekuwa, mdogo nilimtairi ana siku 17 now ana miaka 3 kasoro na yuko sawa..

kuna mijitu ilitahirwa ishabalehe na wana mashine ndoooogoooo
 
Back
Top Bottom